Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mthibitishie ajue tabata yote inamjua mchimbaji mitaro mzuri tuUsilolijua, au kwakua hajawahi kuonesha hadharani?
Poleeeeeh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mthibitishie ajue tabata yote inamjua mchimbaji mitaro mzuri tuUsilolijua, au kwakua hajawahi kuonesha hadharani?
Poleeeeeh.
Freemason hawahusiki na hao jamaa kuliwa gololi labda useme imani zao zingine tu za giza ila Freemason msiwasingizie.Sehemu ya masharti ya chama...usifikiri wanapenda kufanya ivo..ni maagizo ya chama...
Kama sehemu ya ibada I return nao wanapewa wanachotaka kama vile mauzo ya nyimbo.. trending...mvuto wa juu.collabo za nje ambazo ziliwashinda akina ferooz na juma nature 🤣🤣....kuwa nominated kwenye tuzo kubwa kubwa...
Basi hata wamasai na wagogo nao ni machoko?si wanavaa hereniMwanaume akishavaa hereni hata ka ni mjanja vipi hawezi niambia kitu!
Mtueleweshe na sisi ni nguo ipi hapo inaashiria ushoga?Bila kumung'unya maneno,
Hii trend ya hawa wasanii wetu hasa wa muziki wa kizazi kipya kupush hili suala la ushoga lionekane la kawaida tusipolipigia kelele itafika siku jamii nzima itaharibika na tutakosa wa kumlaumu. Najua kwa wasanii sometimes mnalazimika kusukuma hizi ajenda pasipo wenyewe kupenda ila mkae mkijua hili suala lina athari mbaya sana katika jamii ambayo nyinyi pia ni sehemu yake.
Leo namuonelea kijana kutoka WCB WASAFI, Mboso. Huyu bwana mdogo kwenye video yake aliyoiachia leo kuna nguo ameivaa ambayo bila kupepesa macho anafahamu hasa kwanini ameivaa (kuunga mkono harakati za mapenzi ya jinsia moja). Hii sio bahati mbaya na sio kwamba hajui ni makusudi na amefanya vile akijua ile video ilikua ikisubiriwa kwa hamu na watu wengi akaona/ wakaona wapachike na hii message ya ushoga. Mboso wewe ni kijana wa kiislam na unajua hilo suala halikubaliki hata kidogo.
Muombe Allah S.W akusamehe na kama umelazimishwa kufanya hicho kitu muombe sana Allah akuepushe na hiyo mitihani. Kwa wewe ambao utaona nilichokiandika hapa ni ushamba kwamba mbona ni vitu vya kawaida na pia wewe MOD utaefuta huu uzi wait atokee shoga among your family member ndio utajua ubaya wake.
View attachment 2289158
Nani alisema hio rangi ni ya mashoga ..nani alipitisha hili swala?Yenye rangi za upende wa mvua.
A. Rhemtullah, S. Maganga nasikia ni geiiz!!!Madisigner wao wenyewe ma-ch-k
Machawa wao,kuna sjui watangazaji wao mulemule
In short wamejaaa
Ova
A R anaiudhi tatizo hajuagi kwenda na wakati, japo yupo humu na anasoma. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]A. Rhemtullah, S. Maganga nasikia ni geiiz!!!
Hao ndio designers wao.
Nlitaka kushangaa usiwepo kwenye huu uziiA R anaiudhi tatizo hajuagi kwenda na wakati, japo yupo humu na anasoma. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We nae ndo walewale qmkmq....alokwambia ni kila rangi naniUshoga mnao nyie kwenye vichwa vyenu, sasa hivi kila rangi ni ushoga,
Mtapata wazimu sababu watu wanapenda nguo za rangi rangi siku hizi
Acha ujinga ww, tatizo huondolewa moja baada ya jingine, ameanza na na hilo la kwanza, likiwa solved litafuata jingine kupata utatuzi.[emoji23][emoji23] Baada ya kupitia huu uzi nimegundua kuna watu wanafiki aisee yaani mtu anaona dhambi fulani ni bora kuliko fulani na wakati zina uzito sawa.
Nilitarajia ukemee na muziki kabisa da'awa ianzie kwa waimba muziki wakubwa ambao kwa asilimia kubwa ni waislamu.
Wewe ushawahi kuwa freemasons?? Maana kwa ushuhuda unaotoa utasema na wewe ni mwanachama mstaafu, acha kusimulia ulichosimuliwa kwa watu ambao nao wamesimuliwaSehemu ya masharti ya chama...usifikiri wanapenda kufanya ivo..ni maagizo ya chama...
Kama sehemu ya ibada I return nao wanapewa wanachotaka kama vile mauzo ya nyimbo.. trending...mvuto wa juu.collabo za nje ambazo ziliwashinda akina ferooz na juma nature [emoji1787][emoji1787]....kuwa nominated kwenye tuzo kubwa kubwa...
Kuna yule designer sijui mrembaji wa msanii mmja mkubwa bongo naye dahA. Rhemtullah, S. Maganga nasikia ni geiiz!!!
Hao ndio designers wao.
Huyu ndio designer wa wasafi..unategemea niniMadisigner wao wenyewe ma-ch-k
Machawa wao,kuna sjui watangazaji wao mulemule
In short wamejaaa
Ova
Alikiba wako huyo hapoNISEME TU NAMUHESHIMU SANA MSANII ALIKIBA, KAJITENGA NA WATU HAWA.
Kwahiyo tuwaige uliyowataja wawe role model wetu?Basi hata wamasai na wagogo nao ni machoko?si wanavaa hereni