mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Huyo ni wifi yake na mke wa o diddyKwahio kama unajua ataendelea kufanya vizuri na wewe kimekuuma nini hapa mbona una dalili za povu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni wifi yake na mke wa o diddyKwahio kama unajua ataendelea kufanya vizuri na wewe kimekuuma nini hapa mbona una dalili za povu
😄😄😄Huo mwendo vipi kana kwamba Kuna ulakini🤔
Mchawi MB hapa
Na alivyosema kuwa yaliyofanyika kule n siri bc ndio amemaliza mchezo 😂This is bad, diamond lazima aueleze umma nini kilitokea kwenye ziara yao kule Manhattan, p didy na Botana special smooth oil, hatari sana.
Na ye angejirusha kwa mashabiki wamtomase kama pididi alivyokua anamtomasa bosi waoHapo Zuchu angekaa kimya tu, au alikuwa kesha lewa? Utajibizana Na watu maelfu....
😂😂
Kuna show moja 50 cent alirushiwa chupa, kumbe kamuona mrushaji, jamaa kajirusha kwa mashabiki, aise yuke shabiki alijuta vitasa alivyokula.. ule mwili wa 50 imagine ngumi yake 😂
Hapana wazee utakuta jamaa alikua mazoezi mguu ukateguka...Huo mwendo vipi kana kwamba Kuna ulakini🤔
Kwani Mwashambwa anasemaje?Aliyekataliwa hapo ni Tulia Ackson, Zuchu katumika ili wapingaji wasitekwe, Akili kchwani
Ngumi kilo 150 😂😂😂😂😂Hapo Zuchu angekaa kimya tu, au alikuwa kesha lewa? Utajibizana Na watu maelfu....
😂😂
Kuna show moja 50 cent alirushiwa chupa, kumbe kamuona mrushaji, jamaa kajirusha kwa mashabiki, aise yule shabiki alijuta vitasa alivyokula.. ule mwili wa 50 imagine ngumi yake 😂
Hapo Zuchu angekaa kimya tu, au alikuwa kesha lewa? Utajibizana Na watu maelfu....
😂😂
Kuna show moja 50 cent alirushiwa chupa, kumbe kamuona mrushaji, jamaa kajirusha kwa mashabiki, aise yule shabiki alijuta vitasa alivyokula.. ule mwili wa 50 imagine ngumi yake 😂
Hata kama ni mashabiki walianza kumpa MF, angekausha tu, hapo inaonekana kuna shabiki kampa MF na yeye kajibu... Lakini ni ujinga.Yeye akaanza na kutukana watu eti
We mzee usiniwekee maneno mdomoni🤣Sasa watampata wapi
Ni Ushamba,Video inaonesha Zuchu akirushiwa chupa na wakurungwa. Hawataki aendelee naye aamua kuzila kurusha mic na kuondoka.
Wanaonekana wamechafukwa sana. Mbaya zaidi kuna mwimbaji ambaye alikuja lalamika kuwa jamaa wa huko ni wajeuri hawataki kuimbishwa. Wanasikika wakisema wanamtaka mke wa P.Diddy. Hawa ni wendawazimu yaani mke wa P.Diddy aje kuperform Tanzania? tena Mbeya? hawapo serious. kesho na keshokutwa watakuja kudai apelekwe Mke wa Dr. Dre au wa Jay Z au hata mke wa Justin Timberlake.
View attachment 3110354