Wasanii 8 Kutoka Bongo Waliozaliwa Kuanzia Mwaka 2000 Kwenda Juu

Wasanii 8 Kutoka Bongo Waliozaliwa Kuanzia Mwaka 2000 Kwenda Juu

Tea Party

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2019
Posts
658
Reaction score
1,133
Tusipoteze Muda Twende Moja Kwenye Moja Kwenye Majina Yao

1. Abigail Chams - Kazaliwa May 7, 2003
Label : Rockstar Africa

2. Yammi - Kazaliwa May 12, 2002
Label : The African Princess

3. Bruce Africa - March, 2000
Label : I AM Music

4. Cherry - July, 2000
Label : Bxtra Records

5. Anjella - October 3, 2000
Label : Indie Artist

Wengineo

6. Jay Melody - June 12th, 1997
Label : Indie Artist

7. Ibraah - 1997
Label : Konde Music Worldwide

8. Rapcha - September 29, 1999
Label : Bongo Records

Nani mwingine nimemsahau?
 
Tusipoteze Muda Twende Moja Kwenye Moja Kwenye Majina Yao

1. Abigail Chams - Kazaliwa May 7, 2003
Label : Rockstar Africa

2. Yammi - Kazaliwa May 12, 2002
Label : The African Princess

3. Bruce Africa - March, 2000
Label : I AM Music

4. Cherry - July, 2000
Label : Bxtra Records

5. Anjella - October 3, 2000
Label : Indie Artist

Wengineo

6. Jay Melody - June 12th, 1997
Label : Indie Artist

7. Ibraah - 1997
Label : Konde Music Worldwide

8. Rapcha - September 29, 1999
Label : Bongo Records

Nani mwingine nimemsahau?
Si ungesema tu 2000 kwenda juu na chini?? maana hapo nikimpost Juma nature kiroboto ntakuwa nimekosea kweli?
 
Tusipoteze Muda Twende Moja Kwenye Moja Kwenye Majina Yao

1. Abigail Chams - Kazaliwa May 7, 2003
Label : Rockstar Africa

2. Yammi - Kazaliwa May 12, 2002
Label : The African Princess

3. Bruce Africa - March, 2000
Label : I AM Music

4. Cherry - July, 2000
Label : Bxtra Records

5. Anjella - October 3, 2000
Label : Indie Artist

Wengineo

6. Jay Melody - June 12th, 1997
Label : Indie Artist

7. Ibraah - 1997
Label : Konde Music Worldwide

8. Rapcha - September 29, 1999
Label : Bongo Records

Nani mwingine nimemsahau?
Huu muda ungeutumia kufuatilia mambo muhimu ungefika mbali
 
Huu muda ungeutumia kufuatilia mambo muhimu ungefika mbali

Mimi hayo ndo mambo yangu. Usinipangie. Ukifuatilia wewe hayo mambo ya "muhimu" inatosha.

Plus wengine tuko humu jamvini for fun na kuenjoy. Hatuchukulii vitu vya humu serious.

Hayo mambo ya muhimu unaweza kufuatilia wewe na familia yako.

Asante.
 
Back
Top Bottom