Jurrasic Park
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 3,801
- 6,806
Ndo nani mie simfahamu na simjui vile vileRafael saganda sio msanii?
alieimbaNdo nani mie simfahamu na simjui vile vile
Waende tu wale nguchiro wa Ntwara kwanza kila siku ni ugomvi na platform zetu. Sijawahi kuzisikiaga habari za Mondi kwenye IPP media maana kipindi anatoka na Mbagala wimbo wake ulikuwa unapewa airtime sana sasa kwa vile amekengeuka basi apite vile ajifunze kuwa na adabu na ata akija Arusha tutamgomea hata kwa kampeniYani mwaka huu wameiacha Arusha jiji na moshi kwenye wasafi festival na kwenda maeneo kama muleba km 70 kutoka Bukoba mjini .
Hapo ujue kuna tatizo fanbase ya arusha
Ukabila kuzidi nyie.Sikiliza sauti sasa huko kwenu Inshomile hamna sauti, sura mbaya, rangi mbaya nyeusi tii ila hongeni kwa mashepu yenu hapo mmebarikiwa pamoja na ukabila
ulitakiwa kusema clouds john makin ni msanii ambaye clouds wanapromote ngoma zake na wanampa michongo ya shoo ikiwemo fiesta ishu ya aslay kupata support kubwa ilikuwa surprise ndipo wakaanza kumshindanisha na diamond gnako Nikki wa pili na wengine wanafanya interview wasafi kama kawa okey now you see tatizo in clouds nasio uarusha wala ukabilaHv unajua kwa nin Aslay alipokea support, hao hao akina Bdozen na Mchomvu ndo walihusika kucreate fanbase ya fasta fasta hapo chuga ili kumnyanyua Aslay apate shangwe la nguvu, lengo lao kufight popularity na Mond,
Watu wa Arusha humsikiliza Sana muarusha mwenzao, yaan hata ukiwaambia kinyesi ni chakula watakuelewa cha msingi utokee pande hzo...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah nilikuwa mdogo sana hata na pasta Munishi mzee wa Malebo umenikumbusha mbali sana. Tatizo la wasanii kama hawa wakiimba kilugha ndo unakuwa mwanzo wa kufeli. Mfano uimbe kimarangu ukienda Rombo hakuna atakayeujua huo wimbo, ukienda Kibosho, Machame, Uru, Narumu, Kahe, Mwanga etc etc utakuwa ni sawa na nyimbo ya mtaani kama ilivyo kisingeli unaimbwa na watu wa uswazi so ukipanda chati ukifika ushuani basi kisingeli unaachana nachoalieimba
ni namna gani ah;
ni jinsi gani tutawin maishan mpaka siku tunasema burian....
Vip kuna msanii wa kichaga au wa kasikazini anayeweza mfikia mtoto huyu wa kihaya Diana xavery clavery maarufu kama malaika Kwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah nilikuwa mdogo sana hata na pasta Munishi mzee wa Malebo umenikumbusha mbali sana. Tatizo la wasanii kama hawa wakiimba kilugha ndo unakuwa mwanzo wa kufeli. Mfano uimbe kimarangu ukienda Rombo hakuna atakayeujua huo wimbo, ukienda Kibosho, Machame, Uru, Narumu, Kahe, Mwanga etc etc utakuwa ni sawa na nyimbo ya mtaani kama ilivyo kisingeli unaimbwa na watu wa uswazi so ukipanda chati ukifika ushuani basi kisingeli unaachana nacho
Na kwa bahati Nzuri Malaika amekulia na kusoma Kibosho girls hapa Kibosho kama sio angekuwa kama nyinyi kina Nshomile maana tumemkuza vizuri chini ya mlima Kilimanjaro uliojaa baraka tele. Wasanii wengi ukiangalia either wamesomea Moshi au kukulia huku.Ukabila kuzidi nyie.
Hiv tungekuwa tunajenga Bukoba na kuipendelea si ingekuwa Dubai ndogo?
Bila Shaka unamfahamu goodluck gozbert rweyemamu,vip malaika,vip bushoke, vip Diana xavery maarufu kama malaika,
Vip sauti tamu ya Saida karoli najua nyimbo zake unazijua huku akiimba kihaya.
