Saf Sana...acha wapumbv washika dini zakishenzi mzid kutwangana na kukwaruzana,
huyo yesu sjui Nan pamoja na nduguze wakina muhhamad hawajawai na hawatowai kuwepo Zaid ya stories za kusadikika zilizoletwa na washirikina wa kirumi&arabu il kumtisha mtu mweusi na kumfunga akil ya roho na mwil.
Ni wakat sahih wa watu weus kuamka na kuanza kuhoji undani wa hizi imani za kusadikika zlizokuja kwa Nia mbaya,
Sio huyo yesu hata hao wakina mudi na Allah mbona nao tunawaongelea Sana na kuwachafuwa Sana na hawana uwenzo was kutufanya lolote lile na watachafuliwa, the same way walivyochafuliwa mababu zetu kwa kuitwa wajinga waabudu mizim,
now waafrika tumeamka hatuna uwoga wa dini zlzokuwa zikitutishia Moto wa jehanam, muda huu tumeamka na hatuwaogop hao miungu feki, na itafika hatua ktk media zote afrika itahubiriwa kwel, yaan kwel isiyo chakachuliwa, kwel yenyewe ni kuhoji undani wa hizi dini, pia ukwel kuhusu imani sahihi ya muafrika.
Mujuwe kuwa muafrika iman yake si kuabudu mizimu na maushirikina mnayodanganywa na hayo matapel yanayojiita wachungaji na mashehe,
bal imani ya kwel ya muafrika ni kumuabudu Muumba wa kwel ambaye hao wazawa wa shetan(walioleta dini) walikwamisha na kuharbu mafundsho ya kwel na kuleta imani zao, ili tumsahau Muumba wetu,
Walfanya ivyo il tupoteze nguvu na tutawalike kiwepesi pasipo kutegemea nguvu za uungu,
ujuwe kuwa hapo kabla, ya utumwa kufanikiwa, ilkuwa ngumu afrika kupigwa na wageni, sabbu mababu zetu walkuwa wakimtegemea Muumba wakwel ambye alikuwa akiwashushia babu zetu Viumbe vyenye nguvu Kuja kuishindia afrika, Viumbe Hawa ndye wale ambao dini zenu mnaita malaika, na wanasayansi huwaita Allien from outer the earth's surface,
Hawa ndye walkuwa wakiwasiliana na babu zetu na kuwapa mbinu nyingi za kivita na technolojia ikiwepo ujenzi wa majengo mfano pyramids....
ukwel mchungu hao miungu mnaowatetea hawana msaada ktk maisha yenu mnapoteza muda wenu bure