Wasafi imemkosea nini Joh Makini?

Wasafi imemkosea nini Joh Makini?

Wewe jamaa Best nasso siyo wa Mwanza ni msanii kutoka Musoma. Mwanza tunawakilishwa na Fid q + Young killer.
Okey asante kwa kunirekebisha maana nyimbo zake zinapigwagwa Mwanza hasa has ile ya 'nirudi kijijini'

Young Killer naye alianza kumdiss Joh Makini kisa anabebwa sasa basi wangesema wasanii wa kaskazini ndo wanabebwa maana kila radio hakupigwi nyimbo mbili yatattu isitoka kaskazini
 
Hivi kwa nini huwa mnapenda kuunganisha Kilimanjaro na Arusha.Kama issue ni kaskazini mbona hata Tanga ni Kaskazini.

Best Nasso sio wa Mwanza ni wa Mara.Mwanza tuna best artistes Kama
Fid Q
Young Killer
Kala Jeremiah
Rado
Baraka da prince
Mo Music
H baba

Mziki wa youngkiller,Fid na kala hamna raper kutokea Kaskazini nzima anaweza ugusa.

Mbeya pia tuna wasanii Kama
Ay
Izzo bizness
Quick Rocka
Sugu
Shaa huyu sio wa huko Kaskazini
Rayvanny
Mkuu hapo mwanza muonģeze koñki konki konķi master dudu baya please
 
Ila Kilimanjaro na Arusha tuna wasanii wengi sana tena international kwelikweli kweli

Vanesaa Mdee
Maua Sama
Navy Kenzo
Whozu
Bilnass
Malkia Karen
Shaa
Nikki wa pili
Nako2Nako
Chin bee
Etc etc etc

Nyinyi kisa daimond kwao Kigoma mkaja na Kigoma all [emoji93], Ukienda mwanza msanii wao Best Nasso, mbeya msanii wao ni mr. Xmass etc etc. Nyinyi mkijikusanya wala sio ukabila lakini sisi tukimind our own business inakuwa ukabila, kunya anye kuku, akinya bata kaharisha.

Yeye daimond nyimbo zake sizisikii kwenye ITV, EATV etc sasa kwa nini na za Clous nazo zisikike huko kwa Daimond.
Shaa ni mmakonde pyuu , ila ameolewa na muarusha, master J
 
Crue yote ya Arusha haipatani na wasafi huo ndo ukweli, wasanii karbia wote from kaskazin hasa Arusha au wenye asili ya huko, majamaa wana ukabila sana, na ndo mana huwez kuona Mond au wasafi wanarunch show Arusha, labda atokee promota tokea pande hzo, na hii inachangizwa na Cloud Fm na wajinga wengine kama Efm,

Bdozen na Mchomvu wametokea chuga, ambao wana bifu kali Na Diamond, Bdozen na weusi +Joh Makini ni pete na kidole...

Mond kawakaba koo sana,
Hujui unachoongea wewe! Wasanii kibao kutoka Arusha wameenda pale Wasafi! Hata Weusi, wameshaenda pale Wasafi including Nick II. Wale wanaoendesha kipindi cha Block 89, kuna wengine wanatokea kaskazini! Yaani kutowepo Joh Makini tu ndo uone kuna ukabila?! Kwani Joh na Nick II wanatoka makabila tofauti?! Kwamba Huwezi kuona Mond au Wasafi wana-launch shows Arusha, unazungumzia shows zipi hasa?! Ukiona Mond, Harmonize, Mboso au yeyote ameenda mkoa X ni kwamba huko kuna promota kafika bei ndo maana wameenda! Sasa ulitaka waende Arusha hata kama hakuna Promota aliyehitaji hao wasanii waende huko na akafika bei?!

Swali ni je, kwanini mapromota wa Arusha hawawaleti Wasafi au Diamond?! In short Arusha mna usela mavi, manake usela wa fujo ni usela wa kishamba! Clouds walishawahi kupeleka Fiesta, ikaibuka bonge la vurugu hadi Clouds wakaachana na Arusha! Sasa unadhani kuna promota anaweza kuita msanii anayetaka pesa nyingi wakati hana uhakika ikiwa shoo itaisha salama?!

Acheni usela wa kishamba!

Lakini kama unazungumzia shows za Wasafi; ni shows zipi hasa?! Kama ni Wasafi Festival Festival, imefanyika mara moja tu tena kwa majaribio! Na mara moja yenyewe, kuna mikoa kibao haikufanyika including Dar es salaam! Sasa kwanini uone kutofanyika Arusha ni ukabila?! We unafikiri Wasafi au Diamond wanafanya charity work hadi udhani hawawezi kwenda sehemu eti kwa sababu za ukabila?

Kuna kila dalili, wewe ndo mkabila!
 
Hujui unachoongea wewe! Wasanii kibao kutoka Arusha wameenda pale Wasafi! Hata Weusi, wameshaenda pale Wasafi including Nick II. Wale wanaoendesha kipindi cha Block 89, kuna wengine wanatokea kaskazini! Yaani kutowepo Joh Makini tu ndo uone kuna ukabila?! Kwani Joh na Nick II wanatoka makabila tofauti?! Kwamba Huwezi kuona Mond au Wasafi wana-launch shows Arusha, unazungumzia shows zipi hasa?! Ukiona Mond, Harmonize, Mboso au yeyote ameenda mkoa X ni kwamba huko kuna promota kafika bei ndo maana wameenda! Sasa ulitaka waende Arusha hata kama hakuna Promota aliyehitaji hao wasanii waende huko na akafika bei?!

