Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa

Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa

Hapa watu wa Mbeya tutalaumiwa bure, show yenyewe ilikua ya bure hadi vitoto vidogo vinavyojifunza kuvuta ngwai vimeenda. Pale wameenda watu wa ajabu ajabu kinoma, mtu mwenye heshima zako huendi show za bure. Nilipita pembeni pale nilikua nmetoka kiwanja kingine, njiani nakutana na watu wamelewa kinoma wengine wameshika 'master', nyagi n.k we unategemea utapata nini?
 
Hapa watu wa Mbeya tutalaumiwa bure, show yenyewe ilikua ya bure hadi vitoto vidogo vinavyojifunza kuvuta ngwai vimeenda. Pale wameenda watu wa ajabu ajabu kinoma, mtu mwenye heshima zako huendi show za bure. Nilipita pembeni pale nilikua nmetoka kiwanja kingine, njiani nakutana na watu wamelewa kinoma wengine wameshika 'master', nyagi n.k we unategemea utapata nini?


Kweli cheap is expensive kuweka show bure ni kukosea nadhani hii kafanya Mh yule wa mjengoni
 
Hapa watu wa Mbeya tutalaumiwa bure, show yenyewe ilikua ya bure hadi vitoto vidogo vinavyojifunza kuvuta ngwai vimeenda. Pale wameenda watu wa ajabu ajabu kinoma, mtu mwenye heshima zako huendi show za bure. Nilipita pembeni pale nilikua nmetoka kiwanja kingine, njiani nakutana na watu wamelewa kinoma wengine wameshika 'master', nyagi n.k we unategemea utapata nini?
Nani kawalipia hiyo show?
 
Video inaonesha Zuchu akirushiwa chupa na wakurungwa. Hawataki aendelee naye aamua kuzila kurusha mic na kuondoka.

Wanaonekana wamechafukwa sana. Mbaya zaidi kuna mwimbaji ambaye alikuja lalamika kuwa jamaa wa huko ni wajeuri hawataki kuimbishwa. Wanasikika wakisema wanamtaka mke wa P.Diddy. Hawa ni wendawazimu yaani mke wa P.Diddy aje kuperform Tanzania? tena Mbeya? hawapo serious. kesho na keshokutwa watakuja kudai apelekwe Mke wa Dr. Dre au wa Jay Z au hata mke wa Justin Timberlake.

View attachment 3110354
Wanamtaka mke wa P Didy.

Wazimu sana mashabiki
 
Back
Top Bottom