joseph_mbeya
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,123
- 2,935
Kuna dalili za watu kupigwa kwa hali hii ccm wasiende nao kwenye kampeni, na wasipoenda nao watoto wa shule watakomaWasanii wajipange mwakani kwenye matamasha yao na wagombea wavae helmet....
Walivyolipia wakaenda walitegemea kuimbishwa nini?Sasa wanaume wazima uwaimbishe
Ai mama sijiiii siji
Mtu anaanza tu mitano kwa ma... jiwe hiloKuna dalili za watu kupigwa kwa hali hii ccm wasiende nao kwenye kampeni, na wasipoenda nao watoto wa shule watakoma
InafikirishaWalivyolipia wakaenda walitegemea kuimbishwa nini?
Kikubwa wamempa picha kuwa hawamkubali, unadhani ye zuchu itamuathiri kiasi gani kisaikolojia? Yani kwa tafsiri ya haraka ni hawamtaki ye ni takataka, yani upande jukwaani nusu uchi ujinengulishe watu wakukatae bado wakurushie takataka halafu useme hamna hasara kwa msanii husika???πππ Sawa Ila aliyepata hasara ni nani hapo kati ya aliyelipa kiingilio na kufanya vurugu na aliyelipwa na haku-perform
Then hii sio Mara ya kwanza kutokea
Swali ni je? Walienda kufanya nini kwenye hilo tamasha? Au walitegemea kuonana na mwamposa?Mbeya hawataki ushoga, hata wanawake wa Mbeya hawataki ule ushamba wa Mombasa wa kugeuzwa Kama samaki.
ItapendezaaaaaaMtu anaanza tu mitano kwa ma... jiwe hilo
Hapo nakerekaYani unakuja kutuimbia Su ka ri
Alafu kila ikifika kwenye kutaja sukari yeye anazima mike ili tumalizie sisi hapo ndo alitukera
Kikubwa ishu ya Pdidy itamcost Daimond na wasanii wakeKikubwa wamempa picha kuwa hawamkubali, unadhani ye zuchu itamuathiri kiasi gani kisaikolojia? Yani kwa tafsiri ya haraka ni hawamtaki ye ni takataka, yani upande jukwaani nusu uchi ujinengulishe watu wakukatae bado wakurushie takataka halafu useme hamna hasara kwa msanii husika???
Na hao wanaume waliokata ticket nao ni wale wale tu, huenda zuchu alienda kwaajili ya wanawake, wanaume wakaingilia πSasa wanaume wazima uwaimbishe
Ai mama sijiiii siji
Kikubwa wamempa picha kuwa hawamkubali, unadhani ye zuchu itamuathiri kiasi gani kisaikolojia? Yani kwa tafsiri ya haraka ni hawamtaki ye ni takataka, yani upande jukwaani nusu uchi ujinengulishe watu wakukatae bado wakurushie takataka halafu useme hamna hasara kwa msanii husika???
π π π nimetamani nikurushie chupa ili kuthibitisha kauli yakoπππ watanzania mna hasira Sana .
Kwa Zuchu na madem wengine wa Bongo Fleva labda mimi ndo niende nikapige show, vinginevyo hata sauti zao sitaki kuzisikia.Na hao wanaume waliokata ticket nao ni wale wale tu, huenda zuchu alienda kwaajili ya wanawake, wanaume wakaingilia π