Wasafi TV, Yesu kawakosea nini? Kwanini mnamdhalilisha?

Wasafi TV, Yesu kawakosea nini? Kwanini mnamdhalilisha?

Ndiyo maana wakati fulani Mh Rais Mstaafu Benjamini Mkapa (R.I.P) aliwaita kuwa ni waandishi Uchwara. Hivi ndivyo walivyo waandishi wetu wengi wa Tanzania kuandika na kusambaza habari bila weledi bila kutafakari madhara yake. Wanataka wakifungiwa waseme serikali imewaonea.
IMG_20211107_095015.jpg
 
Badala ya kutoa hoja unatoa uharo tu.
Kwani unadhani jamii haijui tabia zenu ya kwamba, '' kumtetea Allah ''
Wapi na wapi binadamu akamsaidia Mungu
I wonder!

Mungu anaehitaji msaada wa wanadamu ni Mungu kweli au? Haingii akilini kwa nini asijitetee mwenyewe(mwenye akili na astuke)?

Mungu wa kweli ujitetea mwenyewe maana ni muweza wa yote,Mungu wa kuhitaji msaada wa wanadamu sio Mungu
 
Lengo ni kutoa funzo kwa watu wa 'dini ya amani' kujifunza jinsi ya kureact dini yao inapokashfiwa...au unataka na wakristo wawe wanareact kama mashekhe?
Kwa namna ulivyoandika coment yako ya kwanza si kwa lengo la kuriact amani kwa dini pindi zinapokashifiwa kama unavyojinasibu,, isipokuwa ni kashfa pia kwa imani nyingine,, mkuu kwani mashekhe wewe wamekukosea nini?,, aliyehojiwa ni mtumishi wa mungu kama anayoojiita na aliyemhoji ni mkristo pia sasa wewe kinachokufanya uanze kuwahusisha waislam ktk hili ni nini? Sio fresh hata kidogo, hao maustadhi ni binaadamu kama wewe mkuu,, we dili na huyo shillah, wasafi tv na serikali na sio uislam kaka...
 
Wafuasi wa yesu Wana shida kichwani aliezingua ni mkristo mwenzao tena wanamuita nabii,vituko badala ya kumshambulia huyo nabii wao shila wanaushambulia uislamu kweli vituko haviishi [emoji23][emoji1787]

Fala kweli tunacholalamika ni kwanini wasafi warushe live maudhui yale na wanajua ni kosa.
 
Kwa namna ulivyoandika coment yako ya kwanza si kwa lengo la kuriact amani kwa dini pindi zinapokashifiwa kama unavyojinasibu,, isipokuwa ni kashfa pia kwa imani nyingine,, mkuu kwani mashekhe wewe wamekukosea nini?,, aliyehojiwa ni mtumishi wa mungu kama anayoojiita na aliyemhoji ni mkristo pia sasa wewe kinachokufanya uanze kuwahusisha waislam ktk hili ni nini? Sio fresh hata kidogo, hao maustadhi ni binaadamu kama wewe mkuu,, we dili na huyo shillah, wasafi tv na serikali na sio uislam kaka...
Tunatofautiana uelewa...wewe ndo ulielewa hivo mimi sikumaanisha hivo,,,sio kosa langu
 
Mtangazaji ni mgalatia mwenzenu anaehojiwa ni nabii wenu lakin lawama wanapewa waislam
"Enyi wagalatia msio na akili ni nani alie waloga" biblia ilishauliza hilo swali mnatakiwa mjitafakari sana kitendo Cha nyie hadi leo viongozi wenu kujiita manabii na nyie kuamini kuna manabii Karne hii huko ni kulogwa ndo matokeo yake haya.
 
Tunatofautiana uelewa...wewe ndo ulielewa hivo mimi sikumaanisha hivo,,,sio kosa langu
Kwa ulichoandika wala haiitaji uende chuo ndo uelewe,, all in all sisi sote ni binaadamu,, kila mtu aamini anachokiamini,, kumuona mwenzio adui au kumdharau kisa tu imani yake na yako tofauti hiyo sio poa,, binafsi hata mimi sikupendezewa na hii interview,, nimeingalia yote YouTube,, jamaa ameenda mbali kabisa anasema eti yesu alijichora tattoo na andiko ametoa,,
 
Yesu alidharirishwa Mara elfu zaidi ya huyo Shilla na Hana noma na mabwege, anawaacha wajiharishie tu!


Ukiwa hauna maujinga ya Dini mambo haya hata hayakuumizi!
 
