Kilichotokea kwa Zuchu ni matokeo ya malezi mabaya kwa watoto
1. Kuna show alifanya ya kumkaribisha Biteko baada ya kuwa Naibu Waziri Mkuu, wakati MC anamwambia muda wake umeisha, atampatia muda tena baada ya Biteko kumalizq hotuba yake, yeye akamjibu anatakiwa kuwahi Mwanza kupanda ndege, hivyi amuongeze dakika 10 amalizie nyimbo zake. Haikuwa sawa kabisa.
2. Kuna kipindi alikuwa anapost kuhusu matatizo ya kukatika katika umeme, mtu ambaye anabenefit na system ya serikali, analipwa 50mil kwa show, ela ambayo ingeweza kwenda kujenga shule, hospital, etc wenzake wote wanakaaga kimya, yeye kuongea haikuwa sawa kabisa.
3. Kutupa mic chini Mbeya ni utovu wa nidhamu.