sasa hv ni ngumu maana salama ni lesboo full
alikua anamtongoza denti fulani pale jangwani tukisimama fire kituoni anamfata kumuimbisha
na kuna dada alikua na saloon kinondoni maarufu tu alikua anamfukuzia sana mpaka mdada alikua analia ana sera yake HUPATI MIMBA WALA UKIMWI UKIWA NA MIMI
na amefundishwa mchezo na yule mtoto wa dr..machache kipindi anaanza kazi maana yule bosi ndo michezo yake
Subir majibu, hutaamin macho yako..
Mule muleeee. Tawile jibu la mganga ... asanteeee
Mie cjawah sikia wala muona dem wa Prof Jay,jaman mwenye info juu ya huyu jamaaa aziweke hapa
Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
Hawa ni maseneta wa majimbo gani hapa USA?
Za Dj Fetty kudate na Geez Mabovu
ila madem hawana huruma jamaaani! Haya R.I.P Geez
jamani kwanini hakumpaga mimba tuuuu, huwezi amini natamani vipi kumuona salama mimba, heheheheee uuuwiiii!!!