Afrikasana
JF-Expert Member
- Oct 27, 2021
- 320
- 288
Hakuna Uhuru usiona mipaka. Anayemsimanga Yesu hana sifa ya kufanya hivyo hata kwa muonekano wake. Pia ametumia jukwaa ambalo sio sahihi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna Uhuru usiona mipaka. Anayemsimanga Yesu hana sifa ya kufanya hivyo hata kwa muonekano wake. Pia ametumia jukwaa ambalo sio sahihi
Kwa nini msimuache huyo Yesu wenu ajitetee! Ninyi ndo mnaitwa Religious Zealots..kama Yesu yupo kweli ajitetee mwenyewe...pumbavu ninyi mnaabudu sanamu mkidhani ni Mungu
Tulia wewe Yesu anajitetea mwenyewe, sasa wewe kelele za nini?
Haitoshi wafungiwe ili siku nyingine wawe makini
nakukumbuka sana,U hali gani
Huyu Ni Fatwa tuTCRA na vyombo husika vichukue hatua kali dhidi ya media na mhusika aliotoa matamshi yanayoweza kuleta uvunjifu wa amani
Hapana jaman,kifanyike kitu.too much
Huyu akapimwe mkojo na kinyesi
Hivi alikuwa na akili kamili!!!?Mkuu wa mhimili fulani alisema "Yesu na mke wake", baadae akaomba awiwe radhi kwa matashi ya kukera na kukosea kwa wenye imani ya Yesu. Kwa huyu kwenye hii video,hakuna mdomo kuteleza!
Sasa waislamu wana husika nini na Hilo tukio aliohoji ni mkristo aliohojiwa ni ni mkristo tena ni nabii ajabu Una zungumzia waislamu kama sio ushoga ni nini,Umeona eenhh?!!.Tungewaona barabarani na vimakanzu vyao wakisema "Takbiriii".
Mijinga hiyo mipaganiYaaan hawataki wakipata tatizo wapate peke yao mpk na sisi tuhusike [emoji1][emoji1] Afu alivyo fa#a anasema wangekua waislam.. sasa ni vibaya kumtetea Mungu wetu ama.. kaonesha pia ukubwa wetu kwmb hatutaki masihara kwa Mungu wetu ila kwao kaonesha baridi tuu ht wakidhihakiwa haina hj y mapanga
Huyo dada ni mdini Sana ni wa kumuepuka kama ukomaSasa ikiwa hivyo ndivyo mbona wewe unawaatack mashekhe na uislam kwenye coment yako ya kwanza na si serikali,, Kwani mashekhe ndio waliomtuma? We anza kwanza na huyo nabii shillah na serikali yako na sio kuhuhusisha uislam na mashekhe ktk hili..
Wa kuhojiwa ni mtangazaji mkristo na nabii wenu shila mkristo utahoji vp watu wa dini nyengine kama sio umaku na ugasho ni nini?Fala kweli tunacholalamika ni kwanini wasafi warushe live maudhui yale na wanajua ni kosa.
kupiga puli au?Kwani dhana ya kuondoa munkari kwa mkono unaielewaje wewe
Shila Yuko sahihi na hata huyo YesuMbona akitajwa Mtume unakuwa mkali ila yeye kukashifu wengine na Imani sawa tu ila akitajwa mood aliyeliwa na nguruwe ndio unaumia[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimefurahia kitendo cha shillah kuendelea kuwa na amani mtaani licha ya kutukana dini fulani....ile dini ya amani ina jambo la kujifunza hapaHopeless kabisa!! Mada nyingine nawewe unacomment kivingine, Sasa ingekuwa upande mwingne wangeweka vikao je, wewe umefurahia hicho kitendo?
Alishindwa kujitetea Kwa wayahadi mpaka wakampigilia msalabani ataweza kujitetea sasa hiviKwa nini msimuache huyo Yesu wenu ajitetee! Ninyi ndo mnaitwa Religious Zealots..kama Yesu yupo kweli ajitetee mwenyewe...pumbavu ninyi mnaabudu sanamu mkidhani ni Mungu
Huyo Elohim mwenyewe baba yake na Yesu ni mla watu na mnyonya damu na ni shetani mwenyewe...
Unajua kusoma?Nisije kuwa nalumbana na zuzu.Rudia tena kusoma andiko langu.Mbona akitajwa Mtume unakuwa mkali ila yeye kukashifu wengine na Imani sawa tu ila akitajwa mood aliyeliwa na nguruwe ndio unaumia[emoji23][emoji23][emoji23]