Jurrasic Park
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 3,801
- 6,806
Okey asante kwa kunirekebisha maana nyimbo zake zinapigwagwa Mwanza hasa has ile ya 'nirudi kijijini'Wewe jamaa Best nasso siyo wa Mwanza ni msanii kutoka Musoma. Mwanza tunawakilishwa na Fid q + Young killer.
Mkuu hapo mwanza muonģeze koñki konki konķi master dudu baya pleaseHivi kwa nini huwa mnapenda kuunganisha Kilimanjaro na Arusha.Kama issue ni kaskazini mbona hata Tanga ni Kaskazini.
Best Nasso sio wa Mwanza ni wa Mara.Mwanza tuna best artistes Kama
Fid Q
Young Killer
Kala Jeremiah
Rado
Baraka da prince
Mo Music
H baba
Mziki wa youngkiller,Fid na kala hamna raper kutokea Kaskazini nzima anaweza ugusa.
Mbeya pia tuna wasanii Kama
Ay
Izzo bizness
Quick Rocka
Sugu
Shaa huyu sio wa huko Kaskazini
Rayvanny
Shaa ni mmakonde pyuu , ila ameolewa na muarusha, master JIla Kilimanjaro na Arusha tuna wasanii wengi sana tena international kwelikweli kweli
Vanesaa Mdee
Maua Sama
Navy Kenzo
Whozu
Bilnass
Malkia Karen
Shaa
Nikki wa pili
Nako2Nako
Chin bee
Etc etc etc
Nyinyi kisa daimond kwao Kigoma mkaja na Kigoma all [emoji93], Ukienda mwanza msanii wao Best Nasso, mbeya msanii wao ni mr. Xmass etc etc. Nyinyi mkijikusanya wala sio ukabila lakini sisi tukimind our own business inakuwa ukabila, kunya anye kuku, akinya bata kaharisha.
Yeye daimond nyimbo zake sizisikii kwenye ITV, EATV etc sasa kwa nini na za Clous nazo zisikike huko kwa Daimond.
Hujui unachoongea wewe! Wasanii kibao kutoka Arusha wameenda pale Wasafi! Hata Weusi, wameshaenda pale Wasafi including Nick II. Wale wanaoendesha kipindi cha Block 89, kuna wengine wanatokea kaskazini! Yaani kutowepo Joh Makini tu ndo uone kuna ukabila?! Kwani Joh na Nick II wanatoka makabila tofauti?! Kwamba Huwezi kuona Mond au Wasafi wana-launch shows Arusha, unazungumzia shows zipi hasa?! Ukiona Mond, Harmonize, Mboso au yeyote ameenda mkoa X ni kwamba huko kuna promota kafika bei ndo maana wameenda! Sasa ulitaka waende Arusha hata kama hakuna Promota aliyehitaji hao wasanii waende huko na akafika bei?!Crue yote ya Arusha haipatani na wasafi huo ndo ukweli, wasanii karbia wote from kaskazin hasa Arusha au wenye asili ya huko, majamaa wana ukabila sana, na ndo mana huwez kuona Mond au wasafi wanarunch show Arusha, labda atokee promota tokea pande hzo, na hii inachangizwa na Cloud Fm na wajinga wengine kama Efm,
Bdozen na Mchomvu wametokea chuga, ambao wana bifu kali Na Diamond, Bdozen na weusi +Joh Makini ni pete na kidole...
Mond kawakaba koo sana,
Kwani wale jamaa ni kabila gani?,Na wanawabagua watu wa kabila gani?Kwenye Ukabila Nakupa 100%
Hawa watu basi tu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] Hizi picha huwa unazitolea wapi wewe numby?Tayari ninaye,see hereView attachment 1155014
Mie nimeona cha kutukana
Hoja dhaifu sana, uarusha ndo the main problem, acha kuzunguka mbuyu, hata huko maskul si tulikuwa tunawaona, kujitenga tenga tu na kujiona wao superior na videmu vyao vilivyoungua meno, hzo vurugu za fiesta ya clouds si zilichangizwa na wasanii wa chuga kutopewa frontline kwenye jukwaa...hata kuwekeza Arusha kwa mgeni ni ngumu utafanyiwa figisufigisu tu na fujo ili utoke kwenye reli, furaha ya watu wa Arusha ni kuona weusi, dogo janja, na type za wasanii wa kule ndo wanapiga show tofaut na hapo watakufanyia kila aina ya uhainiHujui unachoongea wewe! Wasanii kibao kutoka Arusha wameenda pale Wasafi! Hata Weusi, wameshaenda pale Wasafi including Nick II. Wale wanaoendesha kipindi cha Block 89, kuna wengine wanatokea kaskazini! Yaani kutowepo Joh Makini tu ndo uone kuna ukabila?! Kwani Joh na Nick II wanatoka makabila tofauti?! Kwamba Huwezi kuona Mond au Wasafi wana-launch shows Arusha, unazungumzia shows zipi hasa?! Ukiona Mond, Harmonize, Mboso au yeyote ameenda mkoa X ni kwamba huko kuna promota kafika bei ndo maana wameenda! Sasa ulitaka waende Arusha hata kama hakuna Promota aliyehitaji hao wasanii waende huko na akafika bei?!
Swali ni je, kwanini mapromota wa Arusha hawawaleti Wasafi au Diamond?! In short Arusha mna usela mavi, manake usela wa fujo ni usela wa kishamba! Clouds walishawahi kupeleka Fiesta, ikaibuka bonge la vurugu hadi Clouds wakaachana na Arusha! Sasa unadhani kuna promota anaweza kuita msanii anayetaka pesa nyingi wakati hana uhakika ikiwa shoo itaisha salama?!
Acheni usela wa kishamba!
Lakini kama unazungumzia shows za Wasafi; ni shows zipi hasa?! Kama ni Wasafi Festival Festival, imefanyika mara moja tu tena kwa majaribio! Na mara moja yenyewe, kuna mikoa kibao haikufanyika including Dar es salaam! Sasa kwanini uone kutofanyika Arusha ni ukabila?! We unafikiri Wasafi au Diamond wanafanya charity work hadi udhani hawawezi kwenda sehemu eti kwa sababu za ukabila?
Kuna kila dalili, wewe ndo mkabila!
Ina wezekana..kwani wewe huna wivu wa kimaendeleoKwa nini sasa anaumia na hatua za kimaendeleo za vijana wenzake?
Kama hujajua nini maana ya ukabila unajuaje kazingua sasa enh?Hapo kwenye ukabila umezingua sana
Nini maana ya ukabila? Hivi siku hizi tz tunaulizana ukabila kila tukikutana? Sijajua nini maana ya ukabila?
Shaa ni mmakonde pyuu , ila ameolewa na muarusha, master J
[emoji1] [emoji1] [emoji1] Hizi picha huwa unazitolea wapi wewe numby?
Smart guy
Kama mnapapatikia wenye hela ndo maana shishangai mashoga wengi kutokea arusha na kilimanjaroUmesahau na Manyara nayo ipo kaskazini. Mimi nimetoa maoni yangu kwamba watu wakikujua wewe ni wa kaskazini basi mnaanza kutubagua mbona sisi fresh hatubagui mtu yoyote. Karibu Moshi ukiwa na hela hapo basi utakuwa billionaire ila kama ni kapuku hakuna atakaye kupapatikia
Tatizo hueleweki hoja yako ni nini hasa! Kuna uzi umeufungua, huu hapa:-Hoja dhaifu sana, uarusha ndo the main problem, acha kuzunguka mbuyu, hata huko maskul si tulikuwa tunawaona, kujitenga tenga tu na kujiona wao superior na videmu vyao vilivyoungua meno, hzo vurugu za fiesta ya clouds si zilichangizwa na wasanii wa chuga kutopewa frontline kwenye jukwaa...hata kuwekeza Arusha kwa mgeni ni ngumu utafanyiwa figisufigisu tu na fujo ili utoke kwenye reli, furaha ya watu wa Arusha ni kuona weusi, dogo janja, na type za wasanii wa kule ndo wanapiga show tofaut na hapo watakufanyia kila aina ya uhaini
Wewe unayedhani una hoja strong, kwenye huo uzi unalalamikia nini, na kwenye hiyo post yako hapo juu unalalamikia?! Mara tatizo ni wasanii wa Arusha kuendekeza ukabila, mara Arusha walifanya fujo kwa sababu Clouds hawakuwapa kipaumbele wasanii wa Arusha! Mara tangu Wasafi ianze haijawahi kufanya show Arusha! Jifunze kujenga hoja!!!Tangu wasafi festival ianze last year sikuona mikoa ya kaskazin mwa Tanzania hususani Arusha na Kilimanjaro (Moshi) kama sehemu ya tour yao
View attachment 1153896
Na sasa mwaka huu ratiba imetoka tena ya wasafi festival sijaona mikoa ya kaskazin
View attachment 1153897
Kwa wale mlioko jikoni mtujuze kulikoni? Sababu ni nini?
Manyara haipo Kanda moja na arusha kilimanjaro na tanga.. Tunaita North eastern zone.. Manyara haipo kwenye hiyo KandaUkabila ndo upi huo? Anyway nayo Manyara ni kaskazini
Wachaga ni wadini na wakabilaa,tanga imebaguliwa kidiniUsishangae kuiacha tanga hao ni wakabila Sana... Roma aliwaambia kaskazini Bila tanga ni msondo bila gurumo..
May beNi wivu tuu