Wasafi TV imezipiga bao TV zote nchini, Tumewasha Tigo Tour na anguko la Tigo Fiesta

achana nao MBUGIRA hao[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unachoshindwa kujua brand ndo kila kitu kuliko hizo hisa...kusaga atoe hisa zake uone kama wasafi itakufa...apeleke hizo hisa Star tv [emoji3]
Wasafi ni brand kubwa investors wote wnaitolea macho
fact kaka
 
Ana hisa na anamiliki brand ya wasafi kwa 100% ..hisa bila brand basi star tv wangekua wakubwa...ni sawa leo hii ukamiliki kampuni ya Apple kwa 75 percent ndio ujione mkubwa kuliko brand ya apple yenyew [emoji3]
fact kaka big up
 
Ungejua maana ya Controlling Interest(CI) vs Non Controlling Interest(NCI) ungejua ni kwanini wababe hua wanakimbilia kumiliki 51%+ na sio chini ya hapo.
Naelewa mwenye hisa nyingi ndio mwenye nguvu,ila hizo 43% zinamtosha,jamaa amepiga hatua akiwa na umri mdogo
 
fact
 
fact Diamond platinumz BABA LAO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…