Swali ni je, kwanini mapromota wa Arusha hawawaleti Wasafi au Diamond?! In short Arusha mna usela mavi, manake usela wa fujo ni usela wa kishamba! Clouds walishawahi kupeleka Fiesta, ikaibuka bonge la vurugu hadi Clouds wakaachana na Arusha! Sasa unadhani kuna promota anaweza kuita msanii anayetaka pesa nyingi wakati hana uhakika ikiwa shoo itaisha salama?!

Acheni usela wa kishamba!

Lakini kama unazungumzia shows za Wasafi; ni shows zipi hasa?! Kama ni Wasafi Festival Festival, imefanyika mara moja tu tena kwa majaribio! Na mara moja yenyewe, kuna mikoa kibao haikufanyika including Dar es salaam! Sasa kwanini uone kutofanyika Arusha ni ukabila?! We unafikiri Wasafi au Diamond wanafanya charity work hadi udhani hawawezi kwenda sehemu eti kwa sababu za ukabila?

Kuna kila dalili, wewe ndo mkabila!
Hoja dhaifu sana, uarusha ndo the main problem, acha kuzunguka mbuyu, hata huko maskul si tulikuwa tunawaona, kujitenga tenga tu na kujiona wao superior na videmu vyao vilivyoungua meno, hzo vurugu za fiesta ya clouds si zilichangizwa na wasanii wa chuga kutopewa frontline kwenye jukwaa...hata kuwekeza Arusha kwa mgeni ni ngumu utafanyiwa figisufigisu tu na fujo ili utoke kwenye reli, furaha ya watu wa Arusha ni kuona weusi, dogo janja, na type za wasanii wa kule ndo wanapiga show tofaut na hapo watakufanyia kila aina ya uhaini
 
Pia Diamond aliwahi kuweka wazi kuwa kuna wakati aliomba collabo na Joh akiwa ndo anahangaika kutoka. Joh akamwambia ampe elfu50, jamaa pesa akapewa lakini hakutokea kwa makochali kwa ajili ya kuingiza voko. Kila akipigiwa simu ikawa hapokei. Kwahiyo kuna kama kibif ka chini kati yao.
 
Hapo kwenye ukabila umezingua sana

Nini maana ya ukabila? Hivi siku hizi tz tunaulizana ukabila kila tukikutana? Sijajua nini maana ya ukabila?
Kama hujajua nini maana ya ukabila unajuaje kazingua sasa enh?
 
Umesahau na Manyara nayo ipo kaskazini. Mimi nimetoa maoni yangu kwamba watu wakikujua wewe ni wa kaskazini basi mnaanza kutubagua mbona sisi fresh hatubagui mtu yoyote. Karibu Moshi ukiwa na hela hapo basi utakuwa billionaire ila kama ni kapuku hakuna atakaye kupapatikia
Kama mnapapatikia wenye hela ndo maana shishangai mashoga wengi kutokea arusha na kilimanjaro
 
Hoja dhaifu sana, uarusha ndo the main problem, acha kuzunguka mbuyu, hata huko maskul si tulikuwa tunawaona, kujitenga tenga tu na kujiona wao superior na videmu vyao vilivyoungua meno, hzo vurugu za fiesta ya clouds si zilichangizwa na wasanii wa chuga kutopewa frontline kwenye jukwaa...hata kuwekeza Arusha kwa mgeni ni ngumu utafanyiwa figisufigisu tu na fujo ili utoke kwenye reli, furaha ya watu wa Arusha ni kuona weusi, dogo janja, na type za wasanii wa kule ndo wanapiga show tofaut na hapo watakufanyia kila aina ya uhaini
Tatizo hueleweki hoja yako ni nini hasa! Kuna uzi umeufungua, huu hapa:-
Tangu wasafi festival ianze last year sikuona mikoa ya kaskazin mwa Tanzania hususani Arusha na Kilimanjaro (Moshi) kama sehemu ya tour yao
View attachment 1153896

Na sasa mwaka huu ratiba imetoka tena ya wasafi festival sijaona mikoa ya kaskazin
View attachment 1153897

Kwa wale mlioko jikoni mtujuze kulikoni? Sababu ni nini?
Wewe unayedhani una hoja strong, kwenye huo uzi unalalamikia nini, na kwenye hiyo post yako hapo juu unalalamikia?! Mara tatizo ni wasanii wa Arusha kuendekeza ukabila, mara Arusha walifanya fujo kwa sababu Clouds hawakuwapa kipaumbele wasanii wa Arusha! Mara tangu Wasafi ianze haijawahi kufanya show Arusha! Jifunze kujenga hoja!!!
 
Mwambie rafiki yako, nimepoteza wallet ilikuwa na laki moja.
Kisha mtazame usoni amelipokeaje.

Wiki moja baadae, mwambie kuna mtu uliyekuwa unamdai kwa muda mrefu sana, amekulipa milioni moja yako.
Kisha mtazame usoni amelipokeaje na hilo.

Kesho yake utajua, yafaa kumuita rafiki au snitch.
 
Back
Top Bottom