Wasabato kaeni macho na hii kwaya

Wasabato kaeni macho na hii kwaya

Status
Not open for further replies.
Na hizo nyuzi zote wewe ndiyo muandishi wake ukitumia ID tofauti. Nenda uwaone msaidiane kama unaona kuna shida ktk hicho kikundi kuliko kuleta huku ambapo wala huwezi kuwasaidia zaidi ya kuwachafua kwa tuhuma zisizo na uthibitisho

Kwa sababu nimechangia sana au kama hujui kitu kaa kimya,
 
Ndiyo huyohuyo leo katumia ID nyingine sijui ana tatizo gani na hicho kikundi maana huyo alishaleta uzi kama huu


Wewe mimi sio muoga wa kuanzisha uzi kwa jina lingine, kwanza naogopa kitu gani?
 
Nimeelewa kitu kutoka kwako mtoa maada.! Joined since 14hrs ago. Umejiunga huku maksudi ili utoe yako ya moyoni. Ila itakuwa umechapiwa demu wako na hilo jamaa linalosimamia hiyo kwaya. Poleee sana najua umeumia sana kugongewa demu wako [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu mbona sioni hili jina la kwaya u tube??
Nilitaka nione uzuri wa hii kwaya kwanza manake ni muumini mzuri wa nyimbo za kisabato.
Pole kaandika kiswahili: wanaitwa Light Bearers. Uimbaji wao ni mzuri kwa kweli
 
Nikusaidie tu mkuu, hapo kwenye namba weka vidoti au alama tofauti na namba ama alfabeti kwakuwa, nimeshindwa kuelewa huo mtitiriko.

Pili, kana hawana kazi na wameweza kwenda ulaya kutafuta kazi, ni wazo zuri na inaonesha wana shughuli nje ya uimbaji/wanalipwa kwakuimba ndio maana wakapata nauli ya kwenda ulaya ba vibali (hata kama si vyote) UKUMBUKE ULAYA SIO SAWA NA MWENGE-UBUNGO kwamba utatembea kwa miguu.

Tatu, usipende saana kuwahukumu wenzio kwakudhani wewe dhambi ya kudhania/kuhukumu ni ndogo kuliko hao unaowaita wazinzi (kama wewe sio muimbaji hapo, nashindwa kuamini kama kweli wanakwaya wawe wanapigana kila siku kugombea bwana na bado wakaendelea kuwa wamoja. Mkuu mimi nimefundisha kwaya sana, ikitokea tu ukaanzisha mahusiano na wanakwaya wako, kwaya inakufa haraka sana ama nidhamu haitokuwepo kabisa.

Nne, kama kwaya haitambuliki, najiuliza huko wanakoimba nani anawapa nafasi (maana lazima wanaonekana kanisani na watu wanavutiwa nao kisha kuwaalika
 
Vizuri kwa kufichua maovu, hasa hasa ya kanisa zima la Wasabato, kanisa hilo ni la kukimbiwa, hiyo kwaya naifananisha na Golden Gate ya Uganda, waimbaji wake walikuwa wanatombana sana hadi wote wakafa kwa Ukimwi wa enzi hizo
Mahakama nchini Argentina imewahukumu mapadri wawili wa Kanisa Katoliki kifungo cha zaidi ya miaka 40 jela kila mmoja kwa kosa la kuwanyanyasa kingono watoto viziwi katika shule ya kanisa. BBC imeripoti #MwananchiUpdates Mwananchi Newspapers on Twitter
 
Ni ujinga kuhalalisha uzinzi na uasherati kwa kigezo cha umbea wa mtu huyu hata kama hajatumia utaratibu kadri unavyoelekeza.
 
Bila shaka utakuwa ulihitaji kujiunga na hicho kikundi ikashindikana sasa kwa hasira umekuja kuwachafua huku. Pole sana ila jitahidi kuyafanyia kazi yale mapungufu waliyokuambia ili ikitokea nafasi ukajaribu tena
waziri barnabas namjua awezi kufanya hayo mambo buana
 
Kama haijasajiriwa kanisa lolote,why sabato unatuhumu? hiyo itakua bend tu,walipe kodi fasta
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom