Wasafi Media na anguko la East Africa Radio

Wasafi Media na anguko la East Africa Radio

Sioni sababu ya kuendelea kunyang'anyana wazee kama kina Kitenge et.al wakati kuna young talents nyingi na zinafanya vizuri mnoo...
Ni kukosa ubunifu tu na kutojiamini.

Kwa hili Wasafi wamechemka sana..

Ilibidi kama kituo kipya kipike watu wake ..wapya.

Hovyoo kabisa.
Wakati unakuza vipaji biashara inakusubiri?
Kama ameamua kufanya biashara acha achanganye damu apige hela vipaji vitakuzwa na awa wazee aliochukua.
 
Mimi pale EA RADIO hata aondoke nani, nitadumu kuwa msikilizaji wao.

Kuna vichwa mwanzo viliondoka bwana, achana na kina zembwela hawa.

Mwanzo mpaka nikawa nasema, nini hiki? Lakini mpaka leo EA RADIO wako imara.

DJ Mafuvu alipotoweka pale mjengoni, nikadhani pengo halitazibika, kumbe nilikuwa nadhani uongo, mpaka leo pengo lake limeshazibwa.

Haya, kuna yule dada aliyeko CLOUDS, nilidhani pengo lake halizibiki, lakini mpaka hapa pengo lake limezibwa, n.k n.k...
Ea Radio kile ni kiwanda, kila siku kinafyatua vichwa vipya.

Kwahiyo hao kina nani sijui wewe waache waende, lakini mimi na EA RADIO, Sijui aondoke nani pale ndipo niache kuisikiliza
Hao wote uliowataja, kuna watu wanawatolea macho ni suala la muda tu
 
Huu usajili wanao ufanya Wasafi ni mzuri sana kwa mashabiki wa WCB,usajili huu unafanywa kukomoa pande flani,wata tisha kwa muda ila mshindi atakuja aonekane tu,hawa akina kitenge na kumwembe wana majina makubwa ila hawana jipya kwenye tasnia hii,Wasafi wange deal na talent mpya huku kitaani zimejaa,Diamond asifikiri Media ni kama game la music.
 
Sioni sababu ya kuendelea kunyang'anyana wazee kama kina Kitenge et.al wakati kuna young talents nyingi na zinafanya vizuri mnoo...
Ni kukosa ubunifu tu na kutojiamini.

Kwa hili Wasafi wamechemka sana..

Ilibidi kama kituo kipya kipike watu wake ..wapya.

Hovyoo kabisa.
Young talent ukiangalia kipindi cha Block89 wote wale ni young talent tena kuna Media zingine waliwaona hawafai ni makapi, kama Jonijo Times alikuwa kama yupoyupo, Calipso, Kissfm waliona hana jipya akaenda Lakefm, akaenda Times, mara Classic fm, hatimae wanaojua kujali wamemuona
 
Sioni sababu ya kuendelea kunyang'anyana wazee kama kina Kitenge et.al wakati kuna young talents nyingi na zinafanya vizuri mnoo...
Ni kukosa ubunifu tu na kutojiamini.

Kwa hili Wasafi wamechemka sana..

Ilibidi kama kituo kipya kipike watu wake ..wapya.

Hovyoo kabisa.
kupika watu wapya bila kuwa na malegend wa kuwaonyesha njia vijana huwez kutoboa,Charles hillary mkongwe wa vikongwe katoka BBC kasajiliwa Azam na anafanya vyema sana na kuwafundisha vijana wapya what to do in biznez....acha roho mbaya mkuu
 
Mimi pale EA RADIO hata aondoke nani, nitadumu kuwa msikilizaji wao.

Kuna vichwa mwanzo viliondoka bwana, achana na kina zembwela hawa.

Mwanzo mpaka nikawa nasema, nini hiki? Lakini mpaka leo EA RADIO wako imara.

DJ Mafuvu alipotoweka pale mjengoni, nikadhani pengo halitazibika, kumbe nilikuwa nadhani uongo, mpaka leo pengo lake limeshazibwa.

Haya, kuna yule dada aliyeko CLOUDS, nilidhani pengo lake halizibiki, lakini mpaka hapa pengo lake limezibwa, n.k n.k...
Ea Radio kile ni kiwanda, kila siku kinafyatua vichwa vipya.

Kwahiyo hao kina nani sijui wewe waache waende, lakini mimi na EA RADIO, Sijui aondoke nani pale ndipo niache kuisikiliza
Nakuona msikilizaji kindakindaki wa EA radio
 
Sioni sababu ya kuendelea kunyang'anyana wazee kama kina Kitenge et.al wakati kuna young talents nyingi na zinafanya vizuri mnoo...
Ni kukosa ubunifu tu na kutojiamini.

Kwa hili Wasafi wamechemka sana..

Ilibidi kama kituo kipya kipike watu wake ..wapya.

