Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo namba moja mhhh inasemekana ni naniluuuuu eti...
Namba 2 na 4 wote hao ni ma tomboy..
Luge,Zito,H.Mdee nao si hawajajaaliwa bado au? mbona umewasahau mkuu.
Demu wangu lisa jensemi anatembea na nani jamani mana nimemkuza uyo kabla hajawa maarufu
Dem wako wa zamani yupo na Abeid na wana mtoto anaitwa Zara
Abeid ndo nani?
Chakulaa hiyoo
hahahahaa umeona huo mguno wa warumi unaongea mengi, hivi si amuombe jaydee amwagizie anae mmakeup siku hizi coz hiyo transformation jaydee aliyofanyiwa hata kwa mwasiti yawezekana.Hahaaa umenichekesha ulivyoguna, nakumbuka hivi karibuni alisema anatamani na yeye kupata mtoto.
Geez maabovu ndio nani
Mkuu usikariri. Ally rehmtulah anaye girlfriend wake kabisa na usibishe kuhusu hili. Pia Ally huyo huyo ana boyfriend wake.
Wahuni wote hao. Dogo umekosa cha kuandika nini?
Mrisho mpoto,Kalapina na chiku keto Sijajua wapenzi wao.
Mwenye picha ya mke wa shetta.Naskia mkali.
Dah Geez mabovu na fetty.Design gangster luv.Hahahaa!
Hotee naona mnapiga stori. Salama jbiri sijapata stori yake mana naona bora angeumbwa kama mimi. Jabari la kiume kwani hayupo kwenye lile jinsia aliloumbwa nalo
Salama alimuweka ndani mke wa kinje kale kabinti kadogo alikokaoa, salama alimkoleza had demu kakimbia kwa mume wake akahamia kwa salama, jamaa akamaind sana akaona kadhalilishwa kuzidiwa ujanja na mwananmke , ikabdi aende kushtak kwa wazazi wa mwanamke, demu akarudishwa kwa mume jamaa ikabidi amwamishe wife south Africa amkwepe salama, chezea kistuli jabir
Mwasit anatok na mh nyepesi
Ila nyepesi nae ana demu wake wazamanii anaitwa Jackie kamasikosei na bado wapo huyo atakuwa mchepuko wake.