Nadhani kuna baadhi ya wanamuziki, siyo wa kupelekwa Mbeya wakaimbe.Video inaonesha Zuchu akirushiwa chupa na wakurungwa. Hawataki aendelee naye aamua kuzila kurusha mic na kuondoka.
Wanaonekana wamechafukwa sana. Mbaya zaidi kuna mwimbaji ambaye alikuja lalamika kuwa jamaa wa huko ni wajeuri hawataki kuimbishwa.
Nikudanyanye ili iweje mkuu,lko tick tock nimeshindwa kuidownloadAcha uwongo Mkuu.
Sasa wakifuata nini tamashani,maana kurusha nawe sidhani kama tamasha liliendeleaMbeya wanajielewa ,hilo tamasho limedhaminiwa na BETINA aka RANGO.
arusha, mara, mbeya ni mikoa ya wahuni πNasikia aliwaambia mitano tena wakamuonyesha kwa vitendo, kuna watu hawapendi kujikomba komba wanadhani watz wote ni machawa kama wale watu wa pwani full kujinengulisha ili apate hela ya kula
Kama walileta siasa sehemu ya burudani basi wamestahili walichokipata.Nasikia aliwaambia mitano tena wakamuonyesha kwa vitendo, kuna watu hawapendi kujikomba komba wanadhani watz wote ni machawa kama wale watu wa pwani full kujinengulisha ili apate hela ya kula
Kule wako serious sio nyolonyolo kama wala urojo wa daresalamarusha, mara, mbeya ni mikoa ya wahuni π
πππ this is crazy - immaturityYe kawaita wahuni nao wamemuonyesha uhuni,
Eti wangemuacha afanye kazi then badae wangeonyesha hisia zao braza hizo hisia baki nazo wewe,