Sisyphus
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 4,062
- 5,741
Mtoto mzuri kama ZUCHU unampiga makopo unarudi nyumbani unajiona umeshiiindaMtu anajiita muhuni halafu anarushia chupa mwanamke, upuuzi mtupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto mzuri kama ZUCHU unampiga makopo unarudi nyumbani unajiona umeshiiindaMtu anajiita muhuni halafu anarushia chupa mwanamke, upuuzi mtupu
Chawa kama chawa, naona umekasirika ndo hivyo mti mkavu wenu hatakiwi mbeyaSasa si muende Ikulu mkampige Mama muone kama mtatoka mnatembea
Kuandika Kwa ufasaha hujui na Bado unajiona una akili?Maajabu ya Dunia.Hizo ni akili za wajinga kukimbia tatizo lao la msingi CCM na kuangaika na Zuchu
Uzuri wake una tija gani kwa hao watu au taifa?Mtoto mzuri kama ZUCHU unampiga makopo unarudi nyumbani unajiona umeshiiinda
Kweli kabisa alafu ukicheki tumeuza kahawa AMCOS hela hawajeweka huu mwezi wa nne lazima ukileta ujinga tunakuletea undava Kaka mkubwaTuliowalaumu wana mbeya kweli tulikosea ,
Watu wa mbeya pamoja na tofauti zao hua wanaheshima na wanawakarimu wageni kikubwa usiwadharau tu,
Ukiwadharau watarudisha dharau na ukiwaheshimu watarudisha heshima,
Kilichotokea ndio kama hicho , kumbe aliwaanza na wao wakajibu mapigo,
Watu washajivutia cha south na malawi, washapiga zao master , michongo doksi imegoma akienda isyonje haelewi, akishuka mbalizi hajui afanye nini,
Akibeba zaga za tunduma kidogo anafukuzwa kama shetani ,
Kauza mahindi NFRA hela hajalipwa , Usangu kwenye mpunga kafukuzwa kwamba ni hifadhi halafu umletee dharau unadhani itakuaje mbele ya safari,
Sasa si wamrushie bibi Chura
Huwezi kuitoa ccm kwa kumpiga Zuchu chupa za maji, huku ni kukimbia uhalisiaAnazingua huyo ,mambo ya siasa akayafanye kwenye kampeni zao akiitwa na si kwa watu waliotoa viingilio na kuanza kuwaletea udwanzi...Siku nyingine watampasua reception.
ebu onyesha hapo kwenye nilicho andika kosa liko wapi? halafu tutajua huo ufasaha unaotaka kuuleta hapaKuandika Kwa ufasaha hujui na Bado unajiona una akili?Maajabu ya Dunia.
Kabisa kwenye hustle kama hujawahi kupita mbeya bado hujafuzuWatu wa mbeya wakarimu sana
Ila dharau huwa hawapendi!
Mbeya nimeishi na kusoma hapo
Moja ya mikoa iliyonikomaza na kunijenga
Ova
Dawa ni kususia matamasha yaoWasanii wanafiki sana , kuimbia ushoga ndo wanajuwa , kukemea utekwaj na mauaji ya mashabiki zao ahh
Bodo unakosea tu.kama huoni kosa tafuta mwalimu akufundishe.ebu onyesha hapo kwenye nilicho andika kosa liko wapi? halafu tutajua huo ufasaha unaotaka kuuleta hapa
Kabisa.....mbeya nawakubali sanaKabisa kwenye hustle kama hujawahi kupita mbeya bado hujafuzu
Sio poa asee ilipofikia sio Tena utani jamaa inabidi awe serious na aachie bonge la wimbo
Hovyo ni wewe uliyechagua kuwa chawaBadala ya kupambana na ccm , mnaangaika na Zuchu hovyo kabisaaa
Hapo huwezi kumkomoa kibunda ameshaingizaHadi sisimizi wa huko ikulu tuna hasira nao wasikatize anga zetu
🤣🤣🤣🤣itakuwa walitegemea 50Cent