Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
ViolenceVideo inaonesha Zuchu akirushiwa chupa na wakurungwa. Hawataki aendelee naye aamua kuzila kurusha mic na kuondoka.
Wanaonekana wamechafukwa sana. Mbaya zaidi kuna mwimbaji ambaye alikuja lalamika kuwa jamaa wa huko ni wajeuri hawataki kuimbishwa.
View attachment 3110354
Dunia na mambo yake