mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
kwa kweli ni UPUMBAVU TENA MKUBWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliacha Physics form II uyo, achana nae.Ipo form3 ndugu siyo4
Mtu mwenye marinda na asiye na marinda wanakuaje sawa.Acheni unyanyasaji kila binaadamu ni sawa!
Hakuna msanii awezae fanya jambo bila kujua hio ni lugha ya utetezi.Yeye ni sehem ya hao mashoga, Allah amlaani ikiwa amekusudia, lkn kama hakujua basi Allah amsamehe
tru storyNi kama zilivyo tamthilia mfano bongo movie,director ndie anaejua maudhui.
Lengo kuu la tamthilia zote za mapenzi ni kubomoa familia.
Panapo ndoa pana familia na penye familia pana msingi, tamthilia nyingi zinapromote talaka na utengano, hazifundishi adabu, utii na heshima.
Lengo kuu la shetani juu ya talaka ni kuwawini watoto wakose misingi ya malezi,awavute kwenye ushoga, uteja, uchangudoa, nk. Lengo kuu la shetani ni kuibomoa duniani. Roho za ushoga zimeachiliwa kwa vijana ikiwemo mashuleni na mavyuoni, Ili kuuwa kabisa kizazi.
Sasa suluhisho ni lipi kuokoa kizazi, huko mashuleni na vyuoni??Ni kama zilivyo tamthilia mfano bongo movie,director ndie anaejua maudhui.
Lengo kuu la tamthilia zote za mapenzi ni kubomoa familia.
Panapo ndoa pana familia na penye familia pana msingi, tamthilia nyingi zinapromote talaka na utengano, hazifundishi adabu, utii na heshima.
Lengo kuu la shetani juu ya talaka ni kuwawini watoto wakose misingi ya malezi,awavute kwenye ushoga, uteja, uchangudoa, nk. Lengo kuu la shetani ni kuibomoa duniani. Roho za ushoga zimeachiliwa kwa vijana ikiwemo mashuleni na mavyuoni, Ili kuuwa kabisa kizazi.
Upinde wa mvua una rangi 7 - ROYGBIVNani alisema hio rangi ni ya mashoga ..nani alipitisha hili swala?
Labda siku hizi, hiyo mimi niliipiga form 4 VIBGYOR (Violet, Indigo, Blue, Green,Yellow, Orange and Red).Ipo form3 ndugu siyo4
Unamjua designer wake anayeitwa Noeli?NISEME TU NAMUHESHIMU SANA MSANII ALIKIBA, KAJITENGA NA WATU HAWA.
M2WAWA2 huyo mwenye nguo nyeusi ndio designer wa Ali Kibafreemason wamewekeza sana kwenye media, wasanii na Agendas za wanawake.
Hawa watu wako pale kusambaza utamaduni huu, amin kupitia nyimbo za hawa na ushawishi wao,miaka 7 ijayo zitakuwa zikifanyika sendoff na kitchen party za wanaume wanao olewa.
Sherehe nyingi za wasanii zinatoa mialiko ya kipekee kwa hawa watu.
View attachment 2289265
Labda kama unajielezea wewe.Katafute kitabu cha Physics cha form 4, 2005 nenda hata hapo Tanganyika Library, msitake tufunguke mengine ambayo yapo nje ya uwezo wenu mwisho wa siku utajiona hujui.Aliacha Physics form II uyo, achana nae.
Mbona mashuleni watoto wenu wanafundishwa kuhusu rangi hizo hizo na hatuwaoni mkilalamika, basi iambie na serikali kupitia wizara ya elimu nao wafute hiyo kipengele.Bila kumung'unya maneno,
Hii trend ya hawa wasanii wetu hasa wa muziki wa kizazi kipya kupush hili suala la ushoga lionekane la kawaida tusipolipigia kelele itafika siku jamii nzima itaharibika na tutakosa wa kumlaumu. Najua kwa wasanii sometimes mnalazimika kusukuma hizi ajenda pasipo wenyewe kupenda ila mkae mkijua hili suala lina athari mbaya sana katika jamii ambayo nyinyi pia ni sehemu yake.
Leo namuonelea kijana kutoka WCB WASAFI, Mboso. Huyu bwana mdogo kwenye video yake aliyoiachia leo kuna nguo ameivaa ambayo bila kupepesa macho anafahamu hasa kwanini ameivaa (kuunga mkono harakati za mapenzi ya jinsia moja). Hii sio bahati mbaya na sio kwamba hajui ni makusudi na amefanya vile akijua ile video ilikua ikisubiriwa kwa hamu na watu wengi akaona/ wakaona wapachike na hii message ya ushoga. Mboso wewe ni kijana wa kiislam na unajua hilo suala halikubaliki hata kidogo.
Muombe Allah S.W akusamehe na kama umelazimishwa kufanya hicho kitu muombe sana Allah akuepushe na hiyo mitihani. Kwa wewe ambao utaona nilichokiandika hapa ni ushamba kwamba mbona ni vitu vya kawaida wait atokee shoga among your family member ndio utajua ubaya wake.
View attachment 2289158
Watanzania wengi wana huu upumbavu wa ku share info za kusimuliwa as if ni first hand information.Wewe ushawahi kuwa freemasons?? Maana kwa ushuhuda unaotoa utasema na wewe ni mwanachama mstaafu, acha kusimulia ulichosimuliwa kwa watu ambao nao wamesimuliwa
Sijaona impact ya yeye kuvaa koti la rainbow ninyi ndiyo mmechukulia kwamba anaunga mkono pride movement .Acha ujinga ww, tatizo huondolewa moja baada ya jingine, ameanza na na hilo la kwanza, likiwa solved litafuata jingine kupata utatuzi.
Mtoto anasoma upinde wa mvua shuleni na rangi zote anazijua hii haimaanishi shuleni wanafundisha ushoga . sasa jamaa kuvaa kakoti tu wanamhusisha na pride movement 😂😂Mbona mashuleni watoto wenu wanafundishwa kuhusu rangi hizo hizo na hatuwaoni mkilalamika, basi iambie na serikali kupitia wizara ya elimu nao wafute hiyo kipengele.
Kuna watu wengine miyeyusho kinyama.
Hata hilo pia ni muhimu kuanza naloKwahiyo ndo umeona ni njia sahihi ya kuwaepusha? Je wanapokuwa shule huoni wanasimuliana na wenzao, kikubwa wape elimu ya kijinsia wafahamu yapi mabaya na yapi mazuri ya kufanya.
Nitolee ujinga wako,We nae ndo walewale qmkmq....alokwambia ni kila rangi nani