Wasanii Bongo Fleva na ajenda za ushoga

Wasanii Bongo Fleva na ajenda za ushoga

Yeye ni sehem ya hao mashoga, Allah amlaani ikiwa amekusudia, lkn kama hakujua basi Allah amsamehe
Hakuna msanii awezae fanya jambo bila kujua hio ni lugha ya utetezi.
KILA kitu kuanzia mavazi, staili,vitu nk upangwa stadi na director,na asilimia kubwa ya madirector uongozwa na nguvu ya siri kupitisha ajenda fulani.
 
Ni kama zilivyo tamthilia mfano bongo movie,director ndie anaejua maudhui.
Lengo kuu la tamthilia zote za mapenzi ni kubomoa familia.
Panapo ndoa pana familia na penye familia pana msingi, tamthilia nyingi zinapromote talaka na utengano, hazifundishi adabu, utii na heshima.
Lengo kuu la shetani juu ya talaka ni kuwawini watoto wakose misingi ya malezi,awavute kwenye ushoga, uteja, uchangudoa, nk. Lengo kuu la shetani ni kuibomoa duniani. Roho za ushoga zimeachiliwa kwa vijana ikiwemo mashuleni na mavyuoni, Ili kuuwa kabisa kizazi.
tru story
 
Ni kama zilivyo tamthilia mfano bongo movie,director ndie anaejua maudhui.
Lengo kuu la tamthilia zote za mapenzi ni kubomoa familia.
Panapo ndoa pana familia na penye familia pana msingi, tamthilia nyingi zinapromote talaka na utengano, hazifundishi adabu, utii na heshima.
Lengo kuu la shetani juu ya talaka ni kuwawini watoto wakose misingi ya malezi,awavute kwenye ushoga, uteja, uchangudoa, nk. Lengo kuu la shetani ni kuibomoa duniani. Roho za ushoga zimeachiliwa kwa vijana ikiwemo mashuleni na mavyuoni, Ili kuuwa kabisa kizazi.
Sasa suluhisho ni lipi kuokoa kizazi, huko mashuleni na vyuoni??
Tena vyuoni sahivi ushoga ni fashion, wengine wanaishi kinyumbaa, utaskia tunabebana room, kumbe ni kulana migongo tyuuh.


[emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380] ktk ubora wake.
 
Nani alisema hio rangi ni ya mashoga ..nani alipitisha hili swala?
Upinde wa mvua una rangi 7 - ROYGBIV

Bendera rasmi ya wapenzi wa jinsia moja ina rangi 6 zilizokwenye kampangilio kama rainbow colors.

Hiyo ni bendera yao rasmi
 
Niache kuvaa nguo kisa mashoga wanavaa, hell no. Wao wavae na mimi navaa kila mtu anavaa kwa muktadha wake. Hizi rangi zinavaliwa hata kabla ya huo ushoga wenyewe sioni maana ya kuacha sasa.

Siku mashoga wakisema wavaa suruali wote ni mashoga mtaacha kuvaa suruali? Definition ya mwingine sio lazima iwe definition yako.
 
freemason wamewekeza sana kwenye media, wasanii na Agendas za wanawake.
Hawa watu wako pale kusambaza utamaduni huu, amin kupitia nyimbo za hawa na ushawishi wao,miaka 7 ijayo zitakuwa zikifanyika sendoff na kitchen party za wanaume wanao olewa.

Sherehe nyingi za wasanii zinatoa mialiko ya kipekee kwa hawa watu.
View attachment 2289265
M2WAWA2 huyo mwenye nguo nyeusi ndio designer wa Ali Kiba

Itafute "behind the scene" ya video yake ya bwana mdogo.

#YNWA
 
Aliacha Physics form II uyo, achana nae.
Labda kama unajielezea wewe.Katafute kitabu cha Physics cha form 4, 2005 nenda hata hapo Tanganyika Library, msitake tufunguke mengine ambayo yapo nje ya uwezo wenu mwisho wa siku utajiona hujui.
 
