Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa

Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa

😁😁😁 Sawa Ila aliyepata hasara ni nani hapo kati ya aliyelipa kiingilio na kufanya vurugu na aliyelipwa na haku-perform

Then hii sio Mara ya kwanza kutokea
Kikubwa wamempa picha kuwa hawamkubali, unadhani ye zuchu itamuathiri kiasi gani kisaikolojia? Yani kwa tafsiri ya haraka ni hawamtaki ye ni takataka, yani upande jukwaani nusu uchi ujinengulishe watu wakukatae bado wakurushie takataka halafu useme hamna hasara kwa msanii husika???
 
Kikubwa wamempa picha kuwa hawamkubali, unadhani ye zuchu itamuathiri kiasi gani kisaikolojia? Yani kwa tafsiri ya haraka ni hawamtaki ye ni takataka, yani upande jukwaani nusu uchi ujinengulishe watu wakukatae bado wakurushie takataka halafu useme hamna hasara kwa msanii husika???
Kikubwa ishu ya Pdidy itamcost Daimond na wasanii wake
 
Kikubwa wamempa picha kuwa hawamkubali, unadhani ye zuchu itamuathiri kiasi gani kisaikolojia? Yani kwa tafsiri ya haraka ni hawamtaki ye ni takataka, yani upande jukwaani nusu uchi ujinengulishe watu wakukatae bado wakurushie takataka halafu useme hamna hasara kwa msanii husika???



😎😎😎 watanzania mna hasira Sana .
 
Back
Top Bottom