Ungejua? Hii ni habari ya uhakika ni vile tu siwezi kusema ilivyopatikana.Pale mwenye tetesi anapo "chalenjiwa" na wabobevu wa kazi. π.
Huu ndio uzuri wa Jamii forum
Diamond hapokei simu za Diamond!Mbona sikuelewi? Mimi nimesema Diamond hapokei simu za Diamond na sio haongei na Diamond.
Masuala ya mke wake ni nje ya habari niliyoileta hapa.
Ila kings haijaanzwa kuzungumzwa Leo mkuu!!Ungejua? Hii ni habari ya uhakika ni vile tu siwezi kusema ilivyopatikana.
Lakini, muda si upo? Subirini uzinduzi wa Kings Media halafu mtarudi hapa.
ndio tena hadi mtukananeKwamba unataka kuongelewa?
Diamond karanga na Diamind Platnumz labdaDiamond hapokei simu za Diamond!
Au mimi ndio sijaelewa hapa!!
Kings fm ni brand ya mtu mwingine na inafanya kazi njombe hukoKings iko mbioni sanaaaa kuanza muda wowote.....wameshafunga kila kitu....kiko sawa sawa kuanza
Umepaniki? Hayo sio mambo madogo kwenye uandishi,acha kufosi kosa lionekane sio kosa,Mambo madogo sana hayo kuyachukulia kwa uzito wa post.
Usikute ni kiba masikin anajipambania kimpango wake halaf wadau wanataka kupita na upepo wake.Mchakato uko mwishoni sasa...
Wewe kama unabisha bisha ila TCRA freqiency zipo nina uhakika na ninacho kiongea.Ficha upumbavu wako. FM frequency kila mji unapangiwa masafa (frequency moja tu) na FM ina Total 100 Stations kwa kila mkoa:
The FM radio band is from 88 to 108 MHz between VHF television Channels 6 and 7. The FM stations are assigned center frequencies at 200 kHz separation starting at 88.1 MHz, for a maximum of 100 stations.
Dar es salaam Wajanja wameziomba na awajaanzisha Redio ila wanazilipia kila Mwaka..... hii pia ipo katika Telecom... wapo Matajiri walikuwa wanamiliki Frquency za kuanzisha makampuni ya simu kwa miaka mingi hapa Tanzania mpaka pale TCRA walipobadilisha mfumo wa umiriki wa hizo Frquencies . Ila kwa Radio na TV bado wapo watu wanazo na awajafungua stations. Ukizitaka unalipa hela ndefu ndo upewe. Kama unaweza omba TCRA ukapata FM frequency Dar ni PM tuyajenge nnahitaji moja
Idara ya habari Ikulu wanakosea ijekuwa mimi? Wala siwezi kupanic, ndio maana nikakuambia ni mambo madogo hayo.Umepaniki? Hayo sio mambo madogo kwenye uandishi,acha kufosi kosa lionekane sio kosa,
Ujumbe sahihi hufikishwa kwa lugha sahihi.
Wanakwambia kuna watu wamezimaliza,kwa jinsi technologies zilivyo sophisticated yaani umalize frequency.Bora ww umeiweka kielectronics zaidi.Hapo kwenye Frequencies Umeniacha,
Nijuavyo zinakua generated anytime mtu aliyekizi vigezo akihitaji...
Frequencies sio kifaa, ni mawimbi tuu, ambayo yatahitaji kifaa kama alternator kugenerate, transmitter kusafirisha kwenda kwenye receiver(antena)...
Kwahiyo idara ya habari Ikulu kukosea ndio iwe halali kwa wengine kukosea? What a rubbish answer.Idara ya habari Ikulu wanakosea ijekuwa mimi? Wala siwezi kupanic, ndio maana nikakuambia ni mambo madogo hayo.
Halafu sio katika habari kuu, ilikuwa tu ni post namjibu mtu.
Kwani wewe hujawahi kukosea? Yani mimi kuandika Diamond badala ya Kusaga ndio unanikomalia hivi?Kwahiyo idara ya habari Ikulu kukosea ndio iwe halali kwa wengine kukosea? What a rubbish answer.