Wala sikushangai, waswahili wengi ndio tulivyo,kama hajui kitu anaishia kukiponda tu hana muda wa kutaka hata kujielimisha,kwamba mwenzangu kataja majimbo/nchi zilizo jiunga na USA kwa njia ya ndio sivyo ebu nifanya walao kautafiti kidogo kujua historia alisi ya majimbo/nchi hizo tajwa - as far as is concern everything sounds Greek to him!!
Nahisi alipewa info vizuri na CIA kuwa komaa tu kiume huyu tunamtaka akiwa hai so naona kinachofanyika jamaa Putin atafika mahali atakimbia au kama ile roho ya ujasusi bado ipo atakufa kishujaa