Angalia picha hapo chini ni madancer wa kihaya wa Saida karoli ,maua sama hawezi kuwafikia hata roboView attachment 1157119View attachment 1157120
Huyu amekulia kwetu wewe Nshomile akapata maji ya Kilimanjaro akatakata. Tukamlisha kitimoto, mtori, kitawa, ndizi za kuchoma na nyama choma mtoto akatakata akapendeza ndo maana mtoto katulia kabisa sio nyinyi kina Nshomile majigambo kama yote. Yaani msanii aliyekulia kwetu tunamfundisha stadi za maisha anajua amuheshimu nani na aongeeje kwenye hadhira sio kama huyu Saida Karoli wenu alivyo machepere kila siku mara Kina Felician Muta etc etcVip kuna msanii wa kichaga au wa kasikazini anayeweza mfikia mtoto huyu wa kihaya Diana xavery clavery maarufu kama malaika Kwa
Sura
Shape
Sauti
Rangi
nk
NkView attachment 1157131View attachment 1157132
Mbona unatoka our of point.kwanza amesomea Tu huko Hilo haliondoi kuwa ni muhaya pure.Na kwa bahati Nzuri Malaika amekulia na kusoma Kibosho girls hapa Kibosho kama sio angekuwa kama nyinyi kina Nshomile maana tumemkuza vizuri chini ya mlima Kilimanjaro uliojaa baraka tele. Wasanii wengi ukiangalia either wamesomea Moshi au kukulia huku.
Saida Karoli ni kweli nilikuwaga mpenzi wa nyimbo zake za kihaya ila nilikuwa sizielewi mfano Maria-rose, chambua kama karanga, mapenzi kizunguzungu etc etc. Huku kwetu Moshi hatunaga muda ya kuzungusha viuno sisi tuna muda wa kutafuta pesa. Kuanzia kumka mpaka kulala sisi twawaza pesa viuno nyinyi kateni alafu mrudi kwenu. Mngekuwa na akili mngefanya kama hawa watu wa Tanga wanakuja kusasambua kwenye Baikoko alafu unawapa pesa kwenye event yako sio nyinyi viuno mkatike alafu mkaombe pesa kwa bwana zenu
Embu mtuite tuwafundishe biashara. Siku nikipata mchongo huko kwenu Bukoba nitawauza hao wanawake zenu nipate pesa
Cc luambo makiadi
Hayo maji ya Kilimanjaro si ndo yanafanya Meno yenu yaungue na kuwa meusi.Huyu amekulia kwetu wewe Nshomile akapata maji ya Kilimanjaro akatakata. Tukamlisha kitimoto, mtori, kitawa, ndizi za kuchoma na nyama choma mtoto akatakata akapendeza ndo maana mtoto katulia kabisa sio nyinyi kina Nshomile majigambo kama yote. Yaani msanii aliyekulia kwetu tunamfundisha stadi za maisha anajua amuheshimu nani na aongeeje kwenye hadhira sio kama huyu Saida Karoli wenu alivyo machepere kila siku mara Kina Felician Muta etc etc
Ndio maana nikawaambia nyie ndo wabaguzi maana Harmonizer kwa vile kwao Mtwara basi kila mwanamtwara basi ni msanii wao hamuwaambii chochote. Kilimanjaro hatuna msanii wa kwetu njoo ukiza msanii gani wa nyumbani wanaompenda utawakosa ila nenda Mtwara-harmonizer
Mwanza-best naso
Mbeya-mr. Xmass
Morogoro-belle 9
Kilimanjaro- hamna hata mmoja
Huku tuna maji ya bomba kila nyumba sijui ni sehemu gani ulishakuta Moshi hii kuna sehemu watu wanaenda chota maji na ndoo kichwani. Yaani yale mambo ya kuchota maji kichwani huku hakuna maji yanatoka mpaka migombani huku kwetu. Unashangaa watoto wa huko bukoba wanaenda chota maji maelfu ya kilomita kila siku moshi hatunaga hiyo adhaHayo maji ya Kilimanjaro si ndo yanafanya Meno yenu yaungue na kuwa meusi.
Kwanza amesoma Tu kishule hapo kibosho girls Ila ni muhaya pure
Budagala na yule msanii wa MisungwiAcha upunga.. best nasso hatumjui Mwanza. Unaogopa kutaja vichwa vya mwanza kama FID Q, kala jeremiah, Baraka, young killer, etc.
Kwa Anjela hapo nakataa hakunaga mhaya Mweupe sijawahi ona ni sawa na muha mweupe hayupo kabisa.Mbona unatoka our of point.kwanza amesomea Tu huko Hilo haliondoi kuwa ni muhaya pure.
Vip huyo Lulu bila mama yake kuwa muhaya asingekuwa vile mara watoto wa kike hurithi Sana kutoka Kwa mama zao.
Vip kanumba mama yake asingekuwa muhaya sijui umaarufu angeutoa wap
Vip angela kairuki Mme wake asingekuwa muhaya sijui uwaziri angeutoa wap.
Vip lowassa mke wake asingekuwa muhaya sijui angekuwa sasa hiv
Vip slaa mke wake asingekuwa muhaya angekuwa wap sa hiv
Vip madam Rita si muhaya Yule
Vip lameck dito mama yake muhaya
Kwani nini wanawake wa kihaya wanaolewa hiv tena watu maarufu kuna Siri ipo ndani Yao.
Tafuta muhaya mkuu hutajuta.
Bado swali naomba ulete mrembo yoyote wa moshi anayeweza mfikia huyu malaika.
Vanessa ,Mimi mars sio wa moshi ni wapare huko.Huku tuna maji ya bomba kila nyumba sijui ni sehemu gani ulishakuta Moshi hii kuna sehemu watu wanaenda chota maji na ndoo kichwani. Yaani yale mambo ya kuchota maji kichwani huku hakuna maji yanatoka mpaka migombani huku kwetu. Unashangaa watoto wa huko bukoba wanaenda chota maji maelfu ya kilomita kila siku moshi hatunaga hiyo adha
Tuna Kilimanjaro drinking water yanayopendwa Tanzania nzima kila vikao, sherehe, warsa etc lazima ukute kitu cha Kilimanjaro drinking water kitu kina pH 7 kamili bila kuyumba yumba.
Nilishaonaga picha yake kipindi anaanza Kibisho kalikuwa keusi ila alivyokuja kumaliza form 4 alikuwa keshanenepa na rangi ya mtume hiyo ndo Moshi kijana wangu sio huko kwenu Maji hakuna ya bomba, barabara hakuna za lami, ni Ukimwi nyinyi, Ngono nyinyi, Idd Amin nyinyi, tetemeko nyinyi, dah poleni sana
Moshi tuna wasanii wengi sana mpaka tunaumwa
Vanessa Mdee
Maua Samar
Malkia Caren
Rosa Ree
Aika wa Nahreel
Nandy
Mimi mars
Wengine nimewasahau maana ni machipukizi haya taja wa Bukoba kama sio huyo
Malaika
Saida Karoli
Nitajie mhaya mmoja maarufu alieoa huko kwenu?Kwa Anjela hapo nakataa hakunaga mhaya Mweupe sijawahi ona ni sawa na muha mweupe hayupo kabisa.
Mkapa kaoa Kilimanjaro
Majaliwa kaoa huku Kilimanjaro
Malechela naye kaoa mtoto wa kichaga
Harson Mwakyembe naye kaoa mchagga
Yaani ukioa Kilimanjaro huwi mapepe kabisa unatulia tuli sio kina Kaijage mapepe, Bashungwa mapepe, mama wa hela ya mboga, etc etc
Acha uongo tumetoka kumzika mke wa mwakyembe juzi ni mnyakyusa mwenzake.Kwa Anjela hapo nakataa hakunaga mhaya Mweupe sijawahi ona ni sawa na muha mweupe hayupo kabisa.
Mkapa kaoa Kilimanjaro
Majaliwa kaoa huku Kilimanjaro
Malechela naye kaoa mtoto wa kichaga
Harson Mwakyembe naye kaoa mchagga
Yaani ukioa Kilimanjaro huwi mapepe kabisa unatulia tuli sio kina Kaijage mapepe, Bashungwa mapepe, mama wa hela ya mboga, etc etc
Huyo Mama hela ya chenchi ni mwizi, jambazi, fisadi na mlanguzi hela hizo hapana za wizi ilibidi azirudishe kisha tumsweke ndaniNitajie mhaya mmoja maarufu alieoa huko kwenu?
Wanawake wa kichaga hawafai kuolewa ndo maana hata mengi alikimbilia kigoma.
Nimesema Mme wake Angela kairuki .
Nitajie hata mwanamke mmoja anayeweza fikia hata robo ya utajiri wa tibaijuka.
Vip mama rwakatale mmiliki wa st Mary's.
Vip mmiliki wa tusiime
Kabla ya huyo bana maana alioa somebody Urassa wa machame kwa kina Mbowe tena alikuwaga anakujaga huku MoshiAcha uongo tumetoka kumzika mke wa mwakyembe juzi ni mnyakyusa mwenzake.