mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Hahah miaka hio chief, TV za ma Don tu mtaanikitambo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah miaka hio chief, TV za ma Don tu mtaanikitambo sana
enzi hzo kama hujaona kuchi kuchi, andhaa kanoon, basi we umepitwa na mengiHahah miaka hio chief, TV za ma Don tu mtaani
Hahah kuna movie nyingine inaitwa KARAN ARJUN ya shunsheti na Akshei (mniwie radhi Najua majina yao hayaindikiwi hivo , mm sio muhindi)bonge la movie kwa miaka hioenzi hzo kama hujaona kuchi kuchi, andhaa kanoon, basi we umepitwa na mengi
Dahh iyo raaz 3 n noma kuanzia movie hadi nyimbo zke me kwa emraan hashmi uniambie kitu movie zke nazielewa sana kuanzia murder, murde2, jannat, shangai jamaa kwangu ndoo best actor akiigiza movie za mapnz katendwa unahisi ndo ww demu kakumwagaSRK a.k.a fundi, my name is khan ndo filamu bora kuwahi kuitazama ikifuatiwa na raaz 3 ya emran hashmi
Karan Arjun wako Salmaan Khan na Shah rukh khan,hiyo ya ya Sunil Shety na Akshay inaitwa Mohra na nyingine nimesahauHahah kuna movie nyingine inaitwa KARAN ARJUN ya shunsheti na Akshei (mniwie radhi Najua majina yao hayaindikiwi hivo , mm sio muhindi)bonge la movie kwa miaka hio
Tere naam mi mchozi ulintoka sana pale salmaan anarudi tena kule kwa machizi,mi bwana hisia zangu za mchozi zipo karibu sanaila My best movie kutoka kwa Salman Khan ni TERE NAAM, daahhh
Yes Ghajini ndo ameigiza na huyo mdada jia khan aliyejiuakuna moja inaitwa ghajini ya aamir khan, ukiipata muda icheki dadaake hutojutia
yes binamu uko vzr kumbe dooh!hvyo hvyoiInaandikwa "Teri meherbaniyan"
iangalie is a good movie Ila ndo utulie maana wahindi bwana movie zao haswa za kitambo 3hrs na maudhui yake utayaelewa bàadae sana!Naona picha la kihindi limehamia hapa.
Wadau mnatiririkaaaa....
Duh,ngoja niitafute hiyo Sholay nilie na mimi maana kwa kulia ndio mwenyewe.
Ya Govinda inaitwa HATYAMwenye kukumbuka movie ya LOHAA, na ile ya Govinda ya mtoto bubu YAYAA, YAYAA
hahahh ndo hivyo mkuu, kuna nyingine inaitwa table no 21, umeiona hii?Dahh iyo raaz 3 n noma kuanzia movie hadi nyimbo zke me kwa emraan hashmi uniambie kitu movie zke nazielewa sana kuanzia murder, murde2, jannat, shangai jamaa kwangu ndoo best actor akiigiza movie za mapnz katendwa unahisi ndo ww demu kakumwaga
ahsante madame pia kaangalie billu barber ya srk na lucky ya sanjay dutt, weekend yako itakuwa poa sanaAmeigiza na Aryana Khann kama fan wake.
Fan alikuwa anampenda sana ila ndo akakosa nafasi na kwa hasira yakatokea ya kutokea.
Itafute peterchoka.....ni movie nzuri sana, sana.
Haichoshi kuangalia...nzuri
kiongozi kama unampenda akshay tafuta special 26 hutojutiaAhsante kwa kutujuza..
Mie si mpenz wa movie, hasa za kihindi, ila bahat mbaya naangalia, huyo mzee wa kuch kuch ht hae hatar, namkubali, ila kwangu akshay kumar nampenda zaid, hasa movie za mapigano, akiekt uchiz anakuwa kama punguani..
3 idiots hyo movie, inaweza ikawa movie bora kwangu ktk movie za kihindi nilizobahatisha kuzitazama miaka ya karibuni, inafurahisha si utani.
Saif ali khan kwa sasa sidhan kama ana mpinzan kwa movie za action action...
Ooh endelea tu kuifatilia na krish, haijaanza muda mrefu sana, more is yet to come. Nampendaje Pintu Singh, he is such a sweet bad boy lol[emoji85] [emoji85]Hyoo King of the hearts nimeipenda kweli,...krish nzuri sema naona kama nimechelewa kuianza hv.
Yeah wote wamezaliwa mwaka 1965Amir khan kazaliwa 1975? Hivi unajua amir khan alianza. Kuwa maarufu hata kabla ya sharukh Khan mwanzoni mwa miaka 1990. Dada angalia tarehe zako vizuri.
Haha don't feel [emoji85] coz u lv him " nitaanza kuichek maana naielewa navyopitishaga macho 2 bt nilkua nakaza isiniteke [emoji1]Ooh endelea tu kuifatilia na krish, haijaanza muda mrefu sana, more is yet to come. Nampendaje Pintu Singh, he is such a sweet bad boy lol[emoji85] [emoji85]
Haha soon itakuteka pia lolHaha don't feel [emoji85] coz u lv him " nitaanza kuichek maana naielewa navyopitishaga macho 2 bt nilkua nakaza isiniteke [emoji1]
movie yangu bora kwa wakati wote ni terenaam love story ya salman khan...ni hatariSRK a.k.a fundi, my name is khan ndo filamu bora kuwahi kuitazama ikifuatiwa na raaz 3 ya emran hashmi
haha sunil shetty wa kitambo sanaa...Shahrukh Khan hana mpinzani.
Jamani huyu baba nampenda mnooo!
Wapi Sunil Shety?Sun Deo?
Mimi sio mfuatiliaji wa movie za kihindi sana.
Ukipata wasaa tuandalie list ya Wakorea mkuu...
Asante.
kuna bodyguard pia nayo ni tam pia.. yaani nikiweka orodha ya muvi za kihindi zitafika hata bugurudi duhmovie yangu bora kwa wakati wote ni terenaam love story ya salman khan...ni hatari
Hivi Kwich Kwich Hotae ando ameigiza huyu eeee.ahsante madame pia kaangalie billu barber ya srk na lucky ya sanjay dutt, weekend yako itakuwa poa sana
Hivi katika hiyo list, hakuna aliyecheza movie ya Vishwatma?Dahh iyo raaz 3 n noma kuanzia movie hadi nyimbo zke me kwa emraan hashmi uniambie kitu movie zke nazielewa sana kuanzia murder, murde2, jannat, shangai jamaa kwangu ndoo best actor akiigiza movie za mapnz katendwa unahisi ndo ww demu kakumwaga