Yesu alishakuja akazaliwa duniani alitokea Mbinguni ( mawinguni).Ufunuo 1:7 Hili nalo limeshatokea?
Imeandikwa Kila mtu atamwona akiwa anakuja kutoka mawinguni,hata wale waliomchoma/waliomsulubuYesu alishakuja akazaliwa duniani alitokea Mbinguni ( mawinguni).
Watu wote duniani watamwombolezea. Dunia kwa wakati ule ilikuwa ni maeneo ya Middle East, uyahudi na maeneo yanayozunguka na sio kama ilivyo leo. Hata hivyo watu duniani wameshasikia kumhusu Yesu na wamemwombolezea.
Inasemwa wasabato NDIO MAFARISAYO WA ZAMANI...πππ€π€Tunaishi kipindi baada ya unabii. Mambo yaliyotabiriwa kumhusu Yesu Kristo yalishatokea. Msione Kitabu cha Ufunuo kimewekwa cha mwisho katika mpangilio wa vitabu vya Biblia mnafikiri hayo ni mambo ya baadaye. Ni kama unabii wa Isaya au manabii wengine ulishatokea.
Maono ya Yohana juu ya dunia mpya na mbingu mpya yalishatokea tangu ukombozi wa Kristo ulipotufikia. Tunaishi siku za ukamilifu wa nyakati na Yesu Kristo ndiye utimilifu wa unabii wote na nyakati zote.
ππTunaishi kipindi baada ya unabii. Mambo yaliyotabiriwa kumhusu Yesu Kristo yalishatokea. Msione Kitabu cha Ufunuo kimewekwa cha mwisho katika mpangilio wa vitabu vya Biblia mnafikiri hayo ni mambo ya baadaye. Ni kama unabii wa Isaya au manabii wengine ulishatokea.
Maono ya Yohana juu ya dunia mpya na mbingu mpya yalishatokea tangu ukombozi wa Kristo ulipotufikia. Tunaishi siku za ukamilifu wa nyakati na Yesu Kristo ndiye utimilifu wa unabii wote na nyakati zote.