Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

Mbona unatumia nguvu nyingi kubishana na wajinga?
 
Hivi vitu ni optional halafu unaweza kufika dau ya mmiliki wa frequence nzuri anazohold nae akagoma sio lazma akuuzie sababu na yeye sio njaa kivile

Pili ni huwezi jua hata io 107.3 je km nayo alinunua? Na ndio aliyoipata


FIkiria nje ya boksi
Umefafanua vizuri mkuu, ni kama Joe hauzi frequency kwa bei yoyote, kama ukizitaka mgawane umiliki wa hiyo redio.

Hata huyo SSB ni hizo UFM na UTV ndizo zimeanzia hapo TZ, nyingine zimeanzishiwa kwingine huko na TZ zimekuja kuruka tu kwa kisimbuzi.

Ova
 
Kwani wale waliomeza madesa ya darasani wako wapi lakini? Wajuzi mmekuja wamepotea.
Natamani waje wabishe tena.
 
Na yule kusaga aliyekuwepo jana na huyo diamond pamoja na mendez viwanja vya leaders, ni crones wale kwa tony osborn.
Au hapokei siimu kivipi?
Si ndio waandaaji wa show ya jana ile.
Kuna mtu anapromoti kiredio chake aliiga kwenye lebo akapoteana tunamkaribisha kwenye media tumtoe kinyesi
 
Kings FM ni radio ipo Njombe mjini . Labda watafute jina mpya
 
Nilivyomuelewa jamaa ni kwamba kuna watu tayari wameshazinunua hizo frequency toka TCRA kwahio ukitaka kuanzisha kituo chako, lazima ununue kwa watu ambao walishazinunua hizo frequency toka TCRA maana TCRA washauza kila frequency kwa hapa dar
Nyie ndio wale watu wanaoamini mpaka sasa kuwa Michael Jackson alisema bongo inanuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…