Hovyoo kabisa.
Mkuu wapo wanaopikwa sema katika safari hiyo ya talanta mpya nilazima pawepo na wakongwe wakuonesha njia

kama soka tu,kwa mfano la masia inapika akina Ansu Fati,Huku wakati huo huo wazoefu kama akina Griezman Wanasajiliwa
 
Hii wiki imeanza kwa kishindo upande wa Kiwanda cha media baada ya Wasafi Fm kufanya utambulisho wa watangazaji wa kipindi cha michezo cha Sport Arena, utambulisho uliojaa manjonjo na mbwe huku wakiwa wameacha vilio na mapengo kwenye baadhi ya vyombo vya habari,

Biashara ni Ushindani, eeeh ndio ushindani, naona yale yaliyofanyika kwa Clouds kuiba watangazaji wa EA Radio, na EFM kuiba kwa sasa naona yakitokea tena, issue kubwa ni dau, sehemu yoyote ukitangaza Dau mtu hufanya kwa kiwango cha juu sana plus taaluma na uzoefu,

Biashara ya media inabebwa na matangazo, matangazo nayo yanaangalia vipindi gani hupendwa na wasikilizaji, wasikilizaji nao huangalia kipindi kinaendeshwa na nani, ndiomaana tunaona wenye majina makubwa ndio wanufaika,

kuna watangazaji wadogo lakini wanauwezo mkubwa sana na wako mikoani au media kubwa Dar ila nafasi hawapewi, na kuna watangazaji wakubwa wanamajina ila maslah madogo sasa hapa ndio tunaona wenye upeo na biashara hucheza karata vizuri,

EA Radio kwenye usajili au nyakua nyakua, waliwapoteza Mammy Babby, Bantu, Kennedy, Sinyorita, na Ommy Crazy
hapo nyuma walishawapoteza Seba the warrior, Marygoreth Richard, nk
Mafuvu
pia walikosa kwa sababu zao binafsi

sasa kwenye usajili wa WASAFI fm katika kujitangaza na kujiboresha na kuteka hisia za watu, naona wafuatao wanaondoka,
Jr Junior, King Smash, Sam Misago pia kuna tetesi za watu wa team ya tv production kubebwa,

Hili litaleta anguko la pili baada ya lile la kwanza ambalo walipoteza sana mvuto kwa wasikilizaji na ikabaki ufanyaji wa kazi kwa mazoea bila initiative/strategy, pigo walilopigwa kuondoka Zembwela ni kubwa Supa Mix ndio basi tena, au wataendelea kuwazalishia watangazaji wazuri washindani wao..?
RFA imezalisha watangazaji wengi sana ambao kwa sasa ni maarufu, hadi leo ipo haijawahi kuanguka japo hata wafanyakazi hawalipwi kwa wakati lkn radio ipo inadunda tu, hata EA radio haitaanguka
 
Mmmmh hii ni mpya kwangu coz cjasikiliza Earadio karibia n mwaka sasa hii habari ya zembwela kutokuwapo Ea radio ni la kweli...?
nimeacha ubishi ila naomba hili nidhibitishiwe coz kunamambo yaliongelewa kuhusu Harmo ckucomment chochote japo moyon nilibisha ila leo nimethibitisha.
Na vp kuhusu Jr junior na king smash. Ikiwa ni kweli Ea watakuwa wameferi na kweli kuanguka kupo.
 
Sioni sababu ya kuendelea kunyang'anyana wazee kama kina Kitenge et.al wakati kuna young talents nyingi na zinafanya vizuri mnoo...
Ni kukosa ubunifu tu na kutojiamini.

Kwa hili Wasafi wamechemka sana..

Ilibidi kama kituo kipya kipike watu wake ..wapya.

Hovyoo kabisa.
hata hao tunaowaona wakubwa walipikwa na wakubwa ko uwepo wa akina kitenge utazalisha vijana wengine ambao watajifunza kupitia hao wakubwa
kama unafuatilia clouds kuna akina prisca kishamba hawajajitokeza tu na kufanya wanachokifanya ila walianzia chini na kuingi taratibu kwenye mfumo

Czan kama ningekuwa tayari kumpa sikio langu mtu from know where eti coz yupo clouds hii ni biasha inaenda na brand ya mtu pia uwapo wa akina shafii ndio uliowainua akina Coutinho na wengine tunaowasikia clouds hata akina mumy baby
 
Huu usajili wanao ufanya Wasafi ni mzuri sana kwa mashabiki wa WCB,usajili huu unafanywa kukomoa pande flani,wata tisha kwa muda ila mshindi atakuja aonekane tu,hawa akina kitenge na kumwembe wana majina makubwa ila hawana jipya kwenye tasnia hii,Wasafi wange deal na talent mpya huku kitaani zimejaa,Diamond asifikiri Media ni kama game la music.
Wewe kwenye maisha yako binafsi umefanya nini cha maana chenye kugusa jamii mbali na ku diss idea za wengine ?
 
Hivi hao wanaohama hama kwamba wanafuata maslahi ,ebu tuambiane ni maslahi gani? Hivi kuna mtangazaji anakinga 2m kwa mwezi?
 
Back
Top Bottom