Wasambaza picha za ngono, wanaojiuza mitandaoni, waliojifanya mawakala wa Freemason wakamatwa

Huyu Asha zungu kauza mbususu sana kibo pub na Adam viazi pub za Masasi_Mtwara
 
🇹🇿 Hawa matapeli wamejaa Tanzania nzima, wanabandika matangazo yao na kuweka kabisa namba za simu kwenye majengo, nyuzo.za umeme na kuta mbalimbali mijini

🇹🇿 Wametengeneza illusion mbalimbali kwa jamii na tayari wameleta maafa mpaka vifo. Nakumbuka kuna wafanyakazi wa idara ya ardhi dodoma waliwahi kuuawa na wanakijiji wakitekeleza majukumu yao wakihisiwa ni free marson

🇹🇿 Siku hizi ukipata utajiri wa gafla na watu wasijue vyanzo vyako vya fedha wanakuita free marson bila kujua kuna biashara za kimtandao zinakulipa kwa mkupuo kama cyptocurance, betting au forex

🇹🇿 Watu wanashindwa kutofautisha ushirikina na freemasons na wanaofanya ujinga huo ni waubiri magumashi wa dini, wamiliki.wa blogs pamoja na magazeti

🇹🇿 Mamlaka za serikali zinawajibu wa kufanya namna ya kuwakamata watu hawa, halmashauri watumie sheria ndogongogo za usafi na mazingira, na Tanesco watumie sheria zao za kuhujumu miundo mbiñu ya umeme kwa watu wanaotangaza matangazo hayo kwenye nyaya zao
 
Dilini na matapeli tuachieni My wetu. Mnataka tukapone wapi but nimepita telegram kila kitu kinaendelea kama dawa.
 
Kuna hawa waganga wakienyeji nao inabidi washughulikiwe.
 
TCRA watuambie. Inakuaje mtu mmoja anamiliki line 50 za simu?
Nitakujibu swali lako kwa jinsi ninavyo fahamu ingawa mimi sio muhusika wa TCRA , ipo hivi unapoeda kusajiri laini kwa wakala harafu wakala akakwambia imegoma ngoja turudie akakusajirisha laini nyingine na kurudia kuweka alama ya kidole hata mara mbili au zaidi ujue hapo imekula kwako ndo unasajiri laini zaidi ya mbili bila wewe kujuwa
 
Hao jamaa wamempiga mdogo wangu juzi flot ya 800,000,***** zao wameniulia biashara
 
Tanzania bwana,Taasisi zote zimejaa watu/wafanyakazi Wengi wenye uwezo duni mno(wanapachikana kwa undugu,rushwa,kupozana)..! Moja ya taasisi ya hovyo na yakuchekesha TCRA! Tuma kwa 0769...
 
Hao vijana wa ifakara ni wadogo sana , afu wanatembea kwa makundi wanajiita halo halo mwaka juzi nilipishana nao ifakara, walikuwa wako wazi sana sijui kwann mamlaka imechelewa kuwakamata

Ulitoa taarifa? Mamlaka hazitambui mambo kwa kunusa mkuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…