Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walienda kumrushia vyupa zuchu.Swali ni je? Walienda kufanya nini kwenye hilo tamasha? Au walitegemea kuonana na mwamposa?
Ujinga mtupu, kama msanii humtaki si ulale kwakoVideo inaonesha Zuchu akirushiwa chupa na wakurungwa. Hawataki aendelee naye aamua kuzila kurusha mic na kuondoka.
Wanaonekana wamechafukwa sana. Mbaya zaidi kuna mwimbaji ambaye alikuja lalamika kuwa jamaa wa huko ni wajeuri hawataki kuimbishwa. Wanasikika wakisema wanamtaka mke wa P.Diddy. Hawa ni wendawazimu yaani mke wa P.Diddy aje kuperform Tanzania? tena Mbeya? hawapo serious. kesho na keshokutwa watakuja kudai apelekwe Mke wa Dr. Dre au wa Jay Z au hata mke wa Justin Timberlake.
View attachment 3110354
Nchi hii wajinga ni wengi sana, ajabu mtu anafanya upuuzi kuna watu wanafurahia , bahati mbaya hao hao wanao furahia huo upuuzi, wengine wakifanya wao wanachukia😁😁😁 Sawa Ila aliyepata hasara ni nani hapo kati ya aliyelipa kiingilio na kufanya vurugu na aliyelipwa na haku-perform
Then hii sio Mara ya kwanza kutokea
Mtu badala atuimbie chapati yeye anakazana mitano tena mara sijui Nani kama mama Acha ale mawe mwehu huyoSasa zuchu na nyimbo zake za chapati anajikoroga tena kutaja samia wake
Misukule ya mzee Mbowe ni shidaBurudani zibaki kuwa burudani na siasa zibaki kuwa siasa.
Nakumbuka hata wakati wa Yanga Day Harmonize aliingia na T-shirt yenye picha ya Samia kifuani alizomewa hadi akaivua.
Hili liwe fundisho kwa wasanii wengine wenye tabia hizo kwa vile mashabiki wao ni waumini wa vyama mbalimbali na itikadi tofauti.
Mbeya wameanza bado Mwanza, Ar Chuga, Mara, Kagera, Singida, Iringa, Moro nk.
Wasipojirekebisha wataendelea kupigwa mawe na kuzomewa kila mkoa watakaoenda kufanya matamasha yao na kuharibu brand zao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa wanaume wazima uwaimbishe
Ai mama sijiiii siji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ye kawaita wahuni nao wamemuonyesha uhuni,
Eti wangemuacha afanye kazi then badae wangeonyesha hisia zao braza hizo hisia baki nazo wewe,