Redio hiyo inamilikiwa na waziri mmmoja -----
Hizo frequency aliuziwa na smbdy mohamed mwenye zanzibar cable,hyo hyo alimuzia pia frequency mwenye mjini fm
Hyo mohamed mwanzoni alikuwaga na furaha fm na TV huko zenji
Ingia deep mfatilie hyo mwenye zanzibar cable utamjuwa hasa ni nani na harakati zake zilivyo
Kwa hiyo redio hyo ni ya waziri mmoja tena sahv yuko hot kweli kweli ......na redio hyo ya crown sjui kings anayeisimamia ni smbdy isy........
Kusaga hana umiliki hapo kabisa
Ova
kuna radio moja kule visiwani inaitwa Hitz fm inamilikiwa na huyo Mohammed maarafu kama Mohammed Kichwa, Pia ndio owner wa Zanzibar Cable, hivi karibuni mtoto wake mmoja alitekwa na kuuliwa hapa Dar picha zake zilitrend mitandaoni.