Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa

Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa

Ila show za wasafi festival msimu huu hazijakaa powa, show nzima watu wanatimua vumbi kama wako kwenye kigodoro mtaani[emoji849]

Wasanii wafanye show waache kuwatesa mashabiki imagine mtu analipa kiingilio anaingia kwenye show anaambiwa mikono juu kushoto, kulia, vua shati zungusha, beba vumbi timua juu.

Wahuniiii, ruka ruka. Twende juuu ruka kama masai, yero masai yero [emoji23][emoji23][emoji23]

It’s so sad [emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Burudani zibaki kuwa burudani na siasa zibaki kuwa siasa.

Nakumbuka hata wakati wa Yanga Day Harmonize aliingia na T-shirt yenye picha ya Samia kifuani alizomewa hadi akaivua.

Hili liwe fundisho kwa wasanii wengine wenye tabia hizo kwa vile mashabiki wao ni waumini wa vyama mbalimbali na itikadi tofauti.

Mbeya wameanza bado Mwanza, Ar Chuga, Mara, Kagera, Singida, Iringa, Moro nk.

Wasipojirekebisha wataendelea kupigwa mawe na kuzomewa kila mkoa watakaoenda kufanya matamasha yao na kuharibu brand zao.
Mwanza tuondoe kwenye ujinga wa watu wa Mbeya.
 
Lucas Mwashambwa naomba maelezo yenye ukamilifu, Zuchu mwana wa Hadija Kopa jirani yangu pale Mwananyamala alikumbwa na mkasa gani hapo Mbeya

Je, ni mambo ya Siasa au mambo ya ushindani wa Biashara za burudani za akina Babu Tale?

Nimekaa pale 🐼
 
Sasa wakifuata nini tamashani,maana kurusha nawe sidhani kama tamasha liliendelea
Kasema, wao walikuja kumtazama mke wa P Diddy. Sasa mke wa P Diddy na tamasha na Wasafi wapi na wapi? Mbeya nao bwana.

Kwa mtazamo wangu, I think Mbeya wanatakiwa kwenda kina Ney wa Mitego, Roma na Rostam group; hao ndio wataelewana nao
 
Kilichotokea kwa Zuchu ni matokeo ya malezi mabaya kwa watoto
1. Kuna show alifanya ya kumkaribisha Biteko baada ya kuwa Naibu Waziri Mkuu, wakati MC anamwambia muda wake umeisha, atampatia muda tena baada ya Biteko kumalizq hotuba yake, yeye akamjibu anatakiwa kuwahi Mwanza kupanda ndege, hivyi amuongeze dakika 10 amalizie nyimbo zake. Haikuwa sawa kabisa.

2. Kuna kipindi alikuwa anapost kuhusu matatizo ya kukatika katika umeme, mtu ambaye anabenefit na system ya serikali, analipwa 50mil kwa show, ela ambayo ingeweza kwenda kujenga shule, hospital, etc wenzake wote wanakaaga kimya, yeye kuongea haikuwa sawa kabisa.

3. Kutupa mic chini Mbeya ni utovu wa nidhamu.
wanaume kumrushia chupa mwanamke ni jambo la hovyo sana, Zuchu ni mwanamke zile reaction ni kawaida
 
Video inaonesha Zuchu akirushiwa chupa na wakurungwa. Hawataki aendelee naye aamua kuzila kurusha mic na kuondoka.

Wanaonekana wamechafukwa sana. Mbaya zaidi kuna mwimbaji ambaye alikuja lalamika kuwa jamaa wa huko ni wajeuri hawataki kuimbishwa. Wanasikika wakisema wanamtaka mke wa P.Diddy. Hawa ni wendawazimu yaani mke wa P.Diddy aje kuperform Tanzania? tena Mbeya? hawapo serious. kesho na keshokutwa watakuja kudai apelekwe Mke wa Dr. Dre au wa Jay Z au hata mke wa Justin Timberlake.

View attachment 3110354
NASEMA HIVI.... SAMIA MUST GO AND TANGANYIKA MUST BE FREE .....HIYO VITA ILIYO MKUTA ZUCHU NI MWANZO WA VITA YA WATANGANYIKA DHIDI YA WAHUNI WAZANZIBAR NA RAIA FEKI WANSOTUTAWALA WATANGANYIKA KIFISADI KWA SASA TENA KINYUME NA HAKI ....MJALAANA SAMIA MUST GO.

Kwa sasa wazanzibar wametangaza uadui na watanganyika wazi wazi ...vita ndiyo kwanza imeanza.
 
Screenshot_20240930-101605.png
 
Lucas Mwashambwa naomba maelezo yenye ukamilifu, Zuchu mwana wa Hadija Kopa jirani yangu pale Mwananyamala alikumbwa na mkasa gani hapo Mbeya

Je, ni mambo ya Siasa au mambo ya ushindani wa Biashara za burudani za akina Babu Tale?

Nimekaa pale 🐼
Anapeleka ujinga wa mitano Tena Kwa watu wa mbeya,watu wamelipia burudani kusahau issue za kutekwa na manyanyaso ya Ccm yeye anawakumbusha Tena alipata anachostahili
 
Video inaonesha Zuchu akirushiwa chupa na wakurungwa. Hawataki aendelee naye aamua kuzila kurusha mic na kuondoka.

Wanaonekana wamechafukwa sana. Mbaya zaidi kuna mwimbaji ambaye alikuja lalamika kuwa jamaa wa huko ni wajeuri hawataki kuimbishwa. Wanasikika wakisema wanamtaka mke wa P.Diddy. Hawa ni wendawazimu yaani mke wa P.Diddy aje kuperform Tanzania? tena Mbeya? hawapo serious. kesho na keshokutwa watakuja kudai apelekwe Mke wa Dr. Dre au wa Jay Z au hata mke wa Justin Timberlake.

View attachment 3110354
Kaz yao kuinqd ccmu bas acha wakipate
 
Sasa wakifuata nini tamashani,maana kurusha nawe sidhani kama tamasha liliendelea
Wasanii wanafiki sana , kuimbia ushoga ndo wanajuwa , kukemea utekwaj na mauaji ya mashabiki zao ahh
 
Back
Top Bottom