Wasanii 5 Wa Tanzania Wenye Pesa

Wasanii 5 Wa Tanzania Wenye Pesa

Namba moja ni billionaire na ni mwanamichezo, the rest ni millionaires na ni wasanii.

Still inspiring tho, no doubt.
 
Kucheza Basketball nako ni Usanii Hapa Naona Mkuu umethibitisha kutokufanya vyema kwa Hasheem ndani ya NBA ni usanii Tosha...

Hasheem wacha Usanii Cheza Kikapu kwa bidii Siku hizi hata sisi hatukutizami kwenye Game zenu mnazocheza tunaendeleza kuwatizama kina Kobe tu no Usanii kwenye Sports Game...

Hivi wanasiasa sio wasanii! rostam aongezwe humu na riz1

Kweli hawa nao waingizwe pia.
 
Hii orodha haija-balance dini na makabila makubwa, siungi mkono hoja!
 
Hii list ni kwa mujibu wa chanzo gani? Mtu pekee kati ya hao unayeweza kupata kipato chake na faida baada ya makato mbalimbali ya kodi ni Hashim tu, hao wengine ni urongo mtupu na hakukna data zozote zinazoweza kuthibitisha vipato vyao!!!! Sijaona "maprodyuza" walioanza kujikusanyia ngawira toka hao uliowabandika hapo hawajaacha kunyonya maziwa ya mama! Na unapoongelea "wasanii" haimaanishi waigizaji na waimbaji tu, kuna watu wengi umewasahau au hauwajui kabisaa!
 
kama hashim ni msaniii... basi sikujua kuwa akina messi,c.ronaldo,henry, bekham nk ni wasanii kama akina jlo, mariah carey,rkely nk
 
Hashim sio msanii,ni mwanamichezo unatakiwa umuweke kwenye orodha ya wanamichezo tajiri tanzania apambane na kina mbwana samata,henry joseph,mrisho ngasa,kina juma kaseja etc,mwanadada jide ndio msanii wa kizazi kipya ukiongea kwa mbali tunakuckiliza anaweza waongoza wenzie kuwa na band,studio,mgahawa,maji yake mwenyewe kibongobongo sio kitu kidogo
 
Hapa kilichobaki kwa Hasheem ni kuwa mfanya biashara maana timu yake imesitisha kumsajili tena kutokana na useless wake uwanjani.
 
Hashim sio msanii,ni mwanamichezo unatakiwa umuweke kwenye orodha ya wanamichezo tajiri tanzania apambane na kina mbwana samata,henry joseph,mrisho ngasa,kina juma kaseja etc,mwanadada jide ndio msanii wa kizazi kipya ukiongea kwa mbali tunakuckiliza anaweza waongoza wenzie kuwa na band,studio,mgahawa,maji yake mwenyewe kibongobongo sio kitu kidogo
Jide anamfikia John Komba?
 
Tonya tym sijamuona!!!au kwakuwa Matonya pesa yake nyingi haipatikani katika mziki??????fuatilia tour yake ya sasa ya ulaya nchi anazoenda na bei ya mambo flani huko ndo utajua Tonya tym anapata pesa kiasi gani!!!!
 
Duh! Sikulifaham hili. Kumbe kuna wasanii wa bongo wenye pesa kiasi hiki
 
lady jay dee ni mfano wa kuigwa kwa akina dada. Kwamba kila kitu kinawezekana na si lazima ubebwe. Ni kukomaa tu. Ukiacha thabeet ambaye nawezeza nisimhesabie kwa kuwa yuko marekani na ndiko alikopata hizo pesa, lady jay dee ndiye ambaye amefunika.

Kaza buti mama, hakika wewe ni komandoo wa kweli.
siri ya mtungi aijuae kata
 
Naona Hii List haiko Sawa, wametumia Kigezo gani? Kuna ambao wamesahaulika..mfano mkubwa ni Muimba Taarab..Bi ZUHURA SHAABAN anaishi Zanzibar...Huyo Mama anamiliki Gari Tatu,Rav 4 New Model,Prado Mpya kabisa na Hammer...anamiliki Nyumba tatu..Moja ya Ghorofa na Kiwanja Ufukweni...Ni Mwimbaji na Mfanyabiashara Wa Nguo..Mbona Simuoni Hapa?Komba Wapi?
 

Attachments

  • zuhura[1].jpg
    zuhura[1].jpg
    15.8 KB · Views: 107
Kwa habari ambazo kiukweli sina uhakika nazo sana eti Bongo Movie Super Star Steven Kanumba amefariki Dunia usiku wa Ijumaa kuamkia J'mosi. Na mwili wake unapelekwa Muhimbili kuhifadhiwa.

More updates to follow...

  • JF has confirmed his death
  • Source of his death unconfirmed
  • Taarifa ambazo hazijathibitishwa ni kwamba Kanumba alianguka na kuumia kichwani baada ya mpenzi wake ambae anatajwa kuwa ni mwigizaji LULU kumsukuma na kuanguka wakati wanagombana.
    ‘Inasemekana' Kanumba wakati akijiandaa kutoka saa sita usiku aliingia bafuni kuoga, alipotoka alimkuta Lulu akiongea na mwanaume mwingine kwenye simu ndipo alipokasirika na ugomvi kuanza.
  • Lulu ameshikiliwa Polisi Oysterbay, inadaiwa ana majeraha pia.
  • Mwili wa marehemu uko katika chumba cha kuhifadhia maiti hospitali ya Muhimbili.

RIP Kanumba
 
Back
Top Bottom