Wasanii 10 waliobuma pamoja na kutoa nyimbo kali

Wasanii 10 waliobuma pamoja na kutoa nyimbo kali

Marehemu Cool James Mtoto wa Dandu alitoa nyimbo ambayo ilikuwa na maudhui ya kumdhihaki Mwenyezi Mungu, hakuchukua muda akafa kwa ajali... Bora tu wasanii waimbe kuhusu mampenzi maana ndiyo mada wanayoilewa na ndiyo mada inayoeleweka Zaidi kwa jamiii kuliko kuvamia vamia mada wasizozielewa na kuishia kukufuru!
 
Kidogo by Diamond na P square.

Nao umebuma, kubali kataa...
Hahaha we ndo unaota kweli , nenda mtv base, trace na sound city angalia rotation yake
Ukimaliza nenda bbc extra uk sasahivi imeingia list A
Msanii rapper ycee kutoka nigeria anakwambia nchini nigeria kila baada ya dakika 15 kidogo lazima ipigwa
Hapa bongo uko clubs ndo usiseme
Unless useme wewe ndo usikilizi
 
Marehemu Cool James Mtoto wa Dandu alitoa nyimbo ambayo ilikuwa na maudhui ya kumdhihaki Mwenyezi Mungu, hakuchukua muda akafa kwa ajali... Bora tu wasanii waimbe kuhusu mampenzi maana ndiyo mada wanayoilewa na ndiyo mada inayoeleweka Zaidi kwa jamiii kuliko kuvamia vamia mada wasizozielewa na kuishia kukufuru!
Mkuu ulikua unaitwaje huo wimbo..?

0404
 
Mkuu ulikua unaitwaje huo wimbo..?

0404
Siukumbuki jina ila alikuwa anaimba, 'Kila siku tunaimba Mungu ibariki Afrika, kwani Mungu ni kiziwi hatusikii, Mungu alikuwwa wapi, alijificha wapi wakati watu wanakufa kwa njaa n.k'...
 
Matatizo ya kubuma nyimbo nyingi yanasababishwa na vitu vingi:-
1.Media - zimejikita kwenye utimu.
2.Wasanii wenyewe kujiingiza kwenye timu.
3.Wasanii kutokufanya promo ya kutosha.
4.Mashabiki kutokusikiliza vitu vingine zaidi ya kutoka kwenye timu zao.
Huu ndo ukweli ndo maana kuna wasanii wengine hata watoe nyimbo kali vipi inakuwa shida
 
baraka anajua kuimba sana ila asingeegemea kwenye timu yoyote ili apate fan base
mimi shabiki wa domo sijifichi baraka ana nikera kumpaisha ally kiba hivyo karibuni atanipoteza na sipo peke yangu
kuna vitu hatakiwi kufanya hadharani kwa udogo wake

nyimbo kali iliyokufa ni mwambie ben pol ft baraka da prince
ben pol ulaumiwe kwa nyimbo hii
Mwambie ni nyimbo kali sanaaa, tena sanaaa haswa verse ya baraka na byser Babylon biz. Sijui kwa nini hawajaufanyia promo na kichupa
 
Mwambie ni nyimbo kali sanaaa, tena sanaaa haswa verse ya baraka na byser Babylon biz. Sijui kwa nini hawajaufanyia promo na kichupa
Ni kweli hiyo nyimbo ni nzuri sema hawakuipromote wakaiacha iende yenyewe ikafeli
 
Tatizo ni Timu
Unajua unapokuwa na Timu Mbili zenye Nguvu Zingine zinakuwa hazivumi tena,
daah!
Mungu awasaidie wasanii wetu wasije wakapotea kabisa
 
Baraka uo wimbo ndokichekesho yani ad wengine tulisha sahau jama kuna wimbo uitwao nisamehe
 
Huo wimbo wa Baraka nisamehe ndo umebuma kwa aibu kubwa.. Dogo amekuja mjini juzi tu hapa mara anaanza dharau kisa ana demu mweupe!!! Jinga sana dogo huyu naona wananchi wameamua wamuonyeshe kuwa hawataki ujinga ujinga!!
Sasa hapa huoni kama umeonyesha chuki binafsi
 
Ndo mana wasanii wenye akili wamechagua kuwa neutral.
Angalia wasanii wanaofanya vizur kama Darassa, Ben Paul, Barnaba n wengine kadhaa wote wamechagua kuwa neutral.

Kuna mtu anakumbuka kama mkongwe GK katoa wimbo?

Team ndo sumu ya mziki wetu, hasa kwa wasanii wengine.
 
Back
Top Bottom