The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Mbaya zaidi watu hawataki kufahamishwaHili suala binafsi nilikuwa nalifahamu tangu 2011 wakati nafanya kazi kwenye media house. Wengi wenu humu JF hamjui mambo mengi sana ya mjini. Mmesoma ila mambo ya town mko nyuma sana.
TrueUkishakua mfanyabiashara mkubwa kukwaluzana na TRA ni given. Kwa sababu Tanzania hii hakuna mtu analipa kodi 100%
Nakuunga mkono alafu wakifeli maisha wanahisi wamerogwa kumbe ni kwasababu wanapenda kuwaazia wengine mabayaUsihangaike bro wanapenda story za mond kufeli, maisha ya waAfrika hasa wabongo yana chuki sana bro.
Kwamba wao hawafaidiki na chochote, si wajinga kiasi hichoKama ni kwel bas Kusaga ana akili za kufa mtu. Maana anawatumia tu hao wajinga wawil kuongeza financial millage.
KOsa pesa pata akili, pesa zitalufuata tu
Kukosea kupo but kama umeelewa unakausha tu,mbona wewe umekosea kwa kuandika "respond" badala ya "responce"?Kukosea kila mtu anakosea ila respond yako kwangu ilikua ni ya kipumbavu,ungekubali kua umekosea na sio kuanza kujitutumua,
Unafananisha Habari ya Idara ya habari Ikulu na comment ya JF? baada ya kuona kua umekosea si unge edit tu kuliko kujifanya mjuaji na kunijibu kifedhuli?
Ziiki MediaKuna mkataba ambao Ndomo kaingia na madon fulani huko SA na mkataba huo unamfanya akose umiliki wa mpaka social medias zake. Sasa amesalia kuwa na unverified accounts na inabidi kila release atoe kupitia kolabo.
Alifurahia bilioni zile alizoingiziwa ktk akaunti lakini hakujua kuwa vitamfanya awe mtumwa baadaye.
Hana raha na maisha ya kujitapa anayapenda. Lazima akwepe kodi
Fungua saloon inatoshaSasa huyo kusaga kukamat Hizo frequency zote ndio Nini?sisi wengine tupeleke wapi mitaji yetu?Uchoyo tu
Acha uchoyoFungua saloon inatosha
Wamemuweka mtu kati wameshikilia mpaka deals za matangazo.Ziiki Media
Kwahiyo unafurahiaWamemuweka mtu kati wameshikilia mpaka deals za matangazo.
Akijifanya kuwakwepa kwa kukolabo na vijana ili asikatwe hela ya mkataba ndo watamuonesha kwa nini Mafia ni kisiwa
Ana mameneja wazuri na imara sana sana lakini Hana wanasheria nguli wa kumshauri
360 deal kwa 12b sio mchezoWamemuweka mtu kati wameshikilia mpaka deals za matangazo.
Akijifanya kuwakwepa kwa kukolabo na vijana ili asikatwe hela ya mkataba ndo watamuonesha kwa nini Mafia ni kisiwa
Ana mameneja wazuri na imara sana sana lakini Hana wanasheria nguli wa kumshauri
Ntakupa frequency ila stress za radio zitapunguza huo urembo wowowo litapunguaAcha uchoyo
Hahahahaha..sawa sawa kama mnalijijuaHili suala binafsi nilikuwa nalifahamu tangu 2011 wakati nafanya kazi kwenye media house. Wengi wenu humu JF hamjui mambo mengi sana ya mjini. Mmesoma ila mambo ya town mko nyuma sana.
Hahahahaha..clouds plus ilikuaje joe akaporwa jina? Na vipi kuhusu zbc 2 ..najua utakua unazo za chini ?Mimi nalifahamu tokea 2017 na sio kwa habari za kusikia, ni suala ambalo tulilifuatilia wenyewe.
Watu wanaleta ujuaji wa mambo ya darasani wakati hapa tunaongelea uhalisia.
Ni kama useme ardhi ni mali ya umma ila serikali inaweza kumpokonya mmiliki.Hiyo Paragraph ya mwisho uwongo,Frequency ni mali ya TCRA yy ndiye anaye panga na kuengineer na ukitaka nenda pale TCRA Frequency bado wanazo na ukimzingua anakunyang'anya Frequency zake.
Alipaswa kwenda mbali zaidi ya hapo.360 deal kwa 12b sio mchezo
Hivi clouds plus bado ipo?Hahahahaha..clouds plus ilikuaje joe akaporwa jina? Na vipi kuhusu zbc 2 ..najua utakua unazo za chini ?
Hahahahaha..ina matatizo kdg...nasubiri wakali wa ubuyu wako humu watatupatia maelezoHivi clouds plus bado ipo?