Wasanii ambao wapenzi wao hawajulikani

Wasanii ambao wapenzi wao hawajulikani

Ila nyepesi nae ana demu wake wazamanii anaitwa Jackie kamasikosei na bado wapo huyo atakuwa mchepuko wake.

Mh ndo kajiweka apo , nasikia kamnunulia mkoko wa maana hadi kigoma katambulishwa soon tutasikia dada huyo anaolewa
Cc: #kantangaze
 
Salama alimuweka ndani mke wa kinje kale kabinti kadogo alikokaoa, salama alimkoleza had demu kakimbia kwa mume wake akahamia kwa salama, jamaa akamaind sana akaona kadhalilishwa kuzidiwa ujanja na mwananmke , ikabdi aende kushtak kwa wazazi wa mwanamke, demu akarudishwa kwa mume jamaa ikabidi amwamishe wife south Africa amkwepe salama, chezea kistuli jabir

Binamu yangu kwa ma breaking news nakuaminia lol
kama Dautch velle, kama aljazeera......
 
naomba kujua demu wa kaseja!" mana nackia nae ni wale wale.
 
Sasa tatizo liko WAP
kwani kuvuta Bangi kunahusiana nn name hisia labda ndo taste same na
zinampiga mzigo fresh kama we unamind hao masharobaro fresh tu ila
usiseme anachukuliwa na wavuta Bangi utadhani kuvuta Bangi ni ishu
kuubwaa
mbona watetea majani au weye pia walipuliza nn?
 
Back
Top Bottom