Wasaidizi wa kazi kutembea na Baba wenye nyumba kuna madhara. Dada wa Arusha apokonyea Mwili wa marehemu

Ni somo zuri hata kwetu wanaume,tujipange vyema kwenye haya maisha!Hatujui kesho yetu .
 
Hata kama hana Doc yoyote,kisheria ye ndio anatambulika msimamizi wa mali zote,hao walioshikiria Doc wanajisumbua tu,

Japo simtetea huyo mwanamke kama yasemwayo nikweli,ila ndoa zenu wakristo ngumu sana
 
Wanaume wanakufa kwa mengi, mengine ya kujitakia kuwa na husiano zaidi ya moja ni kujipa misuko suko bila sababu. Its mentally and physically draining 😪. R.I.P tajiri wa madini pole kwa wake na watoto.
Mbona baba wa imani Ibrahim pia alikuwa na wake wengi na aliishi miaka 150,na nabii suleiman wake elfu moja na aliishi umri mrefu pia,

Mwanaume kuwa na mwanamke mmoja ndio kunafanya ufe mapema kama haujui bibie
 
Halafu ukute we ni dume
 
Inafunguliwa kesi mahakama inachagua so hapo muhitasari kwa mazingira hayo unakuwa haupo
Mahakama inachaguwaje msimamizi wa Mirathi ambae hana documents zozote!? Hata cheti cha kifo huna,unapewaje usimamizi wa Mirathi na Mahakama!? Labda kama huyo Muheshimiwa mshikaji wako na kaamua kuendesha kazi za Mahakama kishikaji hapo sawa!! Tena siku hizi naona wameongeza hadi takwa la wadhamini wawili ambao siyo warithi, yaani msimamizi wa Mirathi lazima ulete wadhamini wawili na wanakula kiapo pia!!
 
Mahakama inachaguwaje msimamizi wa Mirathi ambae hana documents zozote!? Hata cheti cha kifo huna,unapewaje usimamizi wa Mirathi na Mahakama!? Labda kama huyo Muheshimiwa mshikaji wako na kaamua kuendesha kazi za Mahakama kishikaji hapo sawa!!
Mali za marehemu zinakusanywa zijulikane hvo kukosa document sio ishu
 
Mahakama inachaguwaje msimamizi wa Mirathi ambae hana documents zozote!? Hata cheti cha kifo huna,unapewaje usimamizi wa Mirathi na Mahakama!? Labda kama huyo Muheshimiwa mshikaji wako na kaamua kuendesha kazi za Mahakama kishikaji hapo sawa!!
Cheti cha kifo ni public document hata wewe ukitaka cheti cha kifo cha Sokoine unapewa na RITA bora uombe na ulipe fee.
 
Umekufa umeacha aibu bado uliowaacha wanautaabisha mwili wako wanakuzidishia aibu.
 
Cheti cha kifo ni public document hata wewe ukitaka cheti cha kifo cha Sokoine unapewa na RITA bora uombe na ulipe fee.
Cheti ni kimoja tu kinatolewa, siyo kila anaetaka anapewa chake, upande mmoja wa marehemu wamesha chukua cheti cha kifo na wanacho, sasa huyo anaetaka kufungua mirathi peke yake atafungua na nini wakati ule upande wenye cheti hawaelewani!!?? Hapo dawa wakae chini pande zote mbili zielewane ili mambo yasiwe magumu kwa kila pande!!
 
Mkuu Mahakama tangulini ikachangua msimamizi wa mirathi kwa sheria zipi? Kikao cha ukoo ndiyo kitampiticha msimizi wa mirathi.
Nilimaanisha anayetambuliwa na mahakama kwa mujibu wa kikao cha familia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…