hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Aya zote hizo ni 1 1 1 huo uandishi wako tu upo kikuda zaidi
Usifuate mambo yao
Fuata wanachoimba (wanachohubiri) tu
Hakuna mkamilifu duniani.
Haya maneno yako ni mazuri sana kama hayaja kukuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aya zote hizo ni 1 1 1 huo uandishi wako tu upo kikuda zaidi
Usifuate mambo yao
Fuata wanachoimba (wanachohubiri) tu
Hakuna mkamilifu duniani.
Bila shaka utakuwa ulihitaji kujiunga na hicho kikundi ikashindikana sasa kwa hasira umekuja kuwachafua huku. Pole sana ila jitahidi kuyafanyia kazi yale mapungufu waliyokuambia ili ikitokea nafasi ukajaribu tena
Kuwa mkweli tu huyo Mwalimu Mganda amekupora demu wako.
inaonekana wew ni msabato
1 je umetumia Mathayo 18? kama hujatumia basi ni umbeya
2. kama umeshindwa matahyo 18 unajua viongozi wa conference hadi union je umewahi kuwatembeklea na kuyatoa haya?
otherwise ni kusengenya na gossip!! Tafakari chukua hatua
[*]Mimi ni mmoja wa waathirika wa vitendo vya viongozi wa hii kwaya, ni wanyonyaji, wanaharibu future za vijana wa kisabato, ushahidi nitauleta hapa
[/LIST]
Pole kwa kuwa mwathirika wa kadhia hiyo, na hiki ndo hasa kimekutoa povu sio hizo porojo zingine.... eti unaumia hawafanyi kazi hawana future huku ‘wanakuringia’ mtaani...!!
Kachapiwa huyuu. 😂😂Possible mke wake ni mhanga
huyo aliyeleta ndiye mwenye data mtu mwingine yeyote akilibeba juu juu itakuwa uzushi hana evidencePossible na ww ni msabato wa mwenge, so chukua haya malalamiko ya tu peleka kwa shemasi wenu Coz ni aibu
Mkuuinaonekana wew ni msabato
1 je umetumia Mathayo 18? kama hujatumia basi ni umbeya
2. kama umeshindwa matahyo 18 unajua viongozi wa conference hadi union je umewahi kuwatembeklea na kuyatoa haya?
otherwise ni kusengenya na gossip!! Tafakari chukua hatua
mkuu katika Biblia Kitabu cha kwanza kabisa cha agano jipya ni Mathayo nenda sura ya 18Mkuu
Hiyo Mathayo 18 kama ni Sura ungetusaidia na aya/msitari kabisa ili tufaidi ujumbe ulioulenga tuupate.
Hahahah mkuu ndio lugha yangu hiyo.lakini ulichoandika kama sijakielewa.Opondo umenikumbusha neno, obwerenyong'ong'ming'ong'ewang', maana yake ni like Soko pale Obwere. Jaribu kulitamka kama utaweza.