Wasanii ambao wapenzi wao hawajulikani

Wasanii ambao wapenzi wao hawajulikani

Dah hata sijui ni kuambiaje maana nyimbo anazoimba ni ngumu alafu sio maarufu kiivyo aliimba wimbo kama mtoto wa kiume, Mimi aliowashirikisha jay mo, chid beenz na fid hizo alizitoa mwaka 2008/9 hv karibuni hana hata singo mpya

anayo, aliitoa baada ya kuzushiwa kafariki mwaka huu
 
Kwani wanaopakuliwa hawana mademu? Ray n Hemed mbona wanafumua sana mademu na wao wanaliwa..ur point ya kumtetea b 12 is too weak besides kutokuwa na Demu haimaanish ni punga..

True B12 ana demu na mtoto juu wa miaka 4 lakini bado ni ubwabwa.
 
Pen paul alikuwa anadate na kdent cha ifm doz days

Adam mchomvu anadem ake anaitwa Aisha alishamtungia hadi wimbo
Salama......mlaji
Dj fett......alikuwa anadate na giz mabovu


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨


Geez Mabovu was hitting that a.s? Damn!
 
Back
Top Bottom