Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,428
- 6,929
Ni sawa tu na wewe kama aliyotukanwa yesu na nabii shillah alafu yesu mwenyewe katulia ila wewe kimbelembele chako unatutolea povu sisi,,, mtolee povu nabii shillah we mburukengeQuora uende wewe alafu uje kunishtaki mimi..Acha
Coment zako tu zinaonyesha una element za kichoko,, kutukanwa atukanwe yesu na nabii shillah povu ututolee sisiKumba nawewe ni shoga??Unatamani wanaume🙁?Dunia imeisha🙁
Waliyotuletea hizo dini wenyewe wametulia tuli
Sisi tunaishia kupasuana
Ova
Hiyo sio kazi yangu,,kazi ya kutukana/kutisha watu wanaopractice uhuru wao wa kutoa mawazo ni ya waislamNi sawa tu na wewe kama aliyotukanwa yesu na nabii shillah alafu yesu mwenyewe katulia ila wewe kimbelembele chako unatutolea povu sisi,,, mtolee povu nabii shillah we mburukenge
Atakama shekhe ndo sasa umeipeleka kwenye ushoga? Ushoga si dhambi kabisa kwenye dini yenu au sio?Coment zako tu zinaonyesha una element za kichoko,, kutukanwa atukanwe yesu na nabii shillah povu ututolee sisi
Atakama shekhe ndo sasa umeipeleka kwenye ushoga? Ushoga si dhambi kabisa kwenye dini yenu au sio?
Una element za kichoko,,, kwani wewe tatizo lako hasa ni nini? Mana huu uzi unamhusu nabii shillah na wasafi sasa wewe unaingiza vitu vingine hata visivyohusika,,Atakama shekhe ndo sasa umeipeleka kwenye ushoga? Ushoga si dhambi kabisa kwenye dini yenu au sio?
Kwa kukusaidia nenda NASA search big bang for kids,utaelewa vizuriQuora uende wewe alafu uje kunishtaki mimi..Acha ngojera jibu hoja,,,nani kakuambia bigbang iliexplode from a tiny point? weka source
sasa mimi kuingiza misikiti ndo imekufanya nawewe kuuingiza ushoga shekhe? unacceptableUna element za kichoko,,, kwani wewe tatizo lako hasa ni nini? Mana huu uzi unamhusu nabii shillah na wasafi sasa wewe unaingiza vitu vingine hata visivyohusika,,
Dogo jibu swali weka source mbona vitu vidogo vinakutoa jasho?Kwa kukusaidia nenda NASA search big bang for kids,utaelewa vizuri
Lala,huna ujualo,unanichosha tuDogo jibu swali weka source mbona vitu vidogo vinakutoa jasho?
Nimekuuliza tena umesema bigbang ilianza kwenye tiny point,,haya weka hiyo source...tatizo wabongo ujuaji mwingi hafu hamjui kituLala,huna ujualo,unanichosha tu
Grow up aisee not you but your brain.Wajifunze kwa wanamuziki the beetles waliosema tu wao ni maarufu kuliko Yesu. Kuna orodha ndefu ya wasanii waliomkashifu Yesu waliyapata wasiotegemea.Wasafi wamwombe msamaha Yesu huko waliko.
It won't matter in anyway.TCRA wasipoiadhibu Wssafi kwa hili nitajua kumbe nao wanaplay double standard
Kutokea kwenu kina nani?Angeshakamatwa na serikali simply because mnafamika huwa mnaongozwa na mihemko kuliko akili. Hamchelewi kukata kituo cha TV mapanga. Itoshe tu kusema mna the lowest emotional intelligence. Bila shaka mmejifunza kitu kutoka kwetu. Calmness, critical thinking, react wisely
Unaongea (unaandika) kwa paniki sana mjumbe hebu tusaidie huyo mungu tunayepaswa kumwabudu waafrika ni yupi na tunamwabudu vipi (ukiacha kutenda matendo mema ya kila siku)Saf Sana...acha wapumbv washika dini zakishenzi mzid kutwangana na kukwaruzana,
huyo yesu sjui Nan pamoja na nduguze wakina muhhamad hawajawai na hawatowai kuwepo Zaid ya stories za kusadikika zilizoletwa na washirikina wa kirumi&arabu il kumtisha mtu mweusi na kumfunga akil ya roho na mwil.
Ni wakat sahih wa watu weus kuamka na kuanza kuhoji undani wa hizi imani za kusadikika zlizokuja kwa Nia mbaya,
Sio huyo yesu hata hao wakina mudi na Allah mbona nao tunawaongelea Sana na kuwachafuwa Sana na hawana uwenzo was kutufanya lolote lile na watachafuliwa, the same way walivyochafuliwa mababu zetu kwa kuitwa wajinga waabudu mizim,
now waafrika tumeamka hatuna uwoga wa dini zlzokuwa zikitutishia Moto wa jehanam, muda huu tumeamka na hatuwaogop hao miungu feki, na itafika hatua ktk media zote afrika itahubiriwa kwel, yaan kwel isiyo chakachuliwa, kwel yenyewe ni kuhoji undani wa hizi dini, pia ukwel kuhusu imani sahihi ya muafrika.
Mujuwe kuwa muafrika iman yake si kuabudu mizimu na maushirikina mnayodanganywa na hayo matapel yanayojiita wachungaji na mashehe,
bal imani ya kwel ya muafrika ni kumuabudu Muumba wa kwel ambaye hao wazawa wa shetan(walioleta dini) walikwamisha na kuharbu mafundsho ya kwel na kuleta imani zao, ili tumsahau Muumba wetu,
Walfanya ivyo il tupoteze nguvu na tutawalike kiwepesi pasipo kutegemea nguvu za uungu,
ujuwe kuwa hapo kabla, ya utumwa kufanikiwa, ilkuwa ngumu afrika kupigwa na wageni, sabbu mababu zetu walkuwa wakimtegemea Muumba wakwel ambye alikuwa akiwashushia babu zetu Viumbe vyenye nguvu Kuja kuishindia afrika, Viumbe Hawa ndye wale ambao dini zenu mnaita malaika, na wanasayansi huwaita Allien from outer the earth's surface,
Hawa ndye walkuwa wakiwasiliana na babu zetu na kuwapa mbinu nyingi za kivita na technolojia ikiwepo ujenzi wa majengo mfano pyramids....
ukwel mchungu hao miungu mnaowatetea hawana msaada ktk maisha yenu mnapoteza muda wenu bure
Haha haha hahaEt lawama wanapewa waislamu ,kumbe kuna watu wana makorokoro rohoni wanaficha tu mwisho wa siku wanataja vitu visivyo husiana na nada .