Kwa ulichoandika wala haiitaji uende chuo ndo uelewe,, all in all sisi sote ni binaadamu,, kila mtu aamini anachokiamini,, kumuona mwenzio adui au kumdharau kisa tu imani yake na yako tofauti hiyo sio poa,, binafsi hata mimi sikupendezewa na hii interview,, nimeingalia yote YouTube,, jamaa ameenda mbali kabisa anasema eti yesu alijichora tattoo na andiko ametoa,,
Sote ni binadamu, na hasahasa sote ni waafrika. hizi dini na ideology zilikuja na meli...Sidharau mtu wala sina uadui na mtu yeyote especially muafrika mwenzangu,,,ila nadharau ideology/imani na nina uadui na ideology/imani zinazodharau watu na kuwaona maadui kama kuwaita makafitri etc. Siwadharau wanaoamini hizo ideology ila napoint unafiki ulipo na kuzipinga hizo ideology. Lakini ninachoona watu wanaamini ukiipinga ideology flani basi unawachukia wanaoiamini..la hasha

Huyo Shillah kapondea imani fulani lakini haimnyimi haki ya kuishi tena naweza kusema ni uhuru wake wa kuongea anachoamini...tusimtishie maisha yake kisa amepractice uhuru wake wa kuongea. na huo uhuru ungekuwa mdogo zaidi kama angepondea imani fulani na serikali kwa kujua hilo haireact..kwahyo awe mgalatia,muarabu mweusi,mpagani it doesnt matter sipingi matendo/maneno anayosema/fanya kwa uhuru wake lakini napinga imani zinazokandamiza huo uhuru inakuwa kama tunaishi mwaka 659 chini ya dictatorship
 
Ila kwenu fresh tu haina shida ht sk yesu wenu akichorwa anatiwa kidole mtakaa kimya, mana mnapenda sana amani nyie
shetani hana time na muslim mana anajua fika ni watu wake so sishangai hata ukimtukana Yesu wangu,endelea kufuga majini
 
Wafuasi wa Allah Kama ndo matamshi haya yangaliwalenga,saa hii wangalikuwa barabarani wakimtetea.by the way wafuasi wa Kristo Ni wavumilivu sana
Hakuna mtu anaeweza kuukashifu uislam kirahisirahisi kwasababu waislam hawajaruhusu dini yao iwe sehemu ya mzaha au sehem ya kutafutia kiki.

Ndo maana hautawahi kuskia Kuna mtu anajiita nabii akitokea kwenye uislam manabii wote wa uongo wanatokea upande wa wakristo maana kule ni upande wa kibiashara zaid Leo hii maisha yakinichapa natafuta eneo naanzisha kanisa la turubali na kujiita nabii na ninapokelewa kumbe ni muhuni mwsho wa siku ndo yanajitokeza haya ya mtu kumuita yesu mwizi badala mjadili kuhusu nabii wenu aliemtukana yesu wenu mwizi nyie lawama mnawapa waislam

Ni ukweli kabisa usio na shaka laiti angeutukana uislam sahivi serekali ingekua imeshamshika maana angekua amedhihaki upande usio na masihara na hata hyo media ingekua imeshafungwa sahivi
 
Hakuna mtu anaeweza kuukashifu uislam kirahisirahisi kwasababu waislam hawajaruhusu dini yao iwe sehemu ya mzaha au sehem ya kutafutia kiki.

Ndo maana hautawahi kuskia Kuna mtu anajiita nabii akitokea kwenye uislam manabii wote wa uongo wanatokea upande wa wakristo maana kule ni upande wa kibiashara zaid Leo hii maisha yakinichapa natafuta eneo naanzisha kanisa la turubali na kujiita nabii na ninapokelewa kumbe ni muhuni mwsho wa siku ndo yanajitokeza haya ya mtu kumuita yesu mwizi badala mjadili kuhusu nabii wenu aliemtukana yesu wenu mwizi nyie lawama mnawapa waislam

Ni ukweli kabisa usio na shaka laiti angeutukana uislam sahivi serekali ingekua imeshamshika maana angekua amedhihaki upande usio na masihara na hata hyo media ingekua imeshafungwa sahivi
Unaweza kuwa kweli lakini Yesu ni genius..... Anakazi na huu utitiri wa makanisa keep cool
 
Huyo ni nani na hicho kipindi kinaitwaje?

Hizi ni kufuru sasa!!
Na ukute huyo mtoa kashfa yupo upande wa dini nyingine,wakristo sio kondoo kiasi hicho,kuna wimbo mmoja mond anasema ''yeye ndiye yesu kristo....lakini kwa upande wake hata kusema yeye ni maalim hawezi thubutu!
 
Back
Top Bottom