Wasanii Bongo Fleva na ajenda za ushoga

Wasanii Bongo Fleva na ajenda za ushoga

freemason wamewekeza sana kwenye media, wasanii na Agendas za wanawake.
Hawa watu wako pale kusambaza utamaduni huu, amin kupitia nyimbo za hawa na ushawishi wao,miaka 7 ijayo zitakuwa zikifanyika sendoff na kitchen party za wanaume wanao olewa.

Sherehe nyingi za wasanii zinatoa mialiko ya kipekee kwa hawa watu.
page.jpg
 
Bila kumung'unya maneno,

Hii trend ya hawa wasanii wetu hasa wa muziki wa kizazi kipya kupush hili suala la ushoga lionekane la kawaida tusipolipigia kelele itafika siku jamii nzima itaharibika na tutakosa wa kumlaumu. Najua kwa wasanii sometimes mnalazimika kusukuma hizi ajenda pasipo wenyewe kupenda ila mkae mkijua hili suala lina athari mbaya sana katika jamii ambayo nyinyi pia ni sehemu yake.

Leo namuonelea kijana kutoka WCB WASAFI, Mboso. Huyu bwana mdogo kwenye video yake aliyoiachia leo kuna nguo ameivaa ambayo bila kupepesa macho anafahamu hasa kwanini ameivaa (kuunga mkono harakati za mapenzi ya jinsia moja). Hii sio bahati mbaya na sio kwamba hajui ni makusudi na amefanya vile akijua ile video ilikua ikisubiriwa kwa hamu na watu wengi akaona/ wakaona wapachike na hii messege ya ushoga. Mboso wewe ni kijana wa kiislam na unajua hilo suala halikubaliki hata kidogo. Muombe Allah S.W akusamehe na kama umelazimishwa kufanya hicho kitu muombe sana Allah akuepushe na hiyo mitihani. Kwa wewe ambao utaona nilichokiandika hapa ni ushamba kwamba mbona ni vitu vya kawaida na pia wewe MOD utaefuta huu uzi wait atokee shoga among your family member ndio utajua ubaya wake.View attachment 2289158
Kijana wa kiislamu anaimbamuziki 😄
 
😂😂 Baada ya kupitia huu uzi nimegundua kuna watu wanafiki aisee yaani mtu anaona dhambi fulani ni bora kuliko fulani na wakati zina uzito sawa.

Nilitarajia ukemee na muziki kabisa da'awa ianzie kwa waimba muziki wakubwa ambao kwa asilimia kubwa ni waislamu.
 
Bila kumung'unya maneno,

Hii trend ya hawa wasanii wetu hasa wa muziki wa kizazi kipya kupush hili suala la ushoga lionekane la kawaida tusipolipigia kelele itafika siku jamii nzima itaharibika na tutakosa wa kumlaumu. Najua kwa wasanii sometimes mnalazimika kusukuma hizi ajenda pasipo wenyewe kupenda ila mkae mkijua hili suala lina athari mbaya sana katika jamii ambayo nyinyi pia ni sehemu yake.

Leo namuonelea kijana kutoka WCB WASAFI, Mboso. Huyu bwana mdogo kwenye video yake aliyoiachia leo kuna nguo ameivaa ambayo bila kupepesa macho anafahamu hasa kwanini ameivaa (kuunga mkono harakati za mapenzi ya jinsia moja). Hii sio bahati mbaya na sio kwamba hajui ni makusudi na amefanya vile akijua ile video ilikua ikisubiriwa kwa hamu na watu wengi akaona/ wakaona wapachike na hii messege ya ushoga. Mboso wewe ni kijana wa kiislam na unajua hilo suala halikubaliki hata kidogo. Muombe Allah S.W akusamehe na kama umelazimishwa kufanya hicho kitu muombe sana Allah akuepushe na hiyo mitihani. Kwa wewe ambao utaona nilichokiandika hapa ni ushamba kwamba mbona ni vitu vya kawaida na pia wewe MOD utaefuta huu uzi wait atokee shoga among your family member ndio utajua ubaya wake.View attachment 2289158
Mtu kuwa muislamu sio tiketi ya yeye aishi kama Waislamu wanavyotaka
 
Ukishaingia katika mziki tu hapo mtu yupo kwenye Vicious cycle ya kishetani kila siku unaongeza akaunti ya vitendo vya kufuru na madhambi.

Mara kuvaa sketi ,kusuka ,matusi ,kuweka watu uchi nk mwishowe mtu asipotubu anakuwa sehemu mbaya.
 
freemason wamewekeza sana kwenye media, wasanii na Agendas za wanawake.
Hawa watu wako pale kusambaza utamaduni huu, amin kupitia nyimbo za hawa na ushawishi wao,miaka 7 ijayo zitakuwa zikifanyika sendoff na kitchen party za wanaume wanao olewa.

Sherehe nyingi za wasanii zinatoa mialiko ya kipekee kwa hawa watu.
Freemason wanahusika vipi na hawa vijana kuliwa gololi?
 
Freemason wanahusika vipi na hawa vijana kuliwa gololi?
Sehemu ya masharti ya chama...usifikiri wanapenda kufanya ivo..ni maagizo ya chama...
Kama sehemu ya ibada I return nao wanapewa wanachotaka kama vile mauzo ya nyimbo.. trending...mvuto wa juu.collabo za nje ambazo ziliwashinda akina ferooz na juma nature 🤣🤣....kuwa nominated kwenye tuzo kubwa kubwa...
 
Bila kumung'unya maneno,

Hii trend ya hawa wasanii wetu hasa wa muziki wa kizazi kipya kupush hili suala la ushoga lionekane la kawaida tusipolipigia kelele itafika siku jamii nzima itaharibika na tutakosa wa kumlaumu. Najua kwa wasanii sometimes mnalazimika kusukuma hizi ajenda pasipo wenyewe kupenda ila mkae mkijua hili suala lina athari mbaya sana katika jamii ambayo nyinyi pia ni sehemu yake.

Leo namuonelea kijana kutoka WCB WASAFI, Mboso. Huyu bwana mdogo kwenye video yake aliyoiachia leo kuna nguo ameivaa ambayo bila kupepesa macho anafahamu hasa kwanini ameivaa (kuunga mkono harakati za mapenzi ya jinsia moja). Hii sio bahati mbaya na sio kwamba hajui ni makusudi na amefanya vile akijua ile video ilikua ikisubiriwa kwa hamu na watu wengi akaona/ wakaona wapachike na hii message ya ushoga. Mboso wewe ni kijana wa kiislam na unajua hilo suala halikubaliki hata kidogo.

Muombe Allah S.W akusamehe na kama umelazimishwa kufanya hicho kitu muombe sana Allah akuepushe na hiyo mitihani. Kwa wewe ambao utaona nilichokiandika hapa ni ushamba kwamba mbona ni vitu vya kawaida na pia wewe MOD utaefuta huu uzi wait atokee shoga among your family member ndio utajua ubaya wake.
View attachment 2289158
Sijaelewa aisee kavaa nini cha kike hapo?
 
Ushoga mnao nyie kwenye vichwa vyenu, sasa hivi kila rangi ni ushoga,
Mtapata wazimu sababu watu wanapenda nguo za rangi rangi siku hizi
Yaan Dear watu wamevurugwa mnoooo, kila kitu ni ushoga khaaaah.
 
Back
Top Bottom