Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Janjaro vipi anajua?
Wewe inaonekana jua limeshaanza kuzama. Katika hao uliowaorodhesha mtake radhi AY, Vanessa Mdee, Mr. Blue Jux na Young Dee.
Kumsaidia mtu ni kumwambia ukweli, haijlishi ataupenda au hataupenda ila siku zote ukweli huweka kila kitu huru (Hua napenda sana huu mstari wa Kikiristo wa Yohana 8:32- Utaijua kweli na hiyo kweli itakuweka huru).
Kuna wasanii hawajui kuimba na hawajui kama hawajui kuimba. Mbaya zaidi wanaowazunguka hawawaambii ukweli kua hawajui kuimba.
Hawa wasanii sijui hata wanaimba nini. Mfano Adam Mchomvu, anaimba kwaya, kaswida,vigodoro,mchiriku au kitu gani.
1. Adam Mchomvu.
2. Lavalava.
3. Maromboso.
4. Qeen Darlin.
5. Young killer.(Huyu ashauriwe aachane na mziki, baada ya kubahatisha gambe haitatokea tena kubahatisha).
6. Shilole Kiuno.
7. Snura.
8. Abdul Kiba.
9. Country boy.
10.
Hawa wasanii mlio karibu nao washaurini watafte kazi nyingine ya kufanya. Kazi zipo nyingi, sio kila mtu lazima awe muimbaji. Wengine tubakie tu kama wachezaji na wasikilizaji.
Narudi kuendelea kutoa updates.
Unaweza kuongezea msanii unaeona hajui kuimba lakini bado analazimisha fani.
Natamani uwe nin????Lava Lava anajua kuimba ila hana mwalimu wa kumuandikia mashairi,kama unanisoma hapa lava lava mwambie huyo mwalimu awe makini kutunga mashairi....sio ''natamani uwe kichekesho tuchekeshane'' what the fcuk?lol
Narudia tena. Jua limeshazama hunaukijuacho kuhusu muziki. Na bahati mbaya upo na ambao hawajui muziki. Unataka watu waimbe kama miaka ya 70.? Jaribu kubadilisha fikra zako then ukamsikilize tena. Kuna kitu utakipataWote niliowataja ni fake musicians, labda hujuwi tu muziki unashabikia kitu usichokijuwa. Jux anaimba nini, he's too fake hata kufollow beats aimbapo hajuwi....msikilize vizuri. Narudia, hakuna msanii wa bongo fleva ambaye anajuwa kweli kuimba, wanabangaiza tu na bahati mbaya wamepata watu wasiojuwa muziki kuwasupport.
songa nikki mbish one p the mc stamina wote hao af unasema nn wwMkuu kwa young killer umepotea.... katika watunzi wa mistali fikilishi waliobaki bongo young killer na ngosha wanashika no 2 na 1....
Maana wakina joh wanaimba taarabu siku hizi kina nikki mbishi hawaeleweki
Country weez nae kivuruge tu..
Kama humuelewi young killer basi ni chuki binafsi tu
Natamani uwe nin????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amekusikia mai dadakichekesho,tuchekeshaneeeeeee lol sikumbuki wimbo gani,nikasikitika kuona atapotea,wakati ana sauti nzuri tu....
Anao wimbo,,unapigwa clouds tu,,na wakiwa wanaupiga wanacheka mpka ,,hahaaaB dozen lini kaimba?
Au ndo kwa kua sisikilizi radio!?
mkuu acha uvutaji wa bangi mbichi,vuta kavu lakini pia usivutie chooni.B dozen lini kaimba?
Au ndo kwa kua sisikilizi radio!?