Wasafi media na EFM ni watoto wa baba mmoja na mama mmoja matumbo mbalimbali

Wasafi media na EFM ni watoto wa baba mmoja na mama mmoja matumbo mbalimbali

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
EFM na wasafi media wametofautiana tarehe ya kuzaliwa tu lakini baba ni mmoja na mama yao mmoja!

Wafanyakazi wanakula kwa bamdogo wanalala kwa shangazi!

Mikataba yao ni copy and paste!

Mwaka mmoja kulala kwa shangazi, mwaka mwingine tunarudi kwa bamdogo maisha yanasonga cha muhimu ni kuwa na backup! Moja itambeba mwenzake!

Ingekuwa wameprint bango Leo upande mmoja ungesomeka "KWAHERI KITENGE EFM" na upande wa pili ungesomeka "KARIBU KITENGE WASAFI"
 
Majizo ndiye baba lakini Diamond ni Branding!
Hisa ndogo alizo Nazi wasafi ni za kimkakati wa kuitaganza!
Ni kama mimi hivi lengo nianzishe Gym kubwa mjini then nimpe hisa kidogo mandonga kuwa ndiye mmiliki!

Wafanyakazi wa gym A tunawahamisha kimkakati wa kuitangaza Gym B
 
Majizo ndiye baba lakini Diamond ni Branding!
Hisa ndogo alizo Nazi wasafi ni za kimkakati wa kuitaganza!
Ni kama mimi hivi lengo nianzishe Gym kubwa mjini then nimpe hisa kidogo mandonga kuwa ndiye mmiliki!

Wafanyakazi wa gym A tunawahamisha kimkakati wa kuitangaza Gym B
Majizo ndio baba wa nini?😂😂
 
Kama mama ni mmoja hawawezi kuwa matumbo mbalimbali
Matumbo mbalimbali maana yake mama ni mmoja lakini uzao ni tofauti! ...yaani tumbo la uzazi lililomzaa EFM lilikuwa na tabia tofauti na uzao wa tumbo la wasafi!

Kwenu mnaweza kuwa watoto wengi kwenye tumbo la mama yenu lakini mlizaliwa kila mmoja alitungwa kwenye tumbo lake!
 
Matumbo mbalimbali maana yake mama ni mmoja lakini uzao ni tofauti! ...yaani tumbo la uzazi lililomzaa EFM lilikuwa na tabia tofauti na uzao wa tumbo la wasafi!

Kwenu mnaweza kuwa watoto wengi kwenye tumbo la mama yenu lakini mlizaliwa kila mmoja alitungwa kwenye tumbo lake!

Hiyo haipo kiuhalisi mzeee wala kisayansi hata kiroho hakuna kitu kama icho kama mama mmoja tumbo la uzazi ni moja tu labda useme baba tofauti hapo sawa
 
Hiyo haipo kiuhalisi mzeee wala kisayansi hata kiroho hakuna kitu kama icho kama mama mmoja tumbo la uzazi ni moja tu labda useme baba tofauti hapo sawa
Wanaozaliwa na tumbo moja ni mapacha peke yake! Wengine wote kila mtu kazaliwa na tumbo lake ingawa mama ni mmoja!
 
EFM kafanyiwa kitu mbaya sana, ila atasimama.

Naona Clouds yeye yupo bado
 
Diblo Dibala kwenye hayo yote ni Joseph Kusaga.
 
Back
Top Bottom