Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kuzomea sio poa....😃😃....wangetulia tu dada afanye yake asepe.mbeya kweli ni hip hop ...
lakini hapa wanangu tumeleta ushamba fulani hivi
bora wangemzomea tu maswala ya kurusha mawe kwa msanii ni ushamba kinoma
mshamba wewe na wenziombeya kweli ni hip hop ...
lakini hapa wanangu tumeleta ushamba fulani hivi
bora wangemzomea tu maswala ya kurusha mawe kwa msanii ni ushamba kinoma
Babu taleMtoa mada hata akipoteza career yake wewe unafaidika na nini? nyuzi kama hizi za Diamond kufa kimziki nimewahi kuziona muda mrefu lakini mpaka leo anafanya vizuri
Ushamba gani wakati analeta uccm jukwaani. Eti mitano tena.mbeya kweli ni hip hop ...
lakini hapa wanangu tumeleta ushamba fulani hivi
bora wangemzomea tu maswala ya kurusha mawe kwa msanii ni ushamba kinoma
hiyo ni nchi ya kikristo, makanisa everywhere, hawana ujinga wenu wa zuchu na diamond, angalieni na sehemu za kupeleka show.Ni kwenye tamasha la Wasafi Festival jioneee mwenyewe, Simba la Masimba Dangote. End of his carrier???
View attachment 3110446
Nimehuzunika sasaHuo mwendo vipi kana kwamba Kuna ulakini🤔
Hatari sana mkuuNimehuzunika sasa
Kuishi dar ni umama 🤒🤒Watu wa daslam watachukizwa na thread yako.
Alisikika masikini mmojaKuishi dar ni umama 🤒🤒
Kwahio kama unajua ataendelea kufanya vizuri na wewe kimekuuma nini hapa mbona una dalili za povuMtoa mada hata akipoteza career yake wewe unafaidika na nini? nyuzi kama hizi za Diamond kufa kimziki nimewahi kuziona muda mrefu lakini mpaka leo anafanya vizuri