Callme Sally
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 218
- 206
Ila kwenu fresh tu haina shida ht sk yesu wenu akichorwa anatiwa kidole mtakaa kimya, mana mnapenda sana amani nyiewangekuwa wao hapo mhhh majini yangeshawapanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kwenu fresh tu haina shida ht sk yesu wenu akichorwa anatiwa kidole mtakaa kimya, mana mnapenda sana amani nyiewangekuwa wao hapo mhhh majini yangeshawapanda
Hii video isambazwe Kwenye platform zingine ili kila mmoja ajionee ujinga huu na hata wakifungiwa wasilalamikeWasifi ni wabaguzi wa dini. Je Uislamu ungedhalilishwa wangerusha hewani?
Keeling kabisaHii video isambazwe Kwenye platform zingine ili kila mmoja ajionee ujinga huu na hata wakifungiwa wasilalamike
Mtukane Yesu upate utajiriYaaan hawataki wakipata tatizo wapate peke yao mpk na sisi tuhusike [emoji1][emoji1] Afu alivyo fa#a anasema wangekua waislam.. sasa ni vibaya kumtetea Mungu wetu ama.. kaonesha pia ukubwa wetu kwmb hatutaki masihara kwa Mungu wetu ila kwao kaonesha baridi tuu ht wakidhihakiwa haina hj y mapanga
Si vyemaMtukane Yesu upate utajiri
Ni sawa, nyie ht Miungu yenu ikikashfiwa ni sawa tuu.. Leo upo tz unasema hv ungekua Israel enzi hizo ht msalaba ungemsaidia kubeba kwl ww [emoji1]Ila wakristo hawanaga shida. Wangekuwa wengine hapo ilikuwa maandamano.
Niliiona hii kitu, sijapendezwa kabisa.
Afu jitu lenyewe sijui ni mchicha mwiba? Ni nini mwanaume anatembea anatikisa Kali.o?
Kwanza nasikia linatafuta tu attention kujitia limefanyia bdei kwa ndege kumbe hakuna lolote, ndege haikuruka kaishia tu kupigamo picha.
Haitoshi
Acha propaganda uchwara Wewe,The Beatles hawakupata matatizo yoyote kisa kumkejeri Yesu huo uwongo unautoa wapi ndugu?Wajifunze kwa wanamuziki the beetles waliosema tu wao ni maarufu kuliko Yesu. Kuna orodha ndefu ya wasanii waliomkashifu Yesu waliyapata wasiotegemea.Wasafi wamwombe msamaha Yesu huko waliko.
Kwahiyo wafuasi wa Mohammed wanastahili kuiga kwa wakristo kua kukejeliwa kwa mtume na kutukanwa kwake,siyo inshu sindiyo?Angetajwa Mohamed Sasa hivi adhanaa zingekua Zinapigwa tu msikitini huku wakiimba tu Takbiiiir Takbiiiir
Kama ni uharo basi wako umevunda kabisaBadala ya kutoa hoja unatoa uharo tu.
Kwani unadhani jamii haijui tabia zenu ya kwamba, '' kumtetea Allah ''
Wapi na wapi binadamu akamsaidia Mungu
Sasa ikiwa hivyo ndivyo mbona wewe unawaatack mashekhe na uislam kwenye coment yako ya kwanza na si serikali,, Kwani mashekhe ndio waliomtuma? We anza kwanza na huyo nabii shillah na serikali yako na sio kuhuhusisha uislam na mashekhe ktk hili..Shekhe ukweli unauma...yule jamaa aliyechana kulwani morogoro watu walipanda mabasi kutoka dodoma wakiwa wamenoa mapanga...bila serikali kuingilia kati kumfunga angekuwa mchangani saivi....Nachosema mimi haijalishi huyo shillah ni kabila au dhehebu gani ila angemtusi deshiseshi saivi angekuwa ameundiwa tume,,,na serikali ishazoea ikiona inayotusiwa ni dini ya kugeuza shavu upande wa kulia inakaa kimya lakini ikiona inayotukanwa ni dini ya Amani lazima iingilie kati kuleta amani.
Wala hawana haja ya kuomba msamaha. Sisi Wakristo tunaamini Yesu Kristu anajipambania vita vyake kiroho zaidi na sio kimwili!Wasafi hapo ombeni tu radhi, ipo siku mtajiosahau mchokonoe pasipochokonoleka.
Lengo ni kutoa funzo kwa watu wa 'dini ya amani' kujifunza jinsi ya kureact dini yao inapokashfiwa...au unataka na wakristo wawe wanareact kama mashekhe?Sasa ikiwa hivyo ndivyo mbona wewe unawaatack mashekhe na uislam kwenye coment yako ya kwanza na si serikali,, Kwani mashekhe ndio waliomtuma? We anza kwanza na huyo nabii shillah na serikali yako na sio kuhuhusisha uislam na mashekhe ktk hili..