Wasanii ambao wapenzi wao hawajulikani

Wasanii ambao wapenzi wao hawajulikani

Vip kuhusu king seleman mfalume wa mwitu au afande sele
 
haya sasa mwenye kuifahamu couple ya mzee wa fursa Ruge Mutahaba a.k.a thinking tank ashukeee coz kuna uvumi hapa mgodini block d kuwa jamaa huwa anakula mayai yake
 
duh, mambo ya motorways nini? imagine wote katika 4lanes mmekanyaga bati 70 mph halafu mbele yenu mnakutana na gari limeharibika!... si ndio wote mnaingiana kama hivyo!?

Duh ngmu kumesa
 
haya sasa mwenye kuifahamu couple ya mzee wa fursa Ruge Mutahaba a.k.a thinking tank ashukeee coz kuna uvumi hapa mgodini block d kuwa jamaa huwa anakula mayai yake

Ruge amekula wengi sana,alishawahi kuwa na:
1:Lady Jay Dee
2:Ray C
3:Wengineo ndani ya Tht bt as 4 now anamkula Zamaradi Mketema na amezaa nae
 
1. Martin Kadinda
Ni mwanamitindo maarufu apa
bongo, na anayefanya vizuri kwenye
tasnia hiyo, pia ni manager wa
wema sepetu. Huyu amekuwa
akipiga picha na warembo tofauti
tofauti , ila haijawahi kuripotiwa
popote mrembo anayetoka nae ata
kwa kupakaziwa.

2. Salama Jabir
Huyu ni mtangazaji wa mkasi TV
show, mbali na muonekano wake
wa kuvutia ila hadi Leo haijawahi
kuripotiwa mtu anayemmliki hata
kwa kusingiziwa.

3.Ben Pol
mwanamuziki classic wa bongo
fleva, achilia mbali muonekano
wake wa kuvutia , naye mpaka Leo
mpenzi wake hajulikani, na wala
haijawahi kuripotiwa popote kama
ana mpenzi au la.

4. DJ Fettty
Huyu ni mtangazaji wa clouds FM,
ana sura na umbo la kuvutia , ila
hadi Leo haijulikani mtu anayekula
mzigo nani, japo kwa kusingiziwa

5.Millard Ayyo
Mtangazaji machachari kutoka
clouds FM, pamoja na utanashati
wake ila haijawahi kuripotiwa
popote kama yupo kwenye
mahusiano na haijulikani mpenzi
wake ni nani

6. B 12
Huyu kama ilivyo kwa Millard,
hajawahi kuhusishwa na scandal
yeyote ya kuwa kwenye mahusiano
ya kimapenzi, haijulikani kama
yupo au la.

7. Adam Mchonvu
huyu pia hajawahi kusikika au
kuhusishwa na mahusiano ya aina
yeyote.

8.Ally Rehmtulah
Mbunifu wa mavazi, naye huyu
hajawahi kuhusishwa na wala
haijuilikani kama ana mpenzi au la.
 
Ukiona hivyo ujue hao ndio watakaodum kwenye fani zao kwa mafanikio makubwa sana.
Na tumeona na tunaendelea kuona kwamba wanafanya vizuri sana.Ila Martin anapotezwa na Wema,maana hiyo comedy ya kutengeneza kwenye kipindi chao is really boring ila kwa vile analipwa is good ila asome alama za nyakati.

We angalia hao wauza sura wa Bongochangu,wote wamepotea,wanaendelea kupotea na wengine wameingia kwenye mziki nako hali inaelekea kuwa mbaya pia.Na Wahongaji Mapedezhee nao Serikali inawatolea macho na mitego tele
Hatimae wanaangalia namna ya ku boost majina kwa kutembea wao kwa wao na msaada wa Magazeti ya udaku.
Ndio maana mie huwa nasema huyu Dada Anaconda Lady Jay Dee jirani yake Yahaya,ni nooma
Big up Gardner kwa kum handle huyu mdada,maana mwanzo watu walisema mwaka haufiki lakini leo woote wapo kimya(mie nae nilikuemo,ila nimeumbuka),maisha safi,kazi nzuri,mipango mizuri sana.You are my role models
Watu wengine maarufu waige,sio kuinua majina kwa kashfa.

Sasa hao ambao hujui wapenzi wao ndio jua wenye mafanikio na malengo ya maisha,wanajua kwamba huwezi kupata umaarufku eti kisa upo na fulani.Na hata kama wanao basi jua ni watu wa mitaani wa kawaida sana.Na watu wa Magazeti ya Udaku wanapenda watu maarufu watoke na wenye pesa au watu maarufu ili wauze.
 
1. Martin Kadinda
Ni mwanamitindo maarufu apa
bongo, na anayefanya vizuri kwenye
tasnia hiyo, pia ni manager wa
wema sepetu. Huyu amekuwa
akipiga picha na warembo tofauti
tofauti , ila haijawahi kuripotiwa
popote mrembo anayetoka nae ata
kwa kupakaziwa.

2. Salama Jabir
Huyu ni mtangazaji wa mkasi TV
show, mbali na muonekano wake
wa kuvutia ila hadi Leo haijawahi
kuripotiwa mtu anayemmliki hata
kwa kusingiziwa.

3.Ben Pol
mwanamuziki classic wa bongo
fleva, achilia mbali muonekano
wake wa kuvutia , naye mpaka Leo
mpenzi wake hajulikani, na wala
haijawahi kuripotiwa popote kama
ana mpenzi au la.

4. DJ Fettty
Huyu ni mtangazaji wa clouds FM,
ana sura na umbo la kuvutia , ila
hadi Leo haijulikani mtu anayekula
mzigo nani, japo kwa kusingiziwa

5.Millard Ayyo
Mtangazaji machachari kutoka
clouds FM, pamoja na utanashati
wake ila haijawahi kuripotiwa
popote kama yupo kwenye
mahusiano na haijulikani mpenzi
wake ni nani

6. B 12
Huyu kama ilivyo kwa Millard,
hajawahi kuhusishwa na scandal
yeyote ya kuwa kwenye mahusiano
ya kimapenzi, haijulikani kama
yupo au la.

7. Adam Mchonvu
huyu pia hajawahi kusikika au
kuhusishwa na mahusiano ya aina
yeyote.

8.Ally Rehmtulah
Mbunifu wa mavazi, naye huyu
hajawahi kuhusishwa na wala
haijuilikani kama ana mpenzi au la.

umemsahau MUSA WA HUSSEIN
 
Luge,Zito,H.Mdee nao si hawajajaaliwa bado au? mbona umewasahau mkuu.
 
Back
Top Bottom