Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

Kukosea kupo but kama umeelewa unakausha tu,mbona wewe umekosea kwa kuandika "respond" badala ya "responce"?
 
Ziiki Media
 
360 deal kwa 12b sio mchezo
 
Mimi nalifahamu tokea 2017 na sio kwa habari za kusikia, ni suala ambalo tulilifuatilia wenyewe.

Watu wanaleta ujuaji wa mambo ya darasani wakati hapa tunaongelea uhalisia.
Hahahahaha..clouds plus ilikuaje joe akaporwa jina? Na vipi kuhusu zbc 2 ..najua utakua unazo za chini ?
 
Hiyo Paragraph ya mwisho uwongo,Frequency ni mali ya TCRA yy ndiye anaye panga na kuengineer na ukitaka nenda pale TCRA Frequency bado wanazo na ukimzingua anakunyang'anya Frequency zake.
Ni kama useme ardhi ni mali ya umma ila serikali inaweza kumpokonya mmiliki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…