Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri Yesu ni kama simba, simba hatetewi na mtu, Simba hujitetea mwenyewe kwa sauti na nguvu zake.Hapo angetajwa mtume kungekuwa na maandamano, huyo mtangazaji wa wasafi anapotosha kuhusu Imani ya kikristo, kwanini asijikite na mambo mengine atuachie Imani yetu, otherwise huyu ni mchochezi ka wachochezi wengine
AnajiitaHuyo anayehojiwa si ndio mnamuita Nabii shila kama sikosei
Huyo anayehojiwa si ndio mnamuita Nabii shila kama sikosei
Huyo si ndio nabii shila sasa huyu nabii ana utimamu kweli,na kwenye kanisa lake watu wanamwamin na kumsikiliza kweli
Hana kanisa huyo, huwa akijisikia anawaambia tu watu kuwa siku fulani atakuwa eneo fulani...
Aliesema hivyo ni mkristo mwenzio tena ni nabii wakuitwa nabii shillah,, sio shekhe ponda so punguza chuki mkuuwangekuwa wao hapo mhhh majini yangeshawapanda
Tobaa, haipendezi hizo kauli zake, Mungu amsamehe tu hajui alitendalo
Jikite kwenye mada hayo ya mtume, Mtume hayahusiki hapa. Kumkejeli na kumuita mwizi ni kufuru inayohitaji kukemewa.Ku assume ni kupotezea mada na unafiki.Call a spade a spade.Hapo angetajwa mtume kungekuwa na maandamano, huyo mtangazaji wa wasafi anapotosha kuhusu Imani ya kikristo, kwanini asijikite na mambo mengine atuachie Imani yetu, otherwise huyu ni mchochezi ka wachochezi wengine
Kwa hiyo kwa imani yako ni sawa Yesu kuitwa mwizi?Wacha udhaifu kemea ujinga na kejeli no matter inatoka wapi na inaelekezwa wapi!!wangekuwa wao hapo mhhh majini yangeshawapanda