Wasanii wanafiki sana , kuimbia ushoga ndo wanajuwa , kukemea utekwaj na mauaji ya mashabiki zao ahhHapo kwenye onyesho ni Uzanzibar na Utanganyika!
GOD BLESS TANGANYIKA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasanii wanafiki sana , kuimbia ushoga ndo wanajuwa , kukemea utekwaj na mauaji ya mashabiki zao ahhHapo kwenye onyesho ni Uzanzibar na Utanganyika!
GOD BLESS TANGANYIKA
Wasanii wanafiki sana , kuimbia ushoga ndo wanajuwa , kukemea utekwaj na mauaji ya mashabiki zao ahhPesa za viingilio zao hukulipa wewe unakuuma nini!? Unapangia matukiz watu??
Ukipeleka ushamba mbeya utabondwa kule hawakai mapunga shaur zenu
Wasanii wanafiki sana , kuimbia ushoga ndo wanajuwa , kukemea utekwaj na mauaji ya mashabiki zao ahhAliyekataliwa hapo ni Tulia Ackson, Zuchu katumika ili wapingaji wasitekwe, Akili kichwani
Wasanii wanafiki sana , kuimbia ushoga ndo wanajuwa , kukemea utekwaj na mauaji ya mashabiki zao ahhMatokeo ya kuchanganya sanaa na siasa, msiyakimbie.
Yapokelewe kama zinavyo pokelewa posho
Wasanii wanafiki sana , kuimbia ushoga ndo wanajuwa , kukemea utekwaj na mauaji ya mashabiki zao ahhWalienda kumrushia vyupa zuchu.
Hasira za Mama mna mletea ZuchuKikubwa wamempa picha kuwa hawamkubali, unadhani ye zuchu itamuathiri kiasi gani kisaikolojia? Yani kwa tafsiri ya haraka ni hawamtaki ye ni takataka, yani upande jukwaani nusu uchi ujinengulishe watu wakukatae bado wakurushie takataka halafu useme hamna hasara kwa msanii husika???
Wasanii wanafiki sana , kuimbia ushoga ndo wanajuwa , kukemea utekwaj na mauaji ya mashabiki zao ahhMwanza tuondoe kwenye ujinga wa watu wa Mbeya.
Wasanii wanafiki sana , kuimbia ushoga ndo wanajuwa , kukemea utekwaj na mauaji ya mashabiki zao ahhHasira za Mama mna mletea Zuchu
Sasa si wamrushie bibi ChuraWatu wameenda kula Mangoma yeye huyo KING'ANG'A akaanza mbanga za Mitano tena kwa Bibi chura kizimkazi hapo ndipo wandewa wakaanza kumrushia chupa.
Hadi sisimizi wa huko ikulu tuna hasira nao wasikatize anga zetuHasira za Mama mna mletea Zuchu
Wasanii wanafiki sana , kuimbia ushoga ndo wanajuwa , kukemea utekwaj na mauaji ya mashabiki zao ahhVideo inaonesha Zuchu akirushiwa chupa na wakurungwa. Hawataki aendelee naye aamua kuzila kurusha mic na kuondoka.
Wanaonekana wamechafukwa sana. Mbaya zaidi kuna mwimbaji ambaye alikuja lalamika kuwa jamaa wa huko ni wajeuri hawataki kuimbishwa. Wanasikika wakisema wanamtaka mke wa P.Diddy. Hawa ni wendawazimu yaani mke wa P.Diddy aje kuperform Tanzania? tena Mbeya? hawapo serious. kesho na keshokutwa watakuja kudai apelekwe Mke wa Dr. Dre au wa Jay Z au hata mke wa Justin Timberlake.
View attachment 3110354
Ccm ina waongoza mmetulia, mnakuja angaika na ZuchuUshamba gani wakati analeta uccm jukwaani. Eti mitano tena.
Sasa si muende Ikulu mkampige Mama muone kama mtatoka mnatembeaHadi sisimizi wa huko ikulu tuna hasira nao wasikatize anga zetu
Hizo ni akili za wajinga kukimbia tatizo lao la msingi CCM na kuangaika na ZuchuKizimkazi ajitathimini.zuchu kapigwa sababu ya kusema mama mitano tena.chawa wa kizimkazi mjue kuwa watanzania hawataki huyo kizimkazi wenu
itakuwa walitegemea 50CentSasa walienda Wasafi festival wakitegemea WAMKUTE NANI?
Washamba tu.itakuwa walitegemea 50Cent
Mauaji kemea wewe, wao wanaangalia mkate wao, maana hata wakiishiwa pesa nyie mtakuwa wa kwanza kuwachekaWasanii wanafiki sana , kuimbia ushoga ndo wanajuwa , kukemea utekwaj na mauaji ya mashabiki zao ahh
Mtu anajiita muhuni halafu anarushia chupa mwanamke, upuuzi mtupuWashamba tu.