Bila kumung'unya maneno,

Hii trend ya hawa wasanii wetu hasa wa muziki wa kizazi kipya kupush hili suala la ushoga lionekane la kawaida tusipolipigia kelele itafika siku jamii nzima itaharibika na tutakosa wa kumlaumu. Najua kwa wasanii sometimes mnalazimika kusukuma hizi ajenda pasipo wenyewe kupenda ila mkae mkijua hili suala lina athari mbaya sana katika jamii ambayo nyinyi pia ni sehemu yake.

Leo namuonelea kijana kutoka WCB WASAFI, Mboso. Huyu bwana mdogo kwenye video yake aliyoiachia leo kuna nguo ameivaa ambayo bila kupepesa macho anafahamu hasa kwanini ameivaa (kuunga mkono harakati za mapenzi ya jinsia moja). Hii sio bahati mbaya na sio kwamba hajui ni makusudi na amefanya vile akijua ile video ilikua ikisubiriwa kwa hamu na watu wengi akaona/ wakaona wapachike na hii message ya ushoga. Mboso wewe ni kijana wa kiislam na unajua hilo suala halikubaliki hata kidogo.

Muombe Allah S.W akusamehe na kama umelazimishwa kufanya hicho kitu muombe sana Allah akuepushe na hiyo mitihani. Kwa wewe ambao utaona nilichokiandika hapa ni ushamba kwamba mbona ni vitu vya kawaida wait atokee shoga among your family member ndio utajua ubaya wake.
View attachment 2289158
Mbona mashuleni watoto wenu wanafundishwa kuhusu rangi hizo hizo na hatuwaoni mkilalamika, basi iambie na serikali kupitia wizara ya elimu nao wafute hiyo kipengele.

Kuna watu wengine miyeyusho kinyama.
 
Wewe ushawahi kuwa freemasons?? Maana kwa ushuhuda unaotoa utasema na wewe ni mwanachama mstaafu, acha kusimulia ulichosimuliwa kwa watu ambao nao wamesimuliwa
Watanzania wengi wana huu upumbavu wa ku share info za kusimuliwa as if ni first hand information.
 
Acha ujinga ww, tatizo huondolewa moja baada ya jingine, ameanza na na hilo la kwanza, likiwa solved litafuata jingine kupata utatuzi.
Sijaona impact ya yeye kuvaa koti la rainbow ninyi ndiyo mmechukulia kwamba anaunga mkono pride movement .

Kama kweli tunataka kuondoa tatizo basi tuanze kwenye mzizi na si mashinani huko tuanze na wao kuacha kuimba mziki na ukawapige da'awa haswa .

Ni kwamba he is innocent until proven guilty si mnawahi kuhukumu na wakati mziki huo huo mnasikiliza.

Nitamuasa kama akitangaza rasmi anaoa au kuolewa na mwanamume mwenzake.

Na bado akiamua kufuata atafuata ila akiendeleza ni yeye na mungu wake uzuri ujumbe atakuwa kaupata ila si kumuhumu mtu .
 
Mbona mashuleni watoto wenu wanafundishwa kuhusu rangi hizo hizo na hatuwaoni mkilalamika, basi iambie na serikali kupitia wizara ya elimu nao wafute hiyo kipengele.

Kuna watu wengine miyeyusho kinyama.
Mtoto anasoma upinde wa mvua shuleni na rangi zote anazijua hii haimaanishi shuleni wanafundisha ushoga . sasa jamaa kuvaa kakoti tu wanamhusisha na pride movement 😂😂
 
Kuna subliminal messages zinapita kwenye video zao na hatuzioni miaka nenda miaka Rudi.....
#Funga milango ya kupokea jumbe zao uwe salama😂.
 
Kwahiyo ndo umeona ni njia sahihi ya kuwaepusha? Je wanapokuwa shule huoni wanasimuliana na wenzao, kikubwa wape elimu ya kijinsia wafahamu yapi mabaya na yapi mazuri ya kufanya.
Hata hilo pia ni muhimu kuanza nalo
 
Back
Top Bottom