Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,051
- 12,954
Kumsaidia mtu ni kumwambia ukweli, haijlishi ataupenda au hataupenda ila siku zote ukweli huweka kila kitu huru (Hua napenda sana huu mstari wa Kikiristo wa Yohana 8:32- Utaijua kweli na hiyo kweli itakuweka huru).
Kuna wasanii hawajui kuimba na hawajui kama hawajui kuimba. Mbaya zaidi wanaowazunguka hawawaambii ukweli kua hawajui kuimba.
Hawa wasanii sijui hata wanaimba nini. Mfano Adam Mchomvu, anaimba kwaya, kaswida,vigodoro,mchiriku au kitu gani.
1. Adam Mchomvu.
2. Lavalava.
3. Maromboso.
4. Qeen Darlin.
5. Young killer.(Huyu ashauriwe aachane na mziki, baada ya kubahatisha gambe haitatokea tena kubahatisha).
6. Shilole Kiuno.
7. Snura.
8. Abdul Kiba.
9. Country boy.
10.
Hawa wasanii mlio karibu nao washaurini watafte kazi nyingine ya kufanya. Kazi zipo nyingi, sio kila mtu lazima awe muimbaji. Wengine tubakie tu kama wachezaji na wasikilizaji.
Narudi kuendelea kutoa updates.
Unaweza kuongezea msanii unaeona hajui kuimba lakini bado analazimisha fani.
Nyongeza ya mdau.
Kuna wasanii hawajui kuimba na hawajui kama hawajui kuimba. Mbaya zaidi wanaowazunguka hawawaambii ukweli kua hawajui kuimba.
Hawa wasanii sijui hata wanaimba nini. Mfano Adam Mchomvu, anaimba kwaya, kaswida,vigodoro,mchiriku au kitu gani.
1. Adam Mchomvu.
2. Lavalava.
3. Maromboso.
4. Qeen Darlin.
5. Young killer.(Huyu ashauriwe aachane na mziki, baada ya kubahatisha gambe haitatokea tena kubahatisha).
6. Shilole Kiuno.
7. Snura.
8. Abdul Kiba.
9. Country boy.
10.
Hawa wasanii mlio karibu nao washaurini watafte kazi nyingine ya kufanya. Kazi zipo nyingi, sio kila mtu lazima awe muimbaji. Wengine tubakie tu kama wachezaji na wasikilizaji.
Narudi kuendelea kutoa updates.
Unaweza kuongezea msanii unaeona hajui kuimba lakini bado analazimisha fani.
Nyongeza ya mdau.
Wanamuziki wa kibongo fleva karibia ya wote hawajuwi kuimba ila hawa wafuatao wapigwe ban na BASATA as soon as possible kwani wanahaibisha fani ya muziki wa Tanzania:
1. Jux (huyu yanki ni bora angeachana kabisa na muziki, he's too fake na kuimba ziro kabisa....anafaa kuwa mwanamitindo tu)
2. Young Dee.....very fake na kuimba wala kurap hajuwi kabisa....ni mlazimishaji tu. Aache muziki akabugie unga.
3. Amber Lulu.....huyu ni bora akawa mcheza sinema za uchi tu, yaani hata sielewi kwanini alijiingiza kwenye muziki
4. Gigy Money....na haka nako wala sijuwi kwanini hata kalijiingiza kwenye muziki
5. Vanessa Mdee....anajitahidi ila analazimisha mno kumuiga Beyonce....angebakia tu kuwa a VJ
6. Jokate Mwegelo....nina haja ya kusema zaidi jamani, hata na nyie mnashindwa kuona kweli?
7. Chidi Benz....huyu alikosea tu kuja kwenye industry ya muziki, yuko very overrated for nothing
8. AY, anajiita Mze wa commercial ila hajuwi hata kurap
9. Roma Mkatoliki....niseme nini juu ya huyu jamaa, hajitambui na hajuwi hata kurap
0. Mr. Blue - bora asivyosikika...aachane kabisa na muziki, awe tu mwalimu wa madrassa
Nyongeza....wachezaji (mavideo Queen) wa kibongo fleva wote wapigwe ban maana hakuna hata mmoja anayejuwa kucheza kuendana na beats, they are so fake.