Wasafi Media Mtegoni. Diamond, Kusaga wavurugana

Ingawa unasema redio uchwara zinakuwa kwenye frequency kama 102 hadi 107 hivi but redio hiyo hiyo moja unaweza kukuta Dar frequency yake 88.9 ila huko mikoani ni 100+, hii ina maana gani?
 
Nahisi kuna mtu kaisaliti koo ya simba. Anaweza kuumia sana.

 
Nifah naona uko mbele sana ya muda kwenye habari za town. Leo ndo Mange kapost habari yako. Akulipe
Na mimi ndio nimetoka kuiona hapa, halafu walikuja watu hapa hasa huyu lukubuzo Samsis kusema mimi ndio nimecopy kwake.

Sichukui habari kwa mtu, nina shelf limejaa habari ni mimi tu niamue ipi ya kuwaletea.
Asante Mkuu MamaSamia2025
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…