Wasanii ambao hawajui kuimba kabisa lakini bado wanalazimisha kuimba

Wasanii ambao hawajui kuimba kabisa lakini bado wanalazimisha kuimba

Wewe inaonekana jua limeshaanza kuzama. Katika hao uliowaorodhesha mtake radhi AY, Vanessa Mdee, Mr. Blue Jux na Young Dee.


Wote niliowataja ni fake musicians, labda hujuwi tu muziki unashabikia kitu usichokijuwa. Jux anaimba nini, he's too fake hata kufollow beats aimbapo hajuwi....msikilize vizuri. Narudia, hakuna msanii wa bongo fleva ambaye anajuwa kweli kuimba, wanabangaiza tu na bahati mbaya wamepata watu wasiojuwa muziki kuwasupport.
 
Lava Lava anajua kuimba ila hana mwalimu wa kumuandikia mashairi,kama unanisoma hapa lava lava mwambie huyo mwalimu awe makini kutunga mashairi....sio ''natamani uwe kichekesho tuchekeshane'' lol
 
Na like hapo kwa mchovu hawa mastaa bwana akiona anakubalika na wengi anahisi kila jambo anaweweza fanya.
 
Kumsaidia mtu ni kumwambia ukweli, haijlishi ataupenda au hataupenda ila siku zote ukweli huweka kila kitu huru (Hua napenda sana huu mstari wa Kikiristo wa Yohana 8:32- Utaijua kweli na hiyo kweli itakuweka huru).

Kuna wasanii hawajui kuimba na hawajui kama hawajui kuimba. Mbaya zaidi wanaowazunguka hawawaambii ukweli kua hawajui kuimba.

Hawa wasanii sijui hata wanaimba nini. Mfano Adam Mchomvu, anaimba kwaya, kaswida,vigodoro,mchiriku au kitu gani.

1. Adam Mchomvu.
2. Lavalava.
3. Maromboso.
4. Qeen Darlin.
5. Young killer.(Huyu ashauriwe aachane na mziki, baada ya kubahatisha gambe haitatokea tena kubahatisha).
6. Shilole Kiuno.
7. Snura.
8. Abdul Kiba.
9. Country boy.
10.


Hawa wasanii mlio karibu nao washaurini watafte kazi nyingine ya kufanya. Kazi zipo nyingi, sio kila mtu lazima awe muimbaji. Wengine tubakie tu kama wachezaji na wasikilizaji.

Narudi kuendelea kutoa updates.

Unaweza kuongezea msanii unaeona hajui kuimba lakini bado analazimisha fani.


Wasanii wote wa bongo fleva ni fake, hakuna anayefaa. Basata iingilie ndani na kuwafungia wote kwani wanaharibu fani ya muziki wa Tanzania.
 
Lava Lava anajua kuimba ila hana mwalimu wa kumuandikia mashairi,kama unanisoma hapa lava lava mwambie huyo mwalimu awe makini kutunga mashairi....sio ''natamani uwe kichekesho tuchekeshane'' what the fcuk?lol
Natamani uwe nin????

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wote niliowataja ni fake musicians, labda hujuwi tu muziki unashabikia kitu usichokijuwa. Jux anaimba nini, he's too fake hata kufollow beats aimbapo hajuwi....msikilize vizuri. Narudia, hakuna msanii wa bongo fleva ambaye anajuwa kweli kuimba, wanabangaiza tu na bahati mbaya wamepata watu wasiojuwa muziki kuwasupport.
Narudia tena. Jua limeshazama hunaukijuacho kuhusu muziki. Na bahati mbaya upo na ambao hawajui muziki. Unataka watu waimbe kama miaka ya 70.? Jaribu kubadilisha fikra zako then ukamsikilize tena. Kuna kitu utakipata
 
Mkuu kwa young killer umepotea.... katika watunzi wa mistali fikilishi waliobaki bongo young killer na ngosha wanashika no 2 na 1....

Maana wakina joh wanaimba taarabu siku hizi kina nikki mbishi hawaeleweki
Country weez nae kivuruge tu..

Kama humuelewi young killer basi ni chuki binafsi tu
songa nikki mbish one p the mc stamina wote hao af unasema nn ww
 
Back
Top Bottom