Ni maelekezo ya mwajili hizo zingine mbwembwe tuLakini mwisho wa siku kila mtu anangalia maslahi binafsi ...... kama kuna engo nyingine umetizama cjui ila mmi nimeangalia upande wa maslahi
Binafsi kitenge huwa simsomi dizain na mwona kama mtu flani ambaye hawezi tulia sehem moja ...... ukijaribu kuangalia background from ITVNi maelekezo ya mwajili hizo zingine mbwembwe tu
Majizo ndio baba wa nini?😂😂Majizo ndiye baba lakini Diamond ni Branding!
Hisa ndogo alizo Nazi wasafi ni za kimkakati wa kuitaganza!
Ni kama mimi hivi lengo nianzishe Gym kubwa mjini then nimpe hisa kidogo mandonga kuwa ndiye mmiliki!
Wafanyakazi wa gym A tunawahamisha kimkakati wa kuitangaza Gym B
Matumbo mbalimbali maana yake mama ni mmoja lakini uzao ni tofauti! ...yaani tumbo la uzazi lililomzaa EFM lilikuwa na tabia tofauti na uzao wa tumbo la wasafi!Kama mama ni mmoja hawawezi kuwa matumbo mbalimbali
Matumbo mbalimbali maana yake mama ni mmoja lakini uzao ni tofauti! ...yaani tumbo la uzazi lililomzaa EFM lilikuwa na tabia tofauti na uzao wa tumbo la wasafi!
Kwenu mnaweza kuwa watoto wengi kwenye tumbo la mama yenu lakini mlizaliwa kila mmoja alitungwa kwenye tumbo lake!
Wanaozaliwa na tumbo moja ni mapacha peke yake! Wengine wote kila mtu kazaliwa na tumbo lake ingawa mama ni mmoja!Hiyo haipo kiuhalisi mzeee wala kisayansi hata kiroho hakuna kitu kama icho kama mama mmoja tumbo la uzazi ni moja tu labda useme baba tofauti hapo sawa
Hawezi kujifanyia mwenyeweEFM kafanyiwa kitu mbaya sana, ila atasimama.
Naona Clouds yeye yupo bado