Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

Hili suala binafsi nilikuwa nalifahamu tangu 2011 wakati nafanya kazi kwenye media house. Wengi wenu humu JF hamjui mambo mengi sana ya mjini. Mmesoma ila mambo ya town mko nyuma sana.
Mimi nalifahamu tokea 2017 na sio kwa habari za kusikia, ni suala ambalo tulilifuatilia wenyewe.

Watu wanaleta ujuaji wa mambo ya darasani wakati hapa tunaongelea uhalisia.
 
Unanikumbusha warumi ...nimelia Mimi.
 
Umeongea kitaalam kabisa
 
Hiyo Paragraph ya mwisho uwongo,Frequency ni mali ya TCRA yy ndiye anaye panga na kuengineer na ukitaka nenda pale TCRA Frequency bado wanazo na ukimzingua anakunyang'anya Frequency zake.
Labda kabla ya kuuzwa ndiyo huwa mali yao, lakini zikishauzwa huwa ni mali ya aliyezinunua.

Ni kama shati ukishalinunua ni lako siyo ya la aliyekuwa akiliuza. Na watu kadhaa wamenunua, frequencies ni za kwao.

Ova
 
Ni kweli kabisa mkuu unachoandika, Bakhressa lengo lake kubwa ktk kuanzisha UFM ni kutangaza biashara zake. Na ndiyo maana huwezi kusikia UFM ikitangaza matangazo ya kamari kama wanavyofanya hao Wasafi media au Clouds media.
 
I love it! Huu ni udaku pro b..., details zilizopo humu zinakufanya uwe kwenye dunia yako kwenye habari za udaku mtandaoni.

Hii inawezekana kwamba Nassib anataka madeni kodi yalipwe na Joe, kwani yeye analipa gharama za kila siku za redio.

Na kwa miezi kama minne hivi mishahara ya watumishi wasio mastaa wakubwa imekuwa na utata kidogo pale.

Ova
 
Asante b... Mwalimu wangu wa uandishi kaka mzuri anastahili pongezi. Alinionyesha njia za uandishi, nami nazingatia.

Tatizo watu wabishi b..., wanadhani haya mambo tunaamka tu na kuandika bila uhakika.
 
Asante b... Mwalimu wangu wa uandishi kaka mzuri anastahili pongezi. Alinionyesha njia za uandishi, nami nazingatia.

Tatizo watu wabishi b..., wanadhani haya mambo tunaamka tu na kuandika bila uhakika.
Kwenye kuhabarisha ni lazima ubishi uwepo kwa kuwa hii siyo taarifa ya press conference, bali ni taarifa ya kuchimba.

So, ni kama ilivyokuwa na Thomaso alipopokea taarifa za Yesu, alianza kwa kubisha hadi Yesu alipomtokea ndiyo akaamini.

Na habari ikiwa haisababishi mjadala wowote (ubishi ni mjadala), basi hiyo habari waswahili wa siku hizi hutumia neno la haina mashiko.

Ova
 
Kila mkoa una idadi ya frequency, kama zikishajaa basi unalazimika kwenda mkoa mwingine. Ndiyo maana akina Mjini FM wanapitia kwingine na ofisi ziko Dar.

Hapo nyuma kuna mtu mmoja, ambaye ni mtoto wa aliyekuwa kigogo JW, alianzisha redio ya dini na alilazimika kutumia Frequency na Bakwata ili aruke Dar.

Studio zilikuwa pale Al Haramain, ila baadaye kuna mambo alifanya sivyo ndivyo, Bakwata wakaamua kuchukua Frequency zao. Jamaa akaamua kuachana na redio.

Hata Eric Shigongo akiamua kuanzisha redio leo hii, itaruka Dar, kwa sababu ana frequency kitambo za hapo Dar.

Ova
 
Nyie wajuzi wa mambo sijui kwanini huwa mnachelewa mpaka walugaluga wanatusumbua hapa.
Asante kwa kuweka mzani sawa b...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…