Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa..,..hizi timu Atari sana....Salome wa Diamond umebuma kabisaaaaa
Nyimbo zingine ni mbaya tu acheni zibume jamani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Binafsi mi ni timu diamond damu lakini hata diamond akitoa wimbo mbaya ukibuma sitatafuta justification! Ujue kuna Wimbo hata ukiwa hater vipi utajikuta tu unaupenda na kuucheza, mi sipendi unafiki wimbo wa [HASHTAG]#Aje[/HASHTAG] naucheza sana na kuuimba kabisa.Matatizo ya kubuma nyimbo nyingi yanasababishwa na vitu vingi:-
1.Media - zimejikita kwenye utimu.
2.Wasanii wenyewe kujiingiza kwenye timu.
3.Wasanii kutokufanya promo ya kutosha.
4.Mashabiki kutokusikiliza vitu vingine zaidi ya kutoka kwenye timu zao.
Acha uchokozi,wewe uwezo wako ni ku photoshop tu picha hizi mambo za muziki HUZIWEZI. wimbo una miezi 2,una viewers 5,317,881 INAONGOZA REKODI ZA AFRICA KWA KUTAZAMWA SANA,PENGINE ITAPITWA NA SALOME YENYE MILIONI 3 NDANI YA WIKI 1.
Kweli mkuu, namuelewa sana Kala Jeremiah tangu BSS na wimbo bora wangu kutoka kwake ni DEAR GODhuo wimbo ni mkali sana na unamashairi yaliyokwenda shule KALA JEREMIAH hajawahi kutoa ngoma mbaya aisee
Nisamehe umefanyiwa promo wapi na wapiNyimbo zingine ni mbaya tu acheni zibume jamani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Binafsi mi ni timu diamond damu lakini hata diamond akitoa wimbo mbaya ukibuma sitatafuta justification! Ujue kuna Wimbo hata ukiwa hater vipi utajikuta tu unaupenda na kuucheza, mi sipendi unafiki wimbo wa [HASHTAG]#Aje[/HASHTAG] naucheza sana na kuuimba kabisa.
Btw Ado Ado ya mo music mi naiona nzuri nashangaa why haijahit.
Nakubaliana na sababu zako mkuu, ila ningependa kukuchallenge kuwa hata wimbo ufanyiwe promo vipi utabuma tu. Mfano [HASHTAG]#nisamehe[/HASHTAG]
Tatizo la hawa kina mo music na kassimu na kala hawana skendo kama wcb ndo maana nyimbo zina buma wanatakiwa watafute mijimama ya bongo movies iwape kiki mbona wata hit tuHuyo baraka sidhani kama atanunua hata baiskeli
Baraka anajifanya profesa jay wakat hata level za wakina barnaba na belle 9 hajakanyaga
Sana mkuuuu, MANUARIIIIIKassim mganga.. good talented atafika mbal sana kimziki
Nipo mtani, salome imebuma wapi wakati imehit 3M viewers ndani ya 10 days! ? Ila tuache masihara hiyo nisamehe ni nyimbo mbaya kupata kuimbwa na baraka.Nisamehe umefanyiwa promo wapi na wapi
Tofautisha kati ya promo na kutambulisha wimbo sio unapost video 20 za salome kwa siku lakini imebuma kawaida si hatufanyi promo ngoma ina hit yenyewe tu kama ndindindi
Vp lakini @bintikiziwi upo?
Ukimuona, aisee huu wimbo sijawahi kuuchoka na hakuna wimbo wa ndomo mwingine nilowahi kuupenda kama huu.Nyimbo zingine ni mbaya tu acheni zibume jamani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Binafsi mi ni timu diamond damu lakini hata diamond akitoa wimbo mbaya ukibuma sitatafuta justification! Ujue kuna Wimbo hata ukiwa hater vipi utajikuta tu unaupenda na kuucheza, mi sipendi unafiki wimbo wa [HASHTAG]#Aje[/HASHTAG] naucheza sana na kuuimba kabisa.
Btw Ado Ado ya mo music mi naiona nzuri nashangaa why haijahit.
Nakubaliana na sababu zako mkuu, ila ningependa kukuchallenge kuwa hata wimbo ufanyiwe promo vipi utabuma tu. Mfano [HASHTAG]#nisamehe[/HASHTAG]
Tatizo la hawa kina mo music na kassimu na kala hawana skendo kama wcb ndo maana nyimbo zina buma wanatakiwa watafute mijimama ya bongo movies iwape kiki mbona wata hit tu
Mkuu sisi tunazungumzia wabana pua we unawataja wa banaa koo tena zilipendwa wake upSnoopy doggy,common,jay z,nas
Tz profesa jay ,,,sugu,,, hao walitoka na